hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Oya utalaaniwa🤔Sifa kuu za Mungu wa wakristo na waislam
1.mpenda sifa
2.muuaji namba moja
3.mwenye chuki
4.katili, anayependa watu wateseke na kuangaika ikiwa yeye mwenye uwezo yupo na anawaangalia tu
5.Anapenda umalaya, aliwapa vyeo vya juu watu wwnye wanawake zaidi ya 1000 aliwainua juu
6.Hawezi kujibu maombi yako na siku akijibu ni muujiza huo
7.anapenda kunyanyapaa vilema, viwete na kuwabagua wanawake refer, Walawi 21:7-20
8 mbaguzi kuliko viunbe wote
9.majivuno na kujikweza
10.ni kiumbe pekee kinachopenda kuwajaribu watoto wake na kuwaandalia moto wa kuwaangamiza
N.B Tenda wema karma itakulipa.
Acha porojo wewe. Kasome kitabu cha Joshua uone balaa lililofanyika"Kumbukumbu la Torati 30:19"
Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako;
Tafsiri!
Ndani ya Mungu wa Biblia hakuna kitu kinaitwa mauti (kuua/kifo). Ndani ya Mungu kuna uzima.
Mungu alitoa neno lake katika Biblia ambalo kwalo binadamu anachagua aende upande hupi na aache upande hupi. Kila uchaguzi binadamu anaouchagua unaendana na matokeo! Anayetekeleza matokeo ya neno la Mungu kutegemea na maamuzi ya binadamu ni (wa kwanza) ni shetani katika kuhakikisha adhabu inatolewa. Wa pili anayehakikisha neno linatekelezwa ni binadamu.
Kwahiyo mauaji yoyoye yaliyowahi kutokea na yanayotokea, na yatakayotokea ni kwa mujibu wa neno la Mungu na anayehakikisha haki inatendeka kwa anayetii neno na yule anayehasi neno ni shetani na binadamu. Ndani ya Mungu hakuna mauti, dhiki, magonjwa, hofu, wasiwasi, mashaka, njaa, n.k.
Hakuna majibu hapo utakayopewa zaidi ya ngonjera.Siku zote mnaulizwa swali hamlijibu mnakwepa tu. Mungu ni nini? Yuko wapi? Anajishughulisha na nini? Lawama anazotupiwa anachukuliaje? Kama yupo kwa nini akubali lawama, kama hayupo kwa nini watu wamlaumu? Mi binafsi nahitaji majibu
Kitu ambacho akipo kitakulaani vipi kama kilishindwa kujitokeza ili kuona ukuu wake na uwepo wake, he is nothing to do.Oya utalaaniwa🤔
Kama wanakwepa kukujibu, chukua msimamo wa kile unachokijua kuhusu Mungu na acha kukaa unaendelea kudodosa dodosa mambo ambayo watu walishashindwa kukujibu. Chukua kile unachokijua na acha HOFU, kuwa na msimamo kwa sababu kawaida mtu mwenye akili timamu huwa ana msimamo usioambatana na hofuSiku zote mnaulizwa swali hamlijibu mnakwepa tu. Mungu ni nini? Yuko wapi? Anajishughulisha na nini? Lawama anazotupiwa anachukuliaje? Kama yupo kwa nini akubali lawama, kama hayupo kwa nini watu wamlaumu? Mi binafsi nahitaji majibu
Nimeuliza pia kwa niaba ya wajinga wenzangu. Unajua maboya kuhusu hili tupo wengi? Tukielimishwa angalau na si tujipange minauli ya kwenda kuliangalia hilo pepo wanalolisemagaKama wanakwepa kukujibu, chukua msimamo wa kile unachokijua kuhusu Mungu na acha kukaa unaendelea kudodosa dodosa mambo ambayo watu walishashindwa kukujibu. Chukua kile unachokijua na acha HOFU, kuwa na msimamo kwa sababu kawaida mtu mwenye akili timamu huwa ana msimamo usioambatana na hofu
Hamna haja ya kukujibu atheist .Siku zote mnaulizwa swali hamlijibu mnakwepa tu. Mungu ni nini? Yuko wapi? Anajishughulisha na nini? Lawama anazotupiwa anachukuliaje? Kama yupo kwa nini akubali lawama, kama hayupo kwa nini watu wamlaumu? Mi binafsi nahitaji majibu
Jibu swali,kuonana nae shida ni nini? Huenda tunapishana pasipo kujua. Au akawa hakai mbali nauli ya kwenda kwake nkawa nayo. Ila nyie watu siwaelewi kabisaaa. Si umeambiwa maombi hajibu? Ukimuita anakaa kimya? Sasa huyo Mungu mwenye kiburi,wa nini?Hamna haja ya kukujibu atheist .
Ipo hivi ww ishi ukiwa haumtambui Mungu muumba wako uwe muislam au mkristo ,kula bata , tafuta mali n.k
Ukifa tu usijali nakuhakikishia majibu utayapata tu . Cha msingi kwa sasa kama unaweza endelea na kumkebehi tu ,na naomba akupe muda mrefu wa kuishi ukiwa bila maradhi wala chochote .
Majibu uyapate mbele kwa kuwa as the sun surely rises mtapatana tu
Myahudi au siyo? Leo unamkana?Nina Mungu tu, sina mungu wala miungu
MakanyagaMyahudi au siyo? Leo unamkana?
Ukiweka Aya ya QUR'AN ikitaja idadi hiyo ya mabikira nakuwa mpagani Sasa hiviMungu aliwaahidi wanaume wa kiislamu mabikra 72 na mito ya pombe tamu huko mbinguni.
Ukiwa mpagani nitapungukiwa nini?Ukiweka Aya ya QUR'AN ikitaja idadi hiyo ya mabikira nakuwa mpagani Sasa hivi
Nilidhani utaweka ayaUkiwa mpagani nitapungukiwa nini?
Allah na mungu ni viumbe tofauti?Nilidhani utaweka aya
Uache uzushi na kudandia mambo Kama shangingiAllah na mungu ni viumbe tofauti?