Hizo ni sifa za Mungu katika dini ya Uislamu.Labda nikusaidie kujibu Sifa za Mungu
(1)hakuzaliwa wala kuzaa
(2)Haonekani,hakuna aliyewahi kumuona,ila Musa alisikia sauti yake
(3)hana mwanzo wala mwisho,yaani hawezi kufa
(4)Yeye ni wa pekee hana msaidizi katika kazi zake,na dunia aliiumba peke yake,na mwisho wa dunia atarudi na kuwa peke yake inamana hata Yesu pamoja na maraika watakufa
Umemjibu vizuri kila dini Ina Mungu wake, hata Mungu wa Biblia ni tofauti na Mungu wa kitabu tukufu cha Qur'an.Huyu ni mungu wa kiisilamu allah.
Usisahau kuwa kuna miungu mingi hata shetani huitwa mungu wa dunia hii.
Mungu ni sifa ya "cha kuabudiwa" chochote mtu anachokiabudu hicho ni mungu kwake.
Mungu ni jina la sifa lakini ili kumtofautisha ni miungu mingine hutumia jina lake la utambulisho.
Ndio maana Musa alipokuwa akitumwa Misri alimuimba Mungu aliyekuwa akimtuma ampe jina la utambulisho ili apate kuwaambia wamisri jina la aliyemtuma.
Nimesema chochote kinachoabudiwa ni mungu kwa anaekiabudu lakini yupo Mungu wa kweli astahiliye ibaada kwa haki na uumbaji wote kwa kuwa ndiye aliye umba vyote hata hiyo miungu watu wasiufahamu wanayo iabudu.
Lazima maandiko yamshuhudie huyo huyo.
Ufunuo 5:5-14
Hapa utakuta ni nani aliye katika kile kiti cha Enzi kilicho katikati ya wenye uhai 4 na katikati ya hao wazee 24
Wakimfanyia ibaada huyu na uumbaji wote pia wa viumbe wa mbinguni na duniani.
Wakiisha kuzitupa sifa, shukrani na enzi kwake huyo aliye katika kiti cha enzi wale wenye uhai wanne nao wanasujudu.
SII MWINGINE HUYU HAPO KATIKA KITI CHA ENZI ILA MWANAKONDOO(Simba wa kabila la Yuda)[emoji123]
Duniani endeleeni kushindana juu ya mungu ni nani lakini mbinguni ibaada inapigwa kwa mwana kondoo kwa kwenda mbele.
Safi "Ibada Inapigwa Kwa Mwanakondoo Wa Mungu Kama Kawaida Ameketishwa Mkono Wa Kiumeni"Huyu ni mungu wa kiisilamu allah.
Usisahau kuwa kuna miungu mingi hata shetani huitwa mungu wa dunia hii.
Mungu ni sifa ya "cha kuabudiwa" chochote mtu anachokiabudu hicho ni mungu kwake.
Mungu ni jina la sifa lakini ili kumtofautisha ni miungu mingine hutumia jina lake la utambulisho.
Ndio maana Musa alipokuwa akitumwa Misri alimuimba Mungu aliyekuwa akimtuma ampe jina la utambulisho ili apate kuwaambia wamisri jina la aliyemtuma.
Nimesema chochote kinachoabudiwa ni mungu kwa anaekiabudu lakini yupo Mungu wa kweli astahiliye ibaada kwa haki na uumbaji wote kwa kuwa ndiye aliye umba vyote hata hiyo miungu watu wasiufahamu wanayo iabudu.
Lazima maandiko yamshuhudie huyo huyo.
Ufunuo 5:5-14
Hapa utakuta ni nani aliye katika kile kiti cha Enzi kilicho katikati ya wenye uhai 4 na katikati ya hao wazee 24
Wakimfanyia ibaada huyu na uumbaji wote pia wa viumbe wa mbinguni na duniani.
Wakiisha kuzitupa sifa, shukrani na enzi kwake huyo aliye katika kiti cha enzi wale wenye uhai wanne nao wanasujudu.
SII MWINGINE HUYU HAPO KATIKA KITI CHA ENZI ILA MWANAKONDOO(Simba wa kabila la Yuda)[emoji123]
Duniani endeleeni kushindana juu ya mungu ni nani lakini mbinguni ibaada inapigwa kwa mwana kondoo kwa kwenda mbele.
Tupo sifa za Mungu wako wewe, ili tupimane uelewaHizo ni sifa za Mungu katika dini ya Uislamu.
Kila dini Ina sifa za Mungu wake, usiforce standards unazotumia wewe zifanane na za wengine. Dini kama ya Kihindu, Mungu wao anaonekana sasa utamuambia nini Mhindi?
