Mungu Ndiye Anayejua Atakayempokea Urais Rais Samia 2030

Mbona Trump alisema marekani imepata rais shetani Biden na mashetani wenzake!
 
Usimuhusishe Mungu na majizi ya kura, hakuna Mungu anayeendesha wizi wa kura. Nyie bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi hamuwezi kuelewa.

Usiombee machafuko au mapinduzi . Au wewe ulishajiripua ulaya kama mrundi hujali ?? Zanzibar toka 1964 haijakaa sawa tena , imekuwa ghost county hakuna kinachokwenda zaidi ya dhuluma na ubabe.

Nchi mwisho wake imekuwa ni ngawira ya Tanganyika.

Hayo ni matunda ya mapinduzi na vurugu. Likianza Tanganyika hakuna pa kukimbilia nchi zote jirani haziko sawa labda Zambia kidogo afadhali . Maji utaita mma
 
2025 nchi apewe Mwabukusi amejifafanua vizuri Kama mtetezi wa rasilimali za Tanganyika.
 
Baada ya Mama 2030
Kuna watu kama Simbachawene ,Lukuvi wanafaa kuwa next president.
 
UMEMSAHAU ROSTAMU
 
Mkuu hivi hujagundua watu hatusomi huu ujinga unaoandika unatujazia seva tu
 
Mkuu jicheki kwanza kama hujaingia oeriod maana naona kama unachoandika hukielewi
 
Mleta uzi ana jaziba hana uvumilivu katika hoja na hajui theory of elasticity of demand, mambo sasa hivi ni magumu sana kuliko wakati wowote wa uongozi wa Taifa letu, Samia hana shida kabisa lakini wanaomzunguka hawamshauri vizuri kiasi ambacho Watanzania walio wengi hawaoni nuru ya tuendako tukiwa pamoja naye.
kwa hekima yake natamani Mungu amfunulie kukiachia kiti kwa salama 2025 akiwa bado hajapoteza mvuto. anaweza kuendelea kuwania lakini atapata ugumu sana kipindi cha pili kwa maana bunge litakuwa na nyuso mpya nyingi zisizo muunga mkono ndani ya chama na upande wa upinzani pia.
kuna mabadiliko makubwa sana tutakayoanza kuyashuhudia ktk uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…