Mungu ndiye aliyempa Urais Mama Samia. Hawezi kushushwa na Mwanadamu mwenye chuki binafsi

Mungu ndiye aliyempa Urais Mama Samia. Hawezi kushushwa na Mwanadamu mwenye chuki binafsi

Lucas mwashambwa

1. Ni kweli kabisa mamlaka ya U - rais aliyonayo Bi. Samia Suluhu Hassan imetoka kwa Mungu na ni yake Mungu...

2. Ni kweli pia, mwanadamu yeyote kwa njia za kubinadamu hawezi kumnyang'anya hiyo mamlaka yake...

3. Lakini ni UKWELI WA KIBIBLIA USIOPINGIKA kuwa Mungu mwenyewe aweza kumshusha na kumwondolea mamlaka yake ya u - Rais wakati wowote akitaka na kukiwa na sababu tena akiwatumia wanadamu hawahawa unaosema hawawezi kumwondoa/kumshusha...!

4. Na sababu zinazoweza kumfanya Mungu aruhusu wanadamu kumwondoa mamlakani Rais Samia ni iwapo atashindwa kutumia mamlaka yake kuhudumia watu wa Mungu kwa kadiri ya mapenzi yake Mungu..

5. Na hii huja iwapo watu WATALALAMIKA NA KUSEMA KWA MUNGU WAO kuwa, huyu uliyempa mamlaka yako ya u - Rais hatutendei haki yako na kwa hiyo mchukue, tupe mtu mwingine...!

It's just simple like that..
Nashukuru Sana kwa mchango wako ulionyeshaa ukomavu wako wa kifikra, umechagia hoja kiungwana Sana. Napenda nikuhakikishie kuwa Rais Samia ameonyesha dhamira ya dhati katika kutumia mamlaka take kuwatumikia watanzania, amefanya hivyo pasipo ubaguzi wa aina yoyote Ile, ndio sababu unaona hata namna alivyoweza kutoa nafasi ya kuweza kuonana na kufanya mazungumzo na viongozi wa vyama vya upinzani

Ni kiongozi aliye msikivu,mwenye masikio ya kusikia sauti zote na macho ya kumtazama kila mtu, Ni kiongozi anayethamini mchango wa kila mtanzania katika ujenzi wa Taifa letu, Ni kiongozi anayeamini kuwa pamoja na tofauti zetu za kisiasa tunaweza tukaijenga nchi yetu na tukafaidi kwa pamoja matunda ya kazi za mikono yetu Kama Taifa.

Ndio maana ya kuona namna Taifa lilivyoungana kwa Sasa na kushikamana vizuri
 
Ndugu zangu Uongozi unatoka Kwa Mwenyezi Mungu anayetufahamu sisi Tungali katika Matumbo ya Mama zetu, Yeye Ndiye Anayejuwa hatima yetu, yeye ndiye mtoa Riziki, Neema na Baraka, yeye ndiye kiongozi mkuu wa viongozi wote hapa chini ya jua. Ndiye mtoa Maarifa na Njia kwa wale wamchao na kufuata njia zake.

Rais Samia yupo hapo ,Amefika hapo kwa kuwa Mwenyezi Mungu Alimuandikia kufika hapo. Mama Samia Hajafika hapo kwa uweza wa Mwanadamu, hajafika hapo kwa ujanja wake, kwa Akili zake, kwa Dini yake,kwa kabila lake, kwa jinsia yake, kwa nguvu zake, kwa mipango ya kiuanadamu, kwa Fedha zake, kwa ukarimu wake, upole wake, ucheshi wake, sura yake, Mwendo wake, Sauti yake, Umbo lake, kimo chake, Maono yake, mikakati na mbinu zake, familia yake na Elimu yake.

Mama Samia Amefika Hapo kwa uweza wa Mwenyezi Mungu, Amefika Hapo kwa mipango ya Mwenyezi Mungu, Amefika Hapo kwa kuwa ndivyo ambavyo Mwenyezi Mungu alimwandikia hivyo, Kwa kuwa ndivyo Mwenyezi Mungu alipanga iwe Hivyo, Ndivyo Ambavyo alitaka agano litimie katika ulimwengu wa kiroho wa uumbaji wa Mama Samia Tangia Akiwa Tumboni mwa mama yake

Mbele za Mwenyezi Mungu kila Jambo na wakati wake na majira yake, huu ulikuwa Ni wakati wa Mama Samia, Haya Ni majira ambayo MWENYEZI MUNGU alipanga iwe Hivyo kwa Rais Samia kuinuliwa kiuongozi kuongoza nchi yetu, siyo sisi wanadamu, siyo sisi tuliyo waamuzi. Ni Mungu Ndiye Aliyempaka Rais Samia Mafuta ya Uongozi, Ni Mungu Ndiye aliyempa kibali Cha kufika Hapo. Ni Mungu Ndiye aliyemcholea Ramani yake na njia yake kufika hapo, Ni Mungu Ndiye aliyemshika mkono kumfikisha hapo, Ni Mungu Ndiye Aliyemvusha katika mabonde na milima, katika majaribu na mitihani, ni Mungu Ndiye aliye mpitisha njia ambayo wengine hawakupitishwa, Ni Mungu Ndiye aliyemlinda na kumpigania kufika hapo.

