Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Sijaelewa hapa...
Yaani Mungu anajibu maombi ya mtu mwengine kwa kifo cha mtu mwengine..!!
Yaani wewe baba ako akafanye Majanga yake huko halafu Mungu aje kukuua wewe?

Huyo Mugu wako anaefanya hivi HAPANA KWA KWELI.

Mi Mungu wangu HAWEZI kuniua Mimi kwa YASIYONIHUSU aisee hata kama katenda ndugu yangu..!!!

#YNWA
achana na huyo alieleta mada chonganishi,ila mimi nakuusia wewe,,MAMBO YA MUNGU NI MAPANA SANA,NA NJIA ZAKE HAKUNA AWEZAYE KUZIJUA,HUFANYA LOLOTE LIMPENDEZALO,KWA YEYOTE AMTAKAYE NA HAKUNA CHA KUMZUIA...kumbuka hili siku zote...
 
achana na huyo alieleta mada chonganishi,ila mimi nakuusia wewe,,MAMBO YA MUNGU NI MAPANA SANA,NA NJIA ZAKE HAKUNA AWEZAYE KUZIJUA,HUFANYA LOLOTE LIMPENDEZALO,KWA YEYOTE AMTAKAYE NA HAKUNA CHA KUMZUIA...kumbuka hili siku zote...
Kwahiyo ndio anakuhukumu wewe kwa kosa la wazazi wako?
Yaani kosa afanye A na adhabu apewe B?..!!!!!

#YNWA
 
U have got a very little understanding about spiritual intelligence and how it is operating

Ni hivi spiritual intelligence ina work out through deception and distraction .

Mfano NIMEKUJA KWAKO KUMCHUMBIA BINTI YAKO UKAPOKEA MAHARI YANGU. WAKATI NAFANYA UTARATIBU WA VIKAO VYA HARUSI AKATOKEA MUOAJI MWINGINE MWENYE PESA NYINGI KULIKO MIMI AKAKUAHIDI PESA NYINGI NA ZAWADI NYINGI.

SO UKAAMUA KUMUOZESHA BINTI YAKO MIMI MKANIRUSHA. NIKIMPIGIA SIMU BINTI YAKO HAONYESHI USHIRIKIANO NIKIKUPIGIA WEWE UNAJIBU " ONGEA KWANZA NA MWENZAKO MUELEWANE"

SO NIKASTUKIA MCHEZO WAKO.

SPIRITUAL INTELLIGENCE HAINITAKI NIMROGE BINTI YAKO WALA WEWE WALA HUYO MUOAJI MPYA KWANZA.

INANITAKA NIMROGE MTU MWINGINE KABISA KATIKA FAMILY YAKO LAKINI ANA DEEP BLOOD CONNECTION WITH YOU.

MFANO UNA BINTI YAKO MWINGINE ANAISHI MBEYA AU BADO ANASOMA YUPO KIDATO CHA TANO MKOANI HUKO ANASOMA BOARDING AMBAE WALA HAUSIKI KWA CHOCHOTE NA UHUNI MLIONIFANYIA.

SIKU MOJA KABLA YA HUYU MUOAJI MPYA KULETA MAHARI AU ALFAJIRI YA KUAMKIA SIKU YA KULETA MAHARI MIMI NAMTUPIA JINI HUYO BINTI YAKO WA SEKONDARI ANAKUFA.

SHUGHULI YA MAHARI INAKUFA KWANZA KWA MUDA.

WAKATI WA MSIBA WA BINTI YAKO HUYO UNAWEZA KUUTUMIA KUTAFAKARI UPYA KUHUSU UAMUZI WAKO WA KUNIDHULUMU MIMI.

UNAWEZA KUBADILI UAMUZI WAKO NA KUMWAMBIA BINTI YAKO AJIRUDI KWANGU MIPANGO IENDELEE KAMA KAWA.

KIFO CHA BINTI YAKO KITATUMIKA KAMA SHULE YA KUKUFUNDISHA KILE ULICHO KUWA UMEKISAHAU AU KILE AMBACHO HUKUFUNDISHWA NA WAZAZI WAKO KWAMBA DUNIANI UNAPITA NA KIFO KINAWEZA KUKUFUATA BILA KUTARAJIA.
Narudia Tena, Huyo Mungu wako nomaaa...!!!

Kwahiyo hapo ulipo unasubiri kutumikia vitasa vya wazazi wako kwa ajili ya makosa yao ambayo hata haya kuhusu?

Mi Mungu wangu humuadhibu mfanya makosa mwenyewe kwa kosa lake mwenyewe..!!!

#YNWA
 
Mange Kimambi alisema ata mlipua Mwamposa Kesho tarehe 11 February

Leo amepost amepatwa na msiba mzito wa mama yake wa kambo ambae alikuwa kama godmother wake Dr. Mwele Malecela.

Maana yake ni kwamba Mange Kimambi hatopost kuhusu Mwamposa hiyo tarehe 11 ya Kesho Kwa Sababu atakuwa kwenye msiba.

Je Jambo hili limetokea kama coincidence au Madhabahu ya Mungu wa Mwamposa imetenda kazi?

Ushauri wangu Kwa Mange . Watu wanao itwa Watumishi WA Mungu achana nao unaweza kupata matatizo ambayo hukuyatarajia.

Huko kwenye Madhabahu ZA kiroho huwaga Kuna prayer line maarufu Sana inatumiwa Na prayer warriors Ina SEMA " THOSE WHO WANT US TO CRY , OUR LORD GOD WILL THEM CRY BLOOD FIRST"


Hivi Mwamposa akisema kwamba Huo msiba ulio kupata dada angu Mange Ni Kwa Sababu Kwa kuwa wewe ulitaka yeye Mwamposa Alie basi Mungu wa madhabahu yake amekufanya wewe Mange uanze kulia kabla yake , Je anaweza kukosa Kweli Kundi la watu watakao amini hoja yake? Hapana hawezi kukosa.

