Hee, leo mnaukataa ukondoo na ndiyo imani yenu hiyo ?Usichanganye uoga na amani. Hakuna namna watanzania wataendelea kuwa makondoo huku wakiona chama cha majizi kinaendelea kukaa madarakani kwa shuruti. Machafuko pekee ndio yatawatoa madarakani nyie majizi.
Mimi hata ikiwa zaidi ya hapo nitaendelea kumuunga mkono na kumpigia kura kila uchaguziSiyo 2030 ni 2035.
Awamu hii siyo ya mama Samia, hii ni ya mwendazake.
Sauti za mabilion ya watanzania wanasema si yeyeSauti za mamilioni ya watanzania ni mama Samia mpaka 2030
2025 watanzania tulishaamua kwenda na Rais samia mpaka 2030Umeenda mbali sana. Kuna 2025. Kama Mungu ndiye anayejua ni nani tampokea Samia 2030, je wewe unajua ni nani atakayempokea samia 2025?
Sauti za mamilioni ya watanzania ni mama Samia mpaka 2030
Kwikwikwi, mabilioni ya kwenye ndoto.Sauti za mabilion ya watanzania wanasema si yeye
Hayo mabilioni labda ni ya familia yako lakini mamilioni ya watanzania ndani na nje ya nchi kwa kauli moja wameamua kwenda na Rais samia mpaka 2030Sauti za mabilion ya watanzania wanasema si yeye
Mambo wazi kabisa, utafiti wa nini?Umefanya wapi huo utafiti? Hivi unalipwaga unapoweka hizi post humu?
Dunia kwa sasa ipo kiganjaniUmefanya wapi huo utafiti? Hivi unalipwaga unapoweka hizi post humu?
Mkaamulia wapi? Usiwasemehe watu maana hii ndiyo tabia ya michawa. Inajifanya wasemaji wa watu.2025 watanzania tulishaamua kwenda na Rais samia mpaka 2030
Tunakwenda na mama Samia mpaka 2030 mkuuHapana mwisho 2025 huko ni mwingine
NAONA MNAJITAHIDI SANA KULAMBA VIATU, MWISHO WAKE MTALAMBA N'NYAAMambo wazi kabisa, utafiti wa nini?
Wewe mamilion yako ya kuamkaKwikwikwi, mabilioni ya kwenye ndoto.
2030 mkuu samahani lakiniNoooooooooooooooooooooooooooo Mimi sio mburundi ni mtanzania nasema nooooooooooooooo mwisho 2025
Hiyo kauli ya watanzania umeipatia chumbani kwakoHayo mabilioni labda ni ya familia yako lakini mamilioni ya watanzania ndani na nje ya nchi kwa kauli moja wameamua kwenda na Rais samia mpaka 2030
Wapi chumbani?
2025 mwisho wa kunukuu mkuu
Dunia kwa sasa ipo kiganjani