Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

achana na huyo alieleta mada chonganishi,ila mimi nakuusia wewe,,MAMBO YA MUNGU NI MAPANA SANA,NA NJIA ZAKE HAKUNA AWEZAYE KUZIJUA,HUFANYA LOLOTE LIMPENDEZALO,KWA YEYOTE AMTAKAYE NA HAKUNA CHA KUMZUIA...kumbuka hili siku zote...
 
achana na huyo alieleta mada chonganishi,ila mimi nakuusia wewe,,MAMBO YA MUNGU NI MAPANA SANA,NA NJIA ZAKE HAKUNA AWEZAYE KUZIJUA,HUFANYA LOLOTE LIMPENDEZALO,KWA YEYOTE AMTAKAYE NA HAKUNA CHA KUMZUIA...kumbuka hili siku zote...
Kwahiyo ndio anakuhukumu wewe kwa kosa la wazazi wako?
Yaani kosa afanye A na adhabu apewe B?..!!!!!

#YNWA
 
Narudia Tena, Huyo Mungu wako nomaaa...!!!

Kwahiyo hapo ulipo unasubiri kutumikia vitasa vya wazazi wako kwa ajili ya makosa yao ambayo hata haya kuhusu?

Mi Mungu wangu humuadhibu mfanya makosa mwenyewe kwa kosa lake mwenyewe..!!!

#YNWA
 
Dk mwele alikua na kansa acha fitna
 
Wenye Akili Kubwa wakiwasihi kuwa msimuamini huyo Womanizer, Mshirikina na Tapeli wa Tanganyika Packers Kawe si huwa hamuwaamini? Acheni awatumieni kutokana na Vichwa vya wengi wenu kujaa Utomvu.
Wewe mbona unatoka mishipa mingi kumponda mtu ambaye humjui usione sifa kuna unachekwa kwa dharau sana jitafakari kama humkubari kaa kimya mi sisali kwa mwamposa ila sipo kama wewe unayetoa povu kwa vitu visivyokuhusu
 
Mbona site zingine zimesha sema , amezaa mtoto na mwanamke , muumini wake.
 
Yaani nikikumbuka Gwajima eti mkono wa baunsa. Na wafuasi wake wakaamini. Huyu Mwamposa nae tapeli tu. Acha awalie book book zao.
Nakumbuka those times nikawa naendaga kwake akiwa vatican pale mara 2. Sikurudi tena. Moyo wangu ulikataa kabisaaa. Makanisa ambayo hayana faida katika jamii. Kupokea sadaka za kupanda mbegu tu kwa nabii wakagongee mademu zao na waimba kwaya wa kanisani. Hakuna shule wanajenga, hispitali wala takataka gani. Na mademu wadangaji hawafanyagi makosa. Wanajilengesha na kuzaa nao wanufaike sadakanzetu. Kuna malaya mmoja alikua anakiuzia nje amefungua massage parlour ndo wananyooshana sasa hv na mtoto juu. .

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mbona site zingine zimesha sema , amezaa mtoto na mwanamke , muumini wake.
Kumbe ishu yenyewe ni mambo ya kitoto kitoto kama hayo dah wajameni Sasa mwanaume kuzaa Na mwanamke Nini cha ajabu hapo?

Waambie wakimaliza kumpost Mwamposa wampost na Nabii Ibrahim Baba wa Imani aliye zaa Na dada yake walie share baba mmoja ila mama tofauti ( MWANZO 20:12) Kisha akambaka na kumtumia kama sex slave Kwa Muda wa miaka Kumi mjakazi wake HAJIRA ,halafu akazaa na serufi/hawara Yake/ mchepuko wake aitwae Ketura ambae before that alikuwa mjakazi wake

Kisha wamalizie Kwa kumpost Na Nabii Lutu ambae alizaa Na mabinti zake wakuwazaa mwenyewe
 
Nyie mchocheeni tu huyo mange atapotea vibaya sana mwambieni apost halafu mpeni mda kidogo mtakuja kuzungunza hapa hapa
Mwamposa acha Kutisha Watu na huna Nguvu hiyo Wala Ubavu huo. Anza na Ndugu zako hasa Dada yako wa Gongo la Mboto na aliyekuwa Mfanyakazi wako sasa anaishi Bunju kisha maliza na Mmoja wa Watendaji wako hapo Kanisani unayemuamini na Kumpenda mno kwa Kuvuja kwa Siri zako za Ndani na Upuuzi wako sawa?

Uchawi wako umeutoa nchini Nigeria mji wa Kanu ila kwa sasa unapata sana Uchawi mkubwa kutoka Congo DR, Msumbiji na Zambia achilia mbali na ule wa kutoka Mkoani Kigoma.

Tunajua kuwa ulitakiwa uhame hapo Kawe, ila sasa wamekuacha ubakie hapo kwakuwa kila Wiki huwa unawapa Rushwa Waandamizi Wakubwa Wanne katika Serikali ya Rais Samia hivyo wanakukingia Kifua na ule mpango wako wa Kujenga Kanisa lako Kubwa Goba kwa sasa umeusitisha.

au unataka tuweke Hadharani ya Moshi?

Cc: LIKUD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…