Mungu ndiye aliyempa Urais Mama Samia. Hawezi kushushwa na Mwanadamu mwenye chuki binafsi

Huna adabu na umekosa maadili na kujawa na Roho ya kishetani, Ungekuwa Timamu kichwani ungejuwa maneno unayopaswa kuyatumia katika kuwasilisha hoja yako,Naona wewe Ni mgonjwa unayetakiwa kupatiwa matibabu ya haraka sana
Huyo si mgonjwa wala hana roho ya kishetani, ila anakushangaa namna unavyokuwa limbukeni maana hata wanaomsifia mh. Rais hawawezi kuja na approach za kipumbavu Kama za kwako.
 
Sekta zipi zilizofanikiwa, ni dhahiri shahiri mengi unayoandika humu hujayafanyia upembuzi yakinifu acha mihemko, ibua hoja zenye tija kwa masirahi ya taifa ikiwa wewe ni mzalendo kumiliki no ya voda kisiwe kigezo cha wewe kuzidi kuwa mvivu kifikra.
 
Sio kumpigia nani, hata matokeo ya kituo chetu yaliwekwa pembeni, na mawakala wakasainishwa karatasi za matokeo ambayo hayakuwepo. Na ukigowa unakamatwa na polisi na kubambikiwa kesi. Na ushahidi upo lakini hakuna pa kwenda kushitaki.
Sasa ikiwa wewe ni mzalendo wa kweli ulishindwa nini kwenda mahala panapohusika hii inaonesha ni kwa jinsi gani hujui maana ya uzalendo, chukua kamsi ya kiswahili sanifu utafute maana ya neno mzalendo, acha mihemko Lucas
 
Try knowledge, Sobber and Great decision, you look like a someone who promised negatively, We created to solve problems not to create problem.
 
Sasa ikiwa wewe ni mzalendo wa kweli ulishindwa nini kwenda mahala panapohusika hii inaonesha ni kwa jinsi gani hujui maana ya uzalendo, chukua kamsi ya kiswahili sanifu utafute maana ya neno mzalendo, acha mihemko Lucas
Sasa hapa ulikuwa unamjibu nani
 
Try knowledge, Sobber and Great decision, you look like a someone who promised negatively, We created to solve problems not to create problem.
Andika kiswahili tu achana na lugha ambayo huimudu
 
Hakuna cha Mungu,ni uchawi tu ndio maana uwezi sikia neno Mungu katika utuba zake au salamu yake
 
Hakuna cha Mungu,ni uchawi tu ndio maana uwezi sikia neno Mungu katika utuba zake au salamu yake
Rais Samia Ni Rais mcha Mungu na mwenye Hofu ya Mwenyezi Mungu, Kama wewe hujawahi kumsikia Basi usitufanye sote Ni viziwi Kama wewe, Rais wetu Ni kiongozi Mwenye kumtangulia Mungu kwa kila jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…