Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Nilimkuta Nabii Shilla anakata mauno pale nanii, Band inamtaja anamwaga mijihela tena ilikua jumamosi meaning jumapili alienda Kanisani kuhubiri neno la Mungu hehehehe sipati kusema huyo Mzee wa Upako na mwenziwe Gwaji Boy,

Hao wanaojiita Manabii na Mitume ni wazee wa Fursa usihadaike na mazingaombwe yao.
 
Wewe mbona unatoka mishipa mingi kumponda mtu ambaye humjui usione sifa kuna unachekwa kwa dharau sana jitafakari kama humkubari kaa kimya mi sisali kwa mwamposa ila sipo kama wewe unayetoa povu kwa vitu visivyokuhusu
Mwamposa acha Kupoteza muda nami you're nothing to me, you can't do anything to me and you're a just a Womanizer, Sorcerer and Spiritual Con Man okay?
 
Alisikika msweta/msimbiti mmoja akisema kwenye kijiwe kimoja cha mshona viatu pale Bunda mjini mkoani Mara.

Nikiripoti kutoka mkoani Mara Mimi ni Geoooooorge Kapalatu
 
Upuuzi tu. Who the hell is mwamposa..hata kama ndio yeye amehusika, msiba utaisha na atakuja kupasua jipu hadharani akishamaliza msiba.
Na wengine tunaoyajua mengi zaidi ( mabaya ) ya Mwamposa tutaendelea pale ambapo Mange Kimambi ataishia.
 
Wanaume wa dar wanapenda sana kumfuatilia huyo dada nilishangaa sana mwenyeji wangu alivyotoa simu kwenye chaji na kusema

" Ngoja niingie page ya mangi nikasome ubuyu " baadae nawauliza wajomba zangu wa kike wadogo pale hivi ubuyu ni nini wananiambia eti ni umbea


Daah nilichoka
 
Mama Pablo mjini mpango

Na Dini siku hizi ni biashara

Kwahyo dada hata kama hataki kuzaa na mzee inabidi tu atege ili apate ugali we unadhani hao wanabebaga mimba za wasomba mchanga mtoni
 
Hizo Sadaka wanazotoa Masikini Wapumbavu kila Will Kwake ndiyo amezitumia Kununua Nyumba nzuri na yenye Eneo Kubwa ya aliyekuwa Rubani wa Ndege wa Hayati Mwalimu Nyerere kwa Shilingi Bilioni 2 hapo Avocado Mikocheni mita chache tu kutoka ilipo Tripple Seven Hotel na nyumba ya Mkwewe Rais Dk. Mwinyi wa Zanzibar.

Cc: LIKUD
 
Wewe mbona unatoka mishipa mingi kumponda mtu ambaye humjui usione sifa kuna unachekwa kwa dharau sana jitafakari kama humkubari kaa kimya mi sisali kwa mwamposa ila sipo kama wewe unayetoa povu kwa vitu visivyokuhusu
We jamaa ni mfia dini

Unapumbazwa sana

Amka kwenye huo usingizi uliolala
 

Kwani kwa original east hawajaona file la mwamposa limeanza kutolewa,dada aliezaa nae etc mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Sasa kama Wewe tu ameshakuzalisha mpaka amechoka utamshangaa Kweli Yeye Kuwazalisha wengine? Huna Akili.
 
This is bizarre!!
 
Alisikika msweta/msimbiti mmoja akisema kwenye kijiwe kimoja cha mshona viatu pale Bunda mjini mkoani Mara.

Nikiripoti kutoka mkoani Mara Mimi ni Geoooooorge Kapalatu
Naona Sindano zangu Kali sasa zinaanza Kukuingia vizuri. Pole sana na hapa bado ndiyo ninaanza hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…