Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Mwenyewe namshangaa wanapanic vitu vya kawaida,eti kazaa.....
 
Umeongea nini wewe?hueleweki mbona
 

kwanza nikuite wewe mpumbavu kujiita muislamu huku unaamini manabii wa uongo. waislamu mchongo kama nyinyi wapo wengi kwa mwaposa waislamu feki kama wewe wapo wengi mitaani. ukiulizwa nguzo za uislamu ni ngapi hujui eti mimi ni muislamu pumbavu
 
reymage bila ya wewe mshikaji wangu, mie hapa mjini siku hizi nakuwa mweupe kama karatasi za rim.
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Niko mkoa kaka kwa muda nikirudi ntakuja na maudambwidambwi yoote!!![emoji846]umbea huu unakujaga live live sio kwa siku!!!
 
Wahuni wote tz wamekimbilia kumdhalilisha Muumba kwamba wao ni manabii! Yaani njaa hii! Sijui wakifa wataenda kusema nini! Haya manabii uchwara sisi yetu macho!
 
Hivi unajua huyo uliyempost hapo kama hizo ndio Characters zake Huoni kwamba atakuwa ni Katili sana...

Yaani ili usimuumize mtu fulani (ana upendeleo) anaamua kumuua mwingine (ambaye hana kosa) ili kumziba mdomo third party...

Pili atakuwa sio Efficient Kabisa kwanini asingempiga usahaulifu akasau alichotaka kufanya ?

Hizi Imani hizi !!!!; To each his/her own....
 
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Niko mkoa kaka kwa muda nikirudi ntakuja na maudambwidambwi yoote!!![emoji846]umbea huu unakujaga live live sio kwa siku!!!
Nakukubali 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…