Maana yake Ni kwamba Imani ya watu Kwa Mwamposa itaongezeka Zaidi.


Mimi ni muislamu lakini kauli mbiu yangu siku zote huwaga Ni " Usimtukane Nabii hata kama umesikia watu wanasema Ni Nabii WA uongo". Kwa Sababu for my personal opinion MTU hawezi kufake kitu Kwa Zaidi ya miaka mitatu mfululizo. ( U will always become what u pretend to be )

Kwa hiyo hata kama mtu alikuwa ana pretend unabii mwanzoni wakati anaanza baadae anaweza kujikuta consciousness yake Ina msuta Ina mtaka awe Nabii Kweli.

Hiki ninacho kisema kimekuwa proved Kwa watu wengi Sana.

Masanja Mdandamizaji alikuwaga anaigiza upasta mwisho wa siku Kawa pasta Kweli.

Pastor Miyamba alikuwa anaigiza kama pastor kwenye movie mwisho wa siku kawa pasta Kweli.

Yule jamaa aliye igiza movie ZA YESU mwisho wa siku alijikuta anatenda miujiza Kweli

Mifano IPO Mingi Sana Na sio ya upasta Tu Na hapo nimezungumzia hiyo ya watu kuigiza kwenye movie Na sio wale wanao pretend huku mitaani Na kwingineko kama vile Mwijaku amekuwa Aki pretend kwamba yeye ni mtu muhimu katika jamii Sasa hivi mpaka Rais anamtaja hadharani.

Mifano Ni Mingi mno.

Rest in peace DK Mwele Malecela.

Pole Sana Mange Kimambi Na wafiwa wote

Mwenyezi Mungu awatie nguvu
Dk mwele alikua na kansa acha fitna
 
Wenye Akili Kubwa wakiwasihi kuwa msimuamini huyo Womanizer, Mshirikina na Tapeli wa Tanganyika Packers Kawe si huwa hamuwaamini? Acheni awatumieni kutokana na Vichwa vya wengi wenu kujaa Utomvu.
Wewe mbona unatoka mishipa mingi kumponda mtu ambaye humjui usione sifa kuna unachekwa kwa dharau sana jitafakari kama humkubari kaa kimya mi sisali kwa mwamposa ila sipo kama wewe unayetoa povu kwa vitu visivyokuhusu
 
Yaani nikikumbuka Gwajima eti mkono wa baunsa. Na wafuasi wake wakaamini. Huyu Mwamposa nae tapeli tu. Acha awalie book book zao.
Nakumbuka those times nikawa naendaga kwake akiwa vatican pale mara 2. Sikurudi tena. Moyo wangu ulikataa kabisaaa. Makanisa ambayo hayana faida katika jamii. Kupokea sadaka za kupanda mbegu tu kwa nabii wakagongee mademu zao na waimba kwaya wa kanisani. Hakuna shule wanajenga, hispitali wala takataka gani. Na mademu wadangaji hawafanyagi makosa. Wanajilengesha na kuzaa nao wanufaike sadakanzetu. Kuna malaya mmoja alikua anakiuzia nje amefungua massage parlour ndo wananyooshana sasa hv na mtoto juu. .

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mbona site zingine zimesha sema , amezaa mtoto na mwanamke , muumini wake.
Kumbe ishu yenyewe ni mambo ya kitoto kitoto kama hayo dah wajameni Sasa mwanaume kuzaa Na mwanamke Nini cha ajabu hapo?

Waambie wakimaliza kumpost Mwamposa wampost na Nabii Ibrahim Baba wa Imani aliye zaa Na dada yake walie share baba mmoja ila mama tofauti ( MWANZO 20:12) Kisha akambaka na kumtumia kama sex slave Kwa Muda wa miaka Kumi mjakazi wake HAJIRA ,halafu akazaa na serufi/hawara Yake/ mchepuko wake aitwae Ketura ambae before that alikuwa mjakazi wake

Kisha wamalizie Kwa kumpost Na Nabii Lutu ambae alizaa Na mabinti zake wakuwazaa mwenyewe
 
Nyie mchocheeni tu huyo mange atapotea vibaya sana mwambieni apost halafu mpeni mda kidogo mtakuja kuzungunza hapa hapa
Mwamposa acha Kutisha Watu na huna Nguvu hiyo Wala Ubavu huo. Anza na Ndugu zako hasa Dada yako wa Gongo la Mboto na aliyekuwa Mfanyakazi wako sasa anaishi Bunju kisha maliza na Mmoja wa Watendaji wako hapo Kanisani unayemuamini na Kumpenda mno kwa Kuvuja kwa Siri zako za Ndani na Upuuzi wako sawa?

Uchawi wako umeutoa nchini Nigeria mji wa Kanu ila kwa sasa unapata sana Uchawi mkubwa kutoka Congo DR, Msumbiji na Zambia achilia mbali na ule wa kutoka Mkoani Kigoma.

Tunajua kuwa ulitakiwa uhame hapo Kawe, ila sasa wamekuacha ubakie hapo kwakuwa kila Wiki huwa unawapa Rushwa Waandamizi Wakubwa Wanne katika Serikali ya Rais Samia hivyo wanakukingia Kifua na ule mpango wako wa Kujenga Kanisa lako Kubwa Goba kwa sasa umeusitisha.

au unataka tuweke Hadharani ya Moshi?

Cc: LIKUD
 
Back
Top Bottom