Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Mungu wa madhabahu ya Mwamposa

Hizo Sadaka wanazotoa Masikini Wapumbavu kila Will Kwake ndiyo amezitumia Kununua Nyumba nzuri na yenye Eneo Kubwa ya aliyekuwa Rubani wa Ndege wa Hayati Mwalimu Nyerere kwa Shilingi Bilioni 2 hapo Avocado Mikocheni mita chache tu kutoka ilipo Tripple Seven Hotel na nyumba ya Mkwewe Rais Dk. Mwinyi wa Zanzibar.

Cc: LIKUD
Yaan na wanawake ndo tunaongoza kwa kiwa mazuzu..

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wa dar wanapenda sana kumfuatilia huyo dada nilishangaa sana mwenyeji wangu alivyotoa simu kwenye chaji na kusema

" Ngoja niingie page ya mangi nikasome ubuyu " baadae nawauliza wajomba zangu wa kike wadogo pale hivi ubuyu ni nini wananiambia eti ni umbea


Daah nilichoka
😄😄😄 wamekusikia mkuu ngoja waje.
 
Jamani wenzenu tunapona
Mwamposa acha Kutisha Watu na huna Nguvu hiyo Wala Ubavu huo. Anza na Ndugu zako hasa Dada yako wa Gongo la Mboto na aliyekuwa Mfanyakazi wako sasa anaishi Bunju kisha maliza na Mmoja wa Watendaji wako hapo Kanisani unayemuamini na Kumpenda mno kwa Kuvuja kwa Siri zako za Ndani na Upuuzi wako sawa?

Uchawi wako umeutoa nchini Nigeria mji wa Kanu ila kwa sasa unapata sana Uchawi mkubwa kutoka Congo DR, Msumbiji na Zambia achilia mbali na ule wa kutoka Mkoani Kigoma.

Tunajua kuwa ulitakiwa uhame hapo Kawe, ila sasa wamekuacha ubakie hapo kwakuwa kila Wiki huwa unawapa Rushwa Waandamizi Wakubwa Wanne katika Serikali ya Rais Samia hivyo wanakukingia Kifua na ule mpango wako wa Kujenga Kanisa lako Kubwa Goba kwa sasa umeusitisha.

au unataka tuweke Hadharani ya Moshi?

Cc: LIKUD
 
Dah kumbe ishu yenyewe ya kitoto namna HII basi nikafikiria bonge la ishu.
Kwa vyovyote vile haiwezi kufikia ishu ya Nabii Ibrahimu baba wa Imani ambae alizaa Na dada yake walie share baba mmoja ila mama mbalimbali ( MWANZO 20:12) au ( Nabii?) Lutu Alie zaa Na binti zake wawili WA kuwazaa mwenyewe.
Kipindi Cha agano la kale kulikua hakuna ukomo wa kuwa na wanawake ni tofauti na agano jipya ambaye YESU alisema mwanaume awe na mke mmoja hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyokua mshabiki
 
Naona Sindano zangu Kali sasa zinaanza Kukuingia vizuri. Pole sana na hapa bado ndiyo ninaanza hivyo.

🤣🤣🤣🤣🤣 Wewe ni Gentamycene wa mchongo
 
Kipindi Cha agano la kale kulikua hakuna ukomo wa kuwa na wanawake ni tofauti na agano jipya ambaye YESU alisema mwanaume awe na mke mmoja hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyokua mshabiki
Ur still a learner
 
Wanaume wa dar wanapenda sana kumfuatilia huyo dada nilishangaa sana mwenyeji wangu alivyotoa simu kwenye chaji na kusema

" Ngoja niingie page ya mangi nikasome ubuyu " baadae nawauliza wajomba zangu wa kike wadogo pale hivi ubuyu ni nini wananiambia eti ni umbea


Daah nilichoka
Duniani hayupo binadamu asie penda kujua habari za watu wengine. Marais wenyewe wanapenda umbea ndio maana Wana bajeti ya mamilioni Kwa ajili ya kufuatilia habari za watu wengine. mfano Ile tapped convo ya akina Kinana, Makamba and company , ilirekodiwa Kwa amri ya mtu Alie kuwa akifuatilia umbea kutaka kujua wanawaza Nini kuhusu yeye ... Wewe ni mnafiki
 
Hizo Sadaka wanazotoa Masikini Wapumbavu kila Will Kwake ndiyo amezitumia Kununua Nyumba nzuri na yenye Eneo Kubwa ya aliyekuwa Rubani wa Ndege wa Hayati Mwalimu Nyerere kwa Shilingi Bilioni 2 hapo Avocado Mikocheni mita chache tu kutoka ilipo Tripple Seven Hotel na nyumba ya Mkwewe Rais Dk. Mwinyi wa Zanzibar.

Cc: LIKUD
Uzushi
 
Back
Top Bottom