kwote alikopita na kufanya na watu kazi ilikuwa ni mipango ya Mungu katika Kumwandaa na kumfundisha namna ya kuishi na watu wa aina zote, hao watu na hayo maeneo ya kikazi ilikuwa Ni madaraja tu ya kumvusha, lakini Mipango ya Mungu ilikuwa ni kumuinua Hadi hapa Alipo kwa Sasa nafasi ya mwisho kiuongozi na kicheo. Hivyo Hakuna wakumshushaa Mama Huyu Mzalendo wa kweli.

Sasa wewe Mwanadamu Ni Nani mbele za Mwenyezi Mungu? Ni Nani aliyewahi kuongoza kwa akili zake akafanikiwa? Ni Nani awezaye kushindana na Mwenyezi Mungu? Ni Nani kwa Fedha zake Amewahi kununua Urais wa nchi hii? Ni Nani kwa kusuka makundi ya kumshambulia na kumhujumu Rais wake amewahi kufanikiwa kupata Urais wa nchi hii? Ni Nani huyo? Yupo wapi? Wangapi walikuwa na mapesa na marafiki wenye mapesa waliojaribu kununua Urais lakini hawajawahi kufanikiwa? Wangapi wamewahi kuutamani Urais lakini bado wanausikia kwenye Redio? Nani alitegemea Odinga atafika Hadi Leo hii bila kuapishwa kuwa Rais ? Vipi Hillary Clinton? Nani alitegemea mfungwa Nelson Mandela atakuja kupata heshima ya ulimwengu?

Ndugu zangu Amini Amini Nawaambieni kuwa Kama Haikupangwa Na Mwenyezi Mungu Wewe uwe kiongozi Au Rais Basi Tambua kuwa Hata Ufanyeje utaishia kusononeka tu Moyoni Mwako pale utakapoona miaka inayoyoma huku hakuna Dalili za wewe kutimiza Ndoto Zako.

Rais Samia huwezi Ukamchafua na kumpaka matope kwa watanzania na ukafanikiwa,kwa sababu watanzania tunamkubali Sana Rais Samia kwa kuwa ameonyesha dhamira ya dhati katika kulitumikia Taifa hili, Amekuwa mkweli na muwazi Sana katika kuongoza Taifa letu, kwa kila changamoto tuipitiayo amekuwa mkweli kueleza mikakati ya kukabiliana nayo

Rai Yangu kwa Wana CCM wenzangu na Wazalendo Wa Taifa Hili Tusikubali kuchonganishwa na wenye maslahi Binafsi,Tusikubali watugawe Wala kutupandikiza mbegu za chuki, Marais wote Watano waliopita na kumtangulia Rais wetu mpendwa na kipenzi cha watanzania mama shupavu.

Rais Samia walikuwaa Ni wanaccm na waliotekeleza ilani ya ccm, Hivyo asitokee mtu wakutuletea mbegu za wale na sisi. CCM Ni moja ,Wana CCM Ni wamoja Na Chama Ni kimoja chini ya mama yetu jasiri, Hodari, shupavu, mchapa kazi, mcha Mungu, Mzalendo Na mwenye Dhamira ya Dhati na Taifa hili Mama Samia Suluhu Hassan Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama na Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Hayati Magufuli mlimpa SIFA Kama hizi matokeo yake mpaka Mkamkufuru MUNGU na MATOKEO yake mnayajua kilichompata ENDELEENI kumdhihaki MUNGU
Katiba ndio iliyompa MAMA yetu URAIS
 
Mama hawezi kazi,ingekuwa wananchi serious alitakiwa kufukuzwa ikulu hata leo saa 8 mchana
Kama Ofisi zenu tu hapo ufipa zinewashinda kuzipaka rangi tu zipendeze kwa matumizi mabaya ya Fedha, Naamini huwezi ukaelewa kazi kubwa anayoifanya mh Rais iliyoiheshimisha nchi yetu Ndani na nje ya Tanzania, huwezi ukaona kazi iliyofanyika katika kilimo,afya, Elimu, N.k kwa kuwa umejipa ukipofu wa akili na mawazo
 
Hayati Magufuli mlimpa SIFA Kama hizi matokeo yake mpaka Mkamkufuru MUNGU na MATOKEO yake mnayajua kilichompata ENDELEENI kumdhihaki MUNGU
Katiba ndio iliyompa MAMA yetu URAIS
Tulia Basi Rais anaombewa huku 👇
Screenshot_20221117-113201.png
 
