EMMANUEL JASIRI
Senior Member
- Feb 2, 2015
- 150
- 84
Na bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe ukiwa umejifugia kuku wako huwezi kuwachinja? Kwani kama kuku mmoja ana mdomo wa kula mayai ya kuku wengine, utakuwa unamwacha tu aendelee kusababisha madhara? Mungu ndio hakimu wa viumbe vyake. Mfugaji ndiye hakimu wa mifugo yake. Ushindwe na kuregea kwa jina la YESU.
Kuna wahuni hapa katikati ndiyo wanaharibu sifa ya kweli ya Mungu kwamba anaua ili kututisha, kiukweli Mungu ni mwema ila lile genge la kukusanya pesa kwa kisingizio cha sadaka na lile genge la wanaonajisi watoto wakiwa chini ya mwavuli wa vitabu vitakatifu ndiyo waliotengeneza hivyo vitisho na kuupotosha mambo mengiUkisoma Biblia utaona kuwa mungu wa biblia sio mungu wa amani anayetaka watu waishi bila shida. Ni mungu wa mauaji na mateso.
Kuna analysis ilifanywa na wataalamu wa statistics kuona kati ya mungu na shetani, nani ameua watu wengi kwenye biblia.
Kwenye biblia nzima, kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo, including vitabu ambavyo wakristo wengi hawasemi (apocrypha: Mfano: vitabu vya Enoch, na Injili ya Thomas) shetani ameua watu 10 tu!!! Watoto wa Ayubu... Basi.
Kwa kuangalia vitabu canonical tu (Vitabu 66 vinavyosomwa na madhehebu yote) Mungu ameua watu 2,476,633 ambao wametajwa kwamba wameuliwa na mungu au wameuliwa kwa amri ya mungu. Na hii haihesabu watu waliokufa kwenye gharika, au mauaji ambayo idadi haikutajwa.
Israel wanafanya exactly walichoambiwa wafanye kwenye biblia. Kuua watu wote wasio Waisraeli wanaojaribu kuishi eneo la Levant (Caanan).
So, kama unataka kujua mungu wa biblia ni mungu gani, angalia wanachofanya sasa hivi Israel. Huyo ndio mungu wa Biblia. Mungu wa kifo na sio uzima. Mungu wa vita na sio amani.
ASILI KWANZA!
😒 kwahiyo analipa kisasi jaman Sa sisi tunajua nini jaman viumbe wadhaifu sisi.MUNGU wa Biblia ukimbariki anakubariki,ukimlaani unalaniwa,kwa hiyo mzingueni muone
Ukimwendea kwa adabu naye atakujia kistrabu
Ukiua Watu wake na wewe utauliwa
Mwanzo 12:1-
Kweli aisee zimetuharibia maisha kabisaDini za middle east zimetuvuruga sana,mimi nazitumia kusocialize tu ila imani yangu hasa niya asili ya wazee wangu.
Mungu aliwaahidi wanaume wa kiislamu mabikra 72 na mito ya pombe tamu huko mbinguni.
How?5.Anapenda umalaya,
Nina Mungu tu, sina mungu wala miunguHapo naona umemchomekea mungu wako myahudi, au siyo?
Ww n mhindi!Mungu aliwaahidi wanaume wa kiislamu mabikra 72 na mito ya pombe tamu huko mbinguni.
Amewaaahidi wanaume wakiislamu wanawake mabikra 72 huko peponi, amewaambia waislamu waoe wanawake angalau wanne, wafalme wa zamani Mungu aliwapenda na kuwainua wale wenye wanawake wengi kama mfalme Daud, mfalme solomon na wengi tu......How?
Mimi ni Budha nina asili ya kiharabu na kisukuma.Ww n mhindi!
Bado hujaasema Ukweli..Mimi ni Budha nina asili ya kiharabu na kisukuma.
TakbiiirUkisoma Biblia utaona kuwa mungu wa biblia sio mungu wa amani anayetaka watu waishi bila shida. Ni mungu wa mauaji na mateso.
Kuna analysis ilifanywa na wataalamu wa statistics kuona kati ya mungu na shetani, nani ameua watu wengi kwenye biblia.
Kwenye biblia nzima, kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo, including vitabu ambavyo wakristo wengi hawasemi (apocrypha: Mfano: vitabu vya Enoch, na Injili ya Thomas) shetani ameua watu 10 tu!!! Watoto wa Ayubu... Basi.
Kwa kuangalia vitabu canonical tu (Vitabu 66 vinavyosomwa na madhehebu yote) Mungu ameua watu 2,476,633 ambao wametajwa kwamba wameuliwa na mungu au wameuliwa kwa amri ya mungu. Na hii haihesabu watu waliokufa kwenye gharika, au mauaji ambayo idadi haikutajwa.
Israel wanafanya exactly walichoambiwa wafanye kwenye biblia. Kuua watu wote wasio Waisraeli wanaojaribu kuishi eneo la Levant (Caanan).
So, kama unataka kujua mungu wa biblia ni mungu gani, angalia wanachofanya sasa hivi Israel. Huyo ndio mungu wa Biblia. Mungu wa kifo na sio uzima. Mungu wa vita na sio amani.
ASILI KWANZA!
Unataka ukweli gani we ndondocha, endelea kununua mafuta ya upako na udongo wa Mwamposa, mimi naamini mambo ya natural science na laws of universe, karibu Buddhism world.Bado hujaasema Ukweli..
Kwani wanitukania nn..je uliona natumia hayo mafuta.Unataka ukweli gani we ndondocha, endelea kununua mafuta ya upako na udongo wa Mwamposa, mimi naamini mambo ya natural science na laws of universe, karibu Buddhism world.
Siku zote mnaulizwa swali hamlijibu mnakwepa tu. Mungu ni nini? Yuko wapi? Anajishughulisha na nini? Lawama anazotupiwa anachukuliaje? Kama yupo kwa nini akubali lawama, kama hayupo kwa nini watu wamlaumu? Mi binafsi nahitaji majibuNa lazima ataua hadi wewe hapo ulipo. Ombea Yesu arudi kabla ya siku zako hapa duniani kuisha, kama unataka asikuue. Vinginevyo hata wewe hapo ulipo lazima atakula kichwa na hilo ndiyo jambo jema sana kwake
Mungu ana standards zake tofauti na za kwako. Kama unaishi huku ukiwa na hofu ya kifo, acha kumkashifu Mungu