Mungu ulikuwa wapi wakati wa biashara ya utumwa?

Mungu ulikuwa wapi wakati wa biashara ya utumwa?

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,228
Reaction score
2,064
Habari wana JF

Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.

Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.

Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?

Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
 

Attachments

  • images (11).jpeg
    images (11).jpeg
    40.6 KB · Views: 1
  • images (10).jpeg
    images (10).jpeg
    27.5 KB · Views: 1
Habari wana jf.
Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.

Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.
Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?
Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Hata sasa Mungu bado anawakomboa watu dhidi ya utumwa wa dhambi au wewe huoni Mkuu?. Huoni watu wanavyostaafu ukahaba,ujambazi,utapeli,ushoga n.k?. Yesu hakuja duniani kuzurura!
 
Hata sasa Mungu bado anawakomboa watu dhidi ya utumwa wa dhambi au wewe huoni Mkuu?. Huoni watu wanavyostaafu ukahaba,ujambazi,utapeli,ushoga n.k?. Yesu hakuja duniani kuzurura!
anawakomboa watu ni illusion kaka...tunataka tuone mauaji yana komaa pale DRC na wakimbizi wanarudi makwao, tunataka tuone vita vinakomaa pale Ukraine na maisha yanarudi kwenye hali ya kawaida na kwanini ajikite kwenye pretty issues badala ya majanga makubwa makubwa
 
anawakomboa watu ni illusion kaka...tunataka tuone mauaji yana komaa pale DRC na wakimbizi wanarudi makwao, tunataka tuone vita vinakomaa pale Ukraine na maisha yanarudi kwenye hali ya kawaida na kwanini ajikite kwenye pretty issues badala ya majanga makubwa makubwa
Majanga yasababishwe na wengine lawama umpelekee Mungu. Does it make sense?
 
Habari wana jf.
Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.

Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.

Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?

Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Duuh,umewaza Nini?!
 
Back
Top Bottom