MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Sasa kama nawe damn Fool umeshazaa nae si ni lazima tu utajitutumua Kumtetea hapa? Wala hatukushangai sana sana tunakuonea tu Huruma kwani kwa haya Mapungufu yako hauko mbali kuwa Psychopath.Dah kumbe ishu yenyewe ya kitoto namna HII basi nikafikiria bonge la ishu.
Kwa vyovyote vile haiwezi kufikia ishu ya Nabii Ibrahimu baba wa Imani ambae alizaa Na dada yake walie share baba mmoja ila mama mbalimbali ( MWANZO 20:12) au ( Nabii?) Lutu Alie zaa Na binti zake wawili WA kuwazaa mwenyewe.
Nne...mm nna ushahidi kutoka kwa mwanadada aliekuwa anaimba kwaya kwenye kanisa la jamaa mmoja anaejiita MTUME NA NABII namna alivyokuwa akitakwa kimapenzi na mtumishi huyo wa Mungu
Ambazo huna.Akili ni nini mkuu?
Kuwa amekuzalisha au?Jibu swali wewe
Kwa haya Maelezo yako yaliyojaa Chuki kwa Mange Kimambi mbona hata Wewe unaonekana ni Mbea Mwandamizi vile vile?Ukiwa na akili timamu hauwezi kushawishiwa na MANGE KIMAMBI hata kidogo.. wafuasi wake wengi ni wanaenda kama hawaendi.. hivi nimsikilize mange kweli.. maandamano yake yalee yalionesha tosha kama hana mtu anayemsikiliza tatizo watanzania tunapenda tu UMBEA hili ndio tatzo ila hakuna anayemsikiliza seriously
Huyo atakuwa ni mungu na siyo Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo tunayemjua na Kumuabudu Sisi.Yan Mungu aache wagonjwa hospitalin aende kuadhibu Mange?
Interest pekee aliyonayo LIKUD ni kubeba tu Mimba ya huyo Womanizer, Mshirikina na Tapeli wa Kiimani wa Tanganyika Packers Kawe.Mtoa post nadhan Kuna interest unapata kwa huyo mwamposa au mange alikurusha kwa blog yake.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mlioamini mlipigwa ( mlidanganywa ) na Ukweli ni kwamba hakuwa Mkewe kweli ila alitengenezwa ili Kuletwa Kwenu muamini muache Kulijadili hilo na Kumjadili Yeye Womanizer, Mshirikina na Tapeli wa Kiimani wa Tanganyika Packers Kawe.Mama Mwamposa alitambulishwa siku moja tu madhabahuni tena baada ya waumini kuanza kunong’ona you wapi mama Mchungaji, kwani mke wa Mchungaji huwa kiongozi wa Women Forum kanisani.
Absolutely Nonsense.....!!!!Mm nachojua ile vita ambayo le kokobanga papaa mobimba imepata ahueni kwenye mgao wa mzee malecela atapata pakubwa maana yule mshindan wake hatunae Tena
Na mange alijiunga na ntuli ili kumuatack le kibamiaz
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Dhambi huwa haijifichi, lazima ikuumbue, hata angeomba na kuomba Kama mtoto inabidi azaliwe angezaliwa tu. Mtoto Hana hatia, dhambi ya baba na Mama yake haimuhusu, labda uovu atabeba.Sasa kama Mwamposa anatamba na kudai ana Nguvu za Kiroho kwanini hiyo Mimba ya huyo Dada hakuiombea tu ili iyeyuke Kimiujiza kama ambavyo anadai huwa anawaponya Watu Kimiujiza hata Wagonjwa wa UKIMWI na wale wenye Shida na Magonjwa mbalimbali?
Only Nuts kama LIKUD na Wenzake ndiyo watamuamini huyo Womanizer, Mshirikina na Tapeli Mwenzao.