Mungu ndiye aliyempa Urais Mama Samia. Hawezi kushushwa na Mwanadamu mwenye chuki binafsi

Hivi kwa mwezi unalipwa shingapi?
Usikute uchawa na kujipendekeza kuna lipa..
 
Hivi kwa mwezi unalipwa shingapi?
Usikute uchawa na kujipendekeza kuna lipa..
Mimi silipwi na mtu yeyote kuandika hapa labda Kama wewe ndiye unalipwa Kuja kufanya kazi ya kupinga pinga kila kitu kinachofanywa na serikali ya mh Rais wetu Mama Samia
 

0742-676627
Ulisahau kuweka namba ya simu na mtaa unaoishi pale Uporoto.
 
Leta ushahidi wako hapa maana naona unaandika kwa mihemuko pasipo ushahidi Wala ukweli
Rushwa, unafiki, ubinafsi na kujipendekeza vinaonekana kupitia nyuzi zako unazoanzisha humu, acha kujiita mzalendo kisa upuuzi unaoandika humu.
 
Mimi silipwi na mtu yeyote kuandika hapa labda Kama wewe ndiye unalipwa Kuja kufanya kazi ya kupinga pinga kila kitu kinachofanywa na serikali ya mh Rais wetu Mama Samia
Na wewe usiwe unasifia kila kitu kisa umekiona ni chema machoni pako, acha kupotosha watu kisa tu kupata uanachama wa platform hii.
 
Ikumbukwe tumeumbwa na akili karne ya 21 unatuambia ukame wakati tuna mito,mabwawa,maziwa na bahari je? inamaana kwa miaka 60 CCM kipi wanaweza kwa 90%
Unafikiri hayo maji yanachotwa baharini na ziwani na kikombe na kwenda Kuwasha umeme Kama unavyofikiria wewe
 
lucas umeandika kuntu
 
Kuwa mkweli, namba ya simu uliiweka ili upate mrejesho toka kwa uliyempelekea utukufu, pia si lazima uwe mwanaccm ili upate uteuzi.
Salamu zao wasafwa wote.
Sasa mbona unajibu kila mtu bila kuelewa unamjibu Nani? Tuliza akili yako na kuacha papara papara maana naona hujuwi hata unapotakiwa kumjibu mhusika unamjibuji, Sasa huyo uliyemjibu kuwa ameweka namba take unaweza inaonyesha alipoweka namba take? Au upo bar bado
 
Sawa ,umeridhika?
Achana na huyo asiyejielewa, Anakushambulia bure bila kujielewa, Ni wapi ulipoweka namba yako ya simu Hadi àanze kukushambulia wewe au hajuwi hata namna ya kumjibu mhusika maana naona anakurupuka tu kujibu kila mtu hata asiye husika utafikiri bado amezidiwa na vimiminika kichwani mwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…