Mungu Ndiye Anayejua Atakayempokea Urais Rais Samia 2030

Mungu Ndiye Anayejua Atakayempokea Urais Rais Samia 2030

Usichanganye uoga na amani. Hakuna namna watanzania wataendelea kuwa makondoo huku wakiona chama cha majizi kinaendelea kukaa madarakani kwa shuruti. Machafuko pekee ndio yatawatoa madarakani nyie majizi.
Hee, leo mnaukataa ukondoo na ndiyo imani yenu hiyo ?

Kuwa Muislam, Waislam wote ni wachungaji.
 
Umeenda mbali sana. Kuna 2025. Kama Mungu ndiye anayejua ni nani tampokea Samia 2030, je wewe unajua ni nani atakayempokea samia 2025?
2025 watanzania tulishaamua kwenda na Rais samia mpaka 2030
 
Dunia kwa sasa ipo kiganjani

ANGANGALIA HIYO PICHA NA UJITATHIMINI UPYA
1692991966245.png
 
Back
Top Bottom