Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
We mvaa kobazi nakupa aya zaidi ya moja kuonesha jinsi Allah atakavyowapa mabikra wakuwastareshaNilidhani utaweka aya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mvaa kobazi nakupa aya zaidi ya moja kuonesha jinsi Allah atakavyowapa mabikra wakuwastareshaNilidhani utaweka aya
Mimi nimekwambia weka Aya ya mabikira 72 Kama ulivyodai,siyo Aya ya mabikiraWe mvaa kobazi nakupa aya zaidi ya moja kuonesha jinsi Allah atakavyowapa mabikra wakuwastaresha
View attachment 2783768View attachment 2783769View attachment 2783770
Idadi inaweza kuwa kubwa au ikapungua kidogo.Mimi nimekwambia weka Aya ya mabikira 72 Kama ulivyodai,siyo Aya ya mabikira
Kw jinsi ulivoelezea ni kama vile binadamu ni mfugo wa mungu, kama tufugavyo kuku nk. Kwamba mbuzi akiambiwa binadamu ndo mbaya wako atabisha! Binadamu wote tunatambua anaetula roho zetu kajibinafsishia! Na shetani akituambia tunaemuabidu ndo mbaya wetu, tunambishia! Utasikka shidwa kwa jina la muhamad! Khaa..!!!Kwani wewe ukiwa umejifugia kuku wako huwezi kuwachinja? Kwani kama kuku mmoja ana mdomo wa kula mayai ya kuku wengine, utakuwa unamwacha tu aendelee kusababisha madhara? Mungu ndio hakimu wa viumbe vyake. Mfugaji ndiye hakimu wa mifugo yake. Ushindwe na kuregea kwa jina la YESU.
Yohana (Joh) 10:17Ilikuwaje tena Taifa teule la Mungu likamuua mwana wa Mungu?! Haya mambo mi mwenzenu sielewi!
Kiharabu ndi kipi?Mimi ni Budha nina asili ya kiharabu na kisukuma.
BismillahTakbiiir
nakuuliza swali,kwani mfuga kuku na kicheche nani anaekula kuku wengi?Oya utalaaniwa🤔
Naomba picha ya pisi kali za peponi. Huwrun-'iynWe mvaa kobazi nakupa aya zaidi ya moja kuonesha jinsi Allah atakavyowapa mabikra wakuwastaresha
View attachment 2783768View attachment 2783769View attachment 2783770