Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Nilimkuta Nabii Shilla anakata mauno pale nanii, Band inamtaja anamwaga mijihela tena ilikua jumamosi meaning jumapili alienda Kanisani kuhubiri neno la Mungu hehehehe sipati kusema huyo Mzee wa Upako na mwenziwe Gwaji Boy,

Hao wanaojiita Manabii na Mitume ni wazee wa Fursa usihadaike na mazingaombwe yao.
 
Wewe mbona unatoka mishipa mingi kumponda mtu ambaye humjui usione sifa kuna unachekwa kwa dharau sana jitafakari kama humkubari kaa kimya mi sisali kwa mwamposa ila sipo kama wewe unayetoa povu kwa vitu visivyokuhusu
Mwamposa acha Kupoteza muda nami you're nothing to me, you can't do anything to me and you're a just a Womanizer, Sorcerer and Spiritual Con Man okay?
 
Mwamposa acha Kutisha Watu na huna Nguvu hiyo Wala Ubavu huo. Anza na Ndugu zako hasa Dada yako wa Gongo la Mboto na aliyekuwa Mfanyakazi wako sasa anaishi Bunju kisha maliza na Mmoja wa Watendaji wako hapo Kanisani unayemuamini na Kumpenda mno kwa Kuvuja kwa Siri zako za Ndani na Upuuzi wako sawa?

Uchawi wako umeutoa nchini Nigeria mji wa Kanu ila kwa sasa unapata sana Uchawi mkubwa kutoka Congo DR, Msumbiji na Zambia achilia mbali na ule wa kutoka Mkoani Kigoma.

Tunajua kuwa ulitakiwa uhame hapo Kawe, ila sasa wamekuacha ubakie hapo kwakuwa kila Wiki huwa unawapa Rushwa Waandamizi Wakubwa Wanne katika Serikali ya Rais Samia hivyo wanakukingia Kifua na ule mpango wako wa Kujenga Kanisa lako Kubwa Goba kwa sasa umeusitisha.

au unataka tuweke Hadharani ya Moshi?

Cc: LIKUD
Alisikika msweta/msimbiti mmoja akisema kwenye kijiwe kimoja cha mshona viatu pale Bunda mjini mkoani Mara.

Nikiripoti kutoka mkoani Mara Mimi ni Geoooooorge Kapalatu
 
Upuuzi tu. Who the hell is mwamposa..hata kama ndio yeye amehusika, msiba utaisha na atakuja kupasua jipu hadharani akishamaliza msiba.
Na wengine tunaoyajua mengi zaidi ( mabaya ) ya Mwamposa tutaendelea pale ambapo Mange Kimambi ataishia.
 
Ukiwa na akili timamu hauwezi kushawishiwa na MANGE KIMAMBI hata kidogo.. wafuasi wake wengi ni wanaenda kama hawaendi.. hivi nimsikilize mange kweli.. maandamano yake yalee yalionesha tosha kama hana mtu anayemsikiliza tatizo watanzania tunapenda tu UMBEA hili ndio tatzo ila hakuna anayemsikiliza seriously
Wanaume wa dar wanapenda sana kumfuatilia huyo dada nilishangaa sana mwenyeji wangu alivyotoa simu kwenye chaji na kusema

" Ngoja niingie page ya mangi nikasome ubuyu " baadae nawauliza wajomba zangu wa kike wadogo pale hivi ubuyu ni nini wananiambia eti ni umbea


Daah nilichoka
 
Nakumbuka those times nikawa naendaga kwake akiwa vatican pale mara 2. Sikurudi tena. Moyo wangu ulikataa kabisaaa. Makanisa ambayo hayana faida katika jamii. Kupokea sadaka za kupanda mbegu tu kwa nabii wakagongee mademu zao na waimba kwaya wa kanisani. Hakuna shule wanajenga, hispitali wala takataka gani. Na mademu wadangaji hawafanyagi makosa. Wanajilengesha na kuzaa nao wanufaike sadakanzetu. Kuna malaya mmoja alikua anakiuzia nje amefungua massage parlour ndo wananyooshana sasa hv na mtoto juu. .

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mama Pablo mjini mpango

Na Dini siku hizi ni biashara

Kwahyo dada hata kama hataki kuzaa na mzee inabidi tu atege ili apate ugali we unadhani hao wanabebaga mimba za wasomba mchanga mtoni
 
Nakumbuka those times nikawa naendaga kwake akiwa vatican pale mara 2. Sikurudi tena. Moyo wangu ulikataa kabisaaa. Makanisa ambayo hayana faida katika jamii. Kupokea sadaka za kupanda mbegu tu kwa nabii wakagongee mademu zao na waimba kwaya wa kanisani. Hakuna shule wanajenga, hispitali wala takataka gani. Na mademu wadangaji hawafanyagi makosa. Wanajilengesha na kuzaa nao wanufaike sadakanzetu. Kuna malaya mmoja alikua anakiuzia nje amefungua massage parlour ndo wananyooshana sasa hv na mtoto juu. .

