Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Habari wana JF
Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.
Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.
Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?
Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭
Ni muda mrefu nimekuwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu uwepo wa Mungu lakini kuhusu masimulizi yanayo elezea matendo yake mazuri na huruma kuu Kwa viumbe wake.
Mungu kupitia wajumbe wake hapa duniani na maandiko yanadai Mungu ni mwema na mwenye huruma sana lakini ukitafakari Kwa kina unapata ukakasi kuhusu madai yao kuhusu Mungu huyo.
Katika historia ya maisha ya mwanadamu hapa duniani hakuna nyakati ngumu alizopitia kama nyakati za biashara ya utumwa, biashara ya utumwa iliwagusa na kuwamiza zile jamii ambazo ni dhaifu zisizo weza kujitetea hivyo tegemeo lao kubwa lilikuwa ni Mungu mkuu.Bahati mbaya Mungu hakuja kuwatetea na kuwapigania.
Kama Mungu yupo kila mahali, ni mjuzi wa kila jambo na muweza wa mambo yote Kwanini alijificha na hakuja kuwapigania wanadamu wake...Tuna ambiwa Mungu aliandaa mipango ya kuwatoa wana wa Israel utumwani misri na akawatumia viongozi ili kufanilisha misheni hiyo 🥺 kwanini hakufanya hivyo Kwa jamii zingine wakati wanachukuliwa watumwa haswa Afrika?
Mungu ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini wakati huo inaumiza sana 😭