Wewe ni Samia Samia Samia hadi kero hebu katafute hela zako maana yeye hakuji na anatafuta zake
Mimi Ni mkulima na naishi kwa kilimo ,jembe ndio kalamu yangu na shamba ndio daftari langu na mabega yangu ndio begi langu
 
Mimi Ni mkulima na naishi kwa kilimo ,jembe ndio kalamu yangu na shamba ndio daftari langu na mabega yangu ndio begi langu
Acha kiherehere Cha mama Samia tafuta hela yeye Hana mpango nawewe maana Huna dili unachosha mama Samia tafuta hela ndio inshu mzima
 
Ndo maana nasema hapo Lumumba hamna mkakati mzuri wa kuhakikisha CCM inaendelea kushika DOLA.

Ktk wakati mgumu kama huu mnawezaje mtuma mtu aje amsifie kiongozi sifa za ajabu ajabu na anaweka namba ya simu kutafuta uteuzi?

Mnamuharibia KIONGOZI wetu Badala ya kumsaidia, tunaosema Kweli ndo TUNAMPENDA.

Ameeeen.
 
Acha kiherehere Cha mama Samia tafuta hela yeye Hana mpango nawewe maana Huna dili unachosha mama Samia tafuta hela ndio inshu mzima
Naendelea na kazi zangu na naendelea kumshukuru mh Rais kwa namna alivyotusaidia wakulima msimu huu kwa kutupatia mbolea za Ruzuku zenye Bei nafuu ukilinganisha na msimu uliopita.

Mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa elfu 70 tu
 
Ndo maana nasema hapo Lumumba hamna mkakati mzuri wa kuhakikisha CCM inaendelea kushika DOLA...
Kwani Kuna shida kumsifia Kiongozi?

Afu mtoa mada anasema Raia kawekwa na Mungu wewe unasema anasifiwa.

Mbona wengine wameaeka matamasha ya kumuombea Mbeya na Mwanza?
 
Ukame haujaanza leo kilichopo ni kutokuwajibika huu utani mngefanya kipindi cha Mwendazake raia hawataki mikakati wanataka matokeo sio blah blah miaka 61 ya uhuru bila maji na umeme
Matokeo ndio yanakuja baada ya mikakati Kama ambavyo ulishuhudia namna mh Rais akizindua mradi mkubwa wa maji pamoja na mitambo mikubwa ya kuchimbia visima virefu vya maji vitakavyo saidia kuondoa tatizo la maji
 
Ndugu zangu Uongozi unatoka Kwa Mwenyezi Mungu anayetufahamu sisi Tungali katika Matumbo ya Mama zetu, Yeye Ndiye Anayejuwa hatima yetu, yeye ndiye mtoa Riziki, Neema na Baraka, yeye ndiye kiongozi mkuu wa viongozi wote hapa chini ya jua. Ndiye mtoa Maarifa na Njia kwa wale wamchao na kufuata njia zake.

Rais Samia yupo hapo ,Amefika hapo kwa kuwa Mwenyezi Mungu Alimuandikia kufika hapo. Mama Samia Hajafika hapo kwa uweza wa Mwanadamu, hajafika hapo kwa ujanja wake, kwa Akili zake, kwa Dini yake,kwa kabila lake, kwa jinsia yake, kwa nguvu zake, kwa mipango ya kiuanadamu, kwa Fedha zake, kwa ukarimu wake, upole wake, ucheshi wake, sura yake, Mwendo wake, Sauti yake, Umbo lake, kimo chake, Maono yake, mikakati na mbinu zake, familia yake na Elimu yake.

Mama Samia Amefika Hapo kwa uweza wa Mwenyezi Mungu, Amefika Hapo kwa mipango ya Mwenyezi Mungu, Amefika Hapo kwa kuwa ndivyo ambavyo Mwenyezi Mungu alimwandikia hivyo, Kwa kuwa ndivyo Mwenyezi Mungu alipanga iwe Hivyo, Ndivyo Ambavyo alitaka agano litimie katika ulimwengu wa kiroho wa uumbaji wa Mama Samia Tangia Akiwa Tumboni mwa mama yake