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hizo Sadaka wanazotoa Masikini Wapumbavu kila Will Kwake ndiyo amezitumia Kununua Nyumba nzuri na yenye Eneo Kubwa ya aliyekuwa Rubani wa Ndege wa Hayati Mwalimu Nyerere kwa Shilingi Bilioni 2 hapo Avocado Mikocheni mita chache tu kutoka ilipo Tripple Seven Hotel na nyumba ya Mkwewe Rais Dk. Mwinyi wa Zanzibar.

Cc: LIKUD
 
Wewe mbona unatoka mishipa mingi kumponda mtu ambaye humjui usione sifa kuna unachekwa kwa dharau sana jitafakari kama humkubari kaa kimya mi sisali kwa mwamposa ila sipo kama wewe unayetoa povu kwa vitu visivyokuhusu
We jamaa ni mfia dini

Unapumbazwa sana

Amka kwenye huo usingizi uliolala
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] takataka kabisaaaa.... eti madhabahu ya mwampoo. Hawa manabii wenu uchafu wao ungekua unawekwa hadharani tungekimbiana.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app

Kwani kwa original east hawajaona file la mwamposa limeanza kutolewa,dada aliezaa nae etc mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Kumbe ishu yenyewe ni mambo ya kitoto kitoto kama hayo dah wajameni Sasa mwanaume kuzaa Na mwanamke Nini cha ajabu hapo?

Waambie wakimaliza kumpost Mwamposa wampost na Nabii Ibrahim Baba wa Imani aliye zaa Na dada yake walie share baba mmoja ila mama tofauti ( MWANZO 20:12) Kisha akambaka na kumtumia kama sex slave Kwa Muda wa miaka Kumi mjakazi wake HAJIRA ,halafu akazaa na serufi/hawara Yake/ mchepuko wake aitwae Ketura ambae before that alikuwa mjakazi wake

Kisha wamalizie Kwa kumpost Na Nabii Lutu ambae alizaa Na mabinti zake wakuwazaa mwenyewe
Sasa kama Wewe tu ameshakuzalisha mpaka amechoka utamshangaa Kweli Yeye Kuwazalisha wengine? Huna Akili.
 
U have got a very little understanding about spiritual intelligence and how it is operating

Ni hivi spiritual intelligence ina work out through deception and distraction .

Mfano NIMEKUJA KWAKO KUMCHUMBIA BINTI YAKO UKAPOKEA MAHARI YANGU. WAKATI NAFANYA UTARATIBU WA VIKAO VYA HARUSI AKATOKEA MUOAJI MWINGINE MWENYE PESA NYINGI KULIKO MIMI AKAKUAHIDI PESA NYINGI NA ZAWADI NYINGI.

SO UKAAMUA KUMUOZESHA BINTI YAKO MIMI MKANIRUSHA. NIKIMPIGIA SIMU BINTI YAKO HAONYESHI USHIRIKIANO NIKIKUPIGIA WEWE UNAJIBU " ONGEA KWANZA NA MWENZAKO MUELEWANE"

SO NIKASTUKIA MCHEZO WAKO.

SPIRITUAL INTELLIGENCE HAINITAKI NIMROGE BINTI YAKO WALA WEWE WALA HUYO MUOAJI MPYA KWANZA.

INANITAKA NIMROGE MTU MWINGINE KABISA KATIKA FAMILY YAKO LAKINI ANA DEEP BLOOD CONNECTION WITH YOU.

MFANO UNA BINTI YAKO MWINGINE ANAISHI MBEYA AU BADO ANASOMA YUPO KIDATO CHA TANO MKOANI HUKO ANASOMA BOARDING AMBAE WALA HAUSIKI KWA CHOCHOTE NA UHUNI MLIONIFANYIA.

SIKU MOJA KABLA YA HUYU MUOAJI MPYA KULETA MAHARI AU ALFAJIRI YA KUAMKIA SIKU YA KULETA MAHARI MIMI NAMTUPIA JINI HUYO BINTI YAKO WA SEKONDARI ANAKUFA.

SHUGHULI YA MAHARI INAKUFA KWANZA KWA MUDA.

WAKATI WA MSIBA WA BINTI YAKO HUYO UNAWEZA KUUTUMIA KUTAFAKARI UPYA KUHUSU UAMUZI WAKO WA KUNIDHULUMU MIMI.

UNAWEZA KUBADILI UAMUZI WAKO NA KUMWAMBIA BINTI YAKO AJIRUDI KWANGU MIPANGO IENDELEE KAMA KAWA.

KIFO CHA BINTI YAKO KITATUMIKA KAMA SHULE YA KUKUFUNDISHA KILE ULICHO KUWA UMEKISAHAU AU KILE AMBACHO HUKUFUNDISHWA NA WAZAZI WAKO KWAMBA DUNIANI UNAPITA NA KIFO KINAWEZA KUKUFUATA BILA KUTARAJIA.
This is bizarre!!
 
Alisikika msweta/msimbiti mmoja akisema kwenye kijiwe kimoja cha mshona viatu pale Bunda mjini mkoani Mara.

Nikiripoti kutoka mkoani Mara Mimi ni Geoooooorge Kapalatu
Naona Sindano zangu Kali sasa zinaanza Kukuingia vizuri. Pole sana na hapa bado ndiyo ninaanza hivyo.
 
Back
Top Bottom