Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah wote ni wahusika wa hadithi za kutungwa na watu tu, nje ya hadithi hizo hakuna Mungu wala Allah.

Yani hata huyo Allah au Mungu ukichambua habari zake utaona contradictions zinazoonedha hii ni story ya kuungaunga ya watu tu.
Kwa kuwa umeshiba na huna tatizo kwa sasa, ngoja yakufike
 
Umeandika ujinga
 
Allah, Mungu, Yehova wote hawa ni Fictional characters( Viumbe wa kufikirika) sawa na hekaya za Abunuwasi au riwaya za Aladini.

Allah, Mungu hawajawahi kuwepo, hawapo na hata uwezekano wa kuwepo kwao haupo.

Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
 
Ni kweli yesu sio mungu, isipokuwa Yesu ndio Mungu
Hakuna ulicho fanya zaidi ya kubadilisha small letters za mungu kuwa capital letters Mungu.

Huyo Mungu au MUNGU hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu pia ni lazima unapotaja mungu kumlenga yeye hutaki Mungu kama Mungu hata kama lugha mama yako ina tafsiri ya neno Mungu sharti urejee neno Allah ili ijulikane ni yeye
Mkuu usipotoshe watu, Allah ni Mungu kwa lugha ya Kiarabu kama anavyotafsirika kwetu waswahili kwa Jina la Mungu au kwa lugha ya kiingereza kuwa ni God. Majina hayo yote yamlenga na kumaanisha mhusika mmoja!!!
 
Mungu na Allah wote ni wahusika wa hadithi za kutungwa na watu tu, nje ya hadithi hizo hakuna Mungu wala Allah.

Yani hata huyo Allah au Mungu ukichambua habari zake utaona contradictions zinazoonedha hii ni story ya kuungaunga ya watu tu.
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ŠπŸ‘πŸ€πŸ™πŸ’πŸŽπŸ›‘οΈ
 
Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu pia ni lazima unapotaja mungu kumlenga yeye hutaki Mungu kama Mungu hata kama lugha mama yako ina tafsiri ya neno Mungu sharti urejee neno Allah ili ijulikane ni yeye
You Nailed It Asante..
Anapelekwa tu kiarabu
 
Mkuu usipotoshe watu, Allah ni Mungu kwa lugha ya Kiarabu kama anavyotafsirika kwetu waswahili kwa Jina la Mungu au kwa lugha ya kiingereza kuwa ni God. Majina hayo yote yamlenga na kumaanisha mhusika mmoja!!!
Allah na Mungu ni tofauti kabisa.
 
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ŠπŸ‘πŸ™πŸŽπŸ›‘οΈ
 
Sasa mkuuu, Hebu tusaidie Nani Aliumba hao aliens??? Au unifafanulie walitokana na nini?
Shukurani
 
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸ“πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ŠπŸ€πŸ‘πŸŽπŸ›‘οΈ
 
Injili halisi ya Yesu? Waliikuta wapi,na ni wapi injili imemtabiri Muhamad,Kwa hiyo Quran siyo human version ni Mungu aliandika kwa mkono wake akaichapisha na kumpa Muhamad?
 
simple answer. Siku ukitoka roho utajua nani ninani na nani ni nani. subiri tu, au ungalikuwa unawasiliana na bibi yako aiefariki angalikwambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…