Mbele za Mwenyezi Mungu kila Jambo na wakati wake na majira yake, huu ulikuwa Ni wakati wa Mama Samia, Haya Ni majira ambayo MWENYEZI MUNGU alipanga iwe Hivyo kwa Rais Samia kuinuliwa kiuongozi kuongoza nchi yetu, siyo sisi wanadamu, siyo sisi tuliyo waamuzi. Ni Mungu Ndiye Aliyempaka Rais Samia Mafuta ya Uongozi, Ni Mungu Ndiye aliyempa kibali Cha kufika Hapo. Ni Mungu Ndiye aliyemcholea Ramani yake na njia yake kufika hapo, Ni Mungu Ndiye aliyemshika mkono kumfikisha hapo, Ni Mungu Ndiye Aliyemvusha katika mabonde na milima, katika majaribu na mitihani, ni Mungu Ndiye aliye mpitisha njia ambayo wengine hawakupitishwa, Ni Mungu Ndiye aliyemlinda na kumpigania kufika hapo.

kwote alikopita na kufanya na watu kazi ilikuwa ni mipango ya Mungu katika Kumwandaa na kumfundisha namna ya kuishi na watu wa aina zote, hao watu na hayo maeneo ya kikazi ilikuwa Ni madaraja tu ya kumvusha, lakini Mipango ya Mungu ilikuwa ni kumuinua Hadi hapa Alipo kwa Sasa nafasi ya mwisho kiuongozi na kicheo. Hivyo Hakuna wakumshushaa Mama Huyu Mzalendo wa kweli.

Sasa wewe Mwanadamu Ni Nani mbele za Mwenyezi Mungu? Ni Nani aliyewahi kuongoza kwa akili zake akafanikiwa? Ni Nani awezaye kushindana na Mwenyezi Mungu? Ni Nani kwa Fedha zake Amewahi kununua Urais wa nchi hii? Ni Nani kwa kusuka makundi ya kumshambulia na kumhujumu Rais wake amewahi kufanikiwa kupata Urais wa nchi hii? Ni Nani huyo? Yupo wapi? Wangapi walikuwa na mapesa na marafiki wenye mapesa waliojaribu kununua Urais lakini hawajawahi kufanikiwa? Wangapi wamewahi kuutamani Urais lakini bado wanausikia kwenye Redio? Nani alitegemea Odinga atafika Hadi Leo hii bila kuapishwa kuwa Rais ? Vipi Hillary Clinton? Nani alitegemea mfungwa Nelson Mandela atakuja kupata heshima ya ulimwengu?

Ndugu zangu Amini Amini Nawaambieni kuwa Kama Haikupangwa Na Mwenyezi Mungu Wewe uwe kiongozi Au Rais Basi Tambua kuwa Hata Ufanyeje utaishia kusononeka tu Moyoni Mwako pale utakapoona miaka inayoyoma huku hakuna Dalili za wewe kutimiza Ndoto Zako.

Rais Samia huwezi Ukamchafua na kumpaka matope kwa watanzania na ukafanikiwa,kwa sababu watanzania tunamkubali Sana Rais Samia kwa kuwa ameonyesha dhamira ya dhati katika kulitumikia Taifa hili, Amekuwa mkweli na muwazi Sana katika kuongoza Taifa letu, kwa kila changamoto tuipitiayo amekuwa mkweli kueleza mikakati ya kukabiliana nayo

Rai Yangu kwa Wana CCM wenzangu na Wazalendo Wa Taifa Hili Tusikubali kuchonganishwa na wenye maslahi Binafsi,Tusikubali watugawe Wala kutupandikiza mbegu za chuki, Marais wote Watano waliopita na kumtangulia Rais wetu mpendwa na kipenzi cha watanzania mama shupavu.

Rais Samia walikuwaa Ni wanaccm na waliotekeleza ilani ya ccm, Hivyo asitokee mtu wakutuletea mbegu za wale na sisi. CCM Ni moja ,Wana CCM Ni wamoja Na Chama Ni kimoja chini ya mama yetu jasiri, Hodari, shupavu, mchapa kazi, mcha Mungu, Mzalendo Na mwenye Dhamira ya Dhati na Taifa hili Mama Samia Suluhu Hassan Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama na Mwenyekiti wa CCM Taifa.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627

Usimchanganye Mungu na majizi ya kura.
 
Na kamwe haitatokea hata wajiandikishe vi threads uchwa asubuhi Hadi jioni 24 hrs haitakuja kuwa Kama vile Lowassa na Raila walivyoshindwa.

Samia amekuwa akiongea Mara nyingi sana kwenye ziara zake kwamba kila.mtu yupo alipo kwa sababu kwa wakati huo Mungu amependa iwe hivyo na so wawajibike kwa Mujibu wa inavyotakiwa,full stop..

So makelele ya kijinga na kipuuzi Ni kupoteza mda wao bure..[emoji116]

View attachment 2419307
Haya mambo ya kusifia viongozi dhalimu yalikuwepo hata wakati wa fashisti Adolf Hitler, so wakina nyinyi kumsifia mlinzi mkuu wa mafisadi haliwezi kuwa jambo jipya sana, ni mwendelezo wa Mambo yale yale ya kiwendawazimu kwa nyakati tofauti.
 
Back
Top Bottom