Lucas mwashambwa
1. Ni kweli kabisa mamlaka ya U - rais aliyonayo Bi. Samia Suluhu Hassan imetoka kwa Mungu na ni yake Mungu...
2. Ni kweli pia, mwanadamu yeyote kwa njia za kubinadamu hawezi kumnyang'anya hiyo mamlaka yake...
3. Lakini ni UKWELI WA KIBIBLIA USIOPINGIKA kuwa Mungu mwenyewe aweza kumshusha na kumwondolea mamlaka yake ya u - Rais wakati wowote akitaka na kukiwa na sababu tena akiwatumia wanadamu hawahawa unaosema hawawezi kumwondoa/kumshusha...!
4. Na sababu zinazoweza kumfanya Mungu aruhusu wanadamu kumwondoa mamlakani Rais Samia ni iwapo atashindwa kutumia mamlaka yake kuhudumia watu wa Mungu kwa kadiri ya mapenzi yake Mungu..
5. Na hii huja iwapo watu WATALALAMIKA NA KUSEMA KWA MUNGU WAO kuwa, huyu uliyempa mamlaka yako ya u - Rais hatutendei haki yako na kwa hiyo mchukue, tupe mtu mwingine...!
It's just simple like that..