Hili nalo nililifanyia utafiti na wale watu warefu wanaoishi baharini na wanazungumza kiarabu..Baadhi yao walisema vitu tata sana.....Umemjibu vizuri kila dini Ina Mungu wake, hata Mungu wa Biblia ni tofauti na Mungu wa kitabu tukufu cha Qur'an.
Pole sana,Tupo sifa za Mungu wako wewe, ili tupimane uelewa
"Vitu tata sana." Thread na episode hiyo kuhusu tofauti ya Mungu wa Quraan na WA BIBLIA ni lini ndugu Nelson?Hili nalo nililifanyia utafiti na wale watu warefu wanaoishi baharini na wanazungumza kiarabu..Baadhi yao walisema vitu tata sana.....
Je unaweza kushare nasi hapa jukwaani?Hili nalo nililifanyia utafiti na wale watu warefu wanaoishi baharini na wanazungumza kiarabu..Baadhi yao walisema vitu tata sana.....
Hujawahi kurogwa weweMzeebaba sijasoma yote ila uchawi au ushirikina haupo ni story za kusadikika zinazoshamiri sana kwenye jamii za watu wajinga na maskini ndo maana ni rahisi mtu wa Chitipa kuamini karogwa kuliko mtu wa Masaki achilia mbali Ulaya na bongo.
Wewe ndugu yetu au nawewe ni miongoni mwao hao watu warefuBasi atakua ndio huyo Mungu wa walokole ana kikundi cha watu warefu wenye kuakisi mwanga almost kwa hesabu ya kibinadamu ni trioni na trio ni kwenye ulimwengu wa kificho cha macho.Wanamwita mwana wa mmiliki sababu anaodhi anga yote nje pluto..Kule kusikofikika hata ukitoka nje ya mwili kwa meditation au maelekezo ya wanajimu.Unajua ukitoka nje ya mwili unakutana na hawa watu warefu wenye kuakisi mwanga ila huwezi vuka nje ya mipaka ya ile sayari ya barafu nadhani inaitwa Pluto.
unamaanisha nini mkuu?Wewe suala la muda utakuwa was Mungu.Na utaokoka kweli kweli
Hujawahi kurogwa wewe
Kuna miungu ya kila dini.Mungu wa walokole ni tofauti na Mungu wa waislamu.Kuna tofauti kubwa sana kati ya Mungu wa Quran na Mungu wa Biblia.Lakini binadamu wanawachanganya hawa miungu wawili."Vitu tata sana." Thread na episode hiyo kuhusu tofauti ya Mungu wa Quraan na WA BIBLIA ni lini ndugu Nelson?
Hapana mkuu mimi ni mdadisi tu wa kupeleleza ya walimwengu.Wewe ndugu yetu au nawewe ni miongoni mwao hao watu warefu
Sasa wewe kama Islamic unajuaje kama wakristo wanamwabudu Mungu asiyefanana na wa kwenu? Kwanini mnapenda kulazimisha Mungu wetu na wa kwenu wafanene? Nyinyi mnalazimisha kuwa yesu ni nabii issa na sisi hatumjui huyo issa achenu kufosi ukristo ufanane na nyinyi.Labda nikusaidie kujibu Sifa za Mungu
(1)hakuzaliwa wala kuzaa
(2)Haonekani,hakuna aliyewahi kumuona,ila Musa alisikia sauti yake
(3)hana mwanzo wala mwisho,yaani hawezi kufa
(4)Yeye ni wa pekee hana msaidizi katika kazi zake,na dunia aliiumba peke yake,na mwisho wa dunia atarudi na kuwa peke yake inamana hata Yesu pamoja na maraika watakufa
Mkuu nitaelezea taratibu taratibu visa na mikasa yakoUshauri!! Tengeneza kitabu kabisa usambazie huu utafiti ulimwengu..huu unaweza ukawa ndio utafiti wa kwanza bora kabla ya mwanadamu kuja Duniani.
Hapo hujakosea,kweli kuna tofauti. Mfano mungu wa waislamu wanasema hana mwana na Yule wa walokole Ana mwana. Mungu wa waislamu anawaambia wafuasi wake wafunge mwezi wa Ramadan na Mungu wa walokole anawaambia wafunge bila kujionyesha au kujitangaza kuwa wamefunga.Tofauti ni nyingi sana,hata namna ya kusali iko tofauti sana,walokole wanalia,waislamu hawalii.Kuna miungu ya kila dini.Mungu wa walokole ni tofauti na Mungu wa waislamu.Kuna tofauti kubwa sana kati ya Mungu wa Quran na Mungu wa Biblia.Lakini binadamu wanawachanganya hawa miungu wawili.
Na BADO unasema sheria zipitazo ulimwengu wa mwili lakini wewe hujatuambia ni nani? hizoUlitaka tuumbwe maroboti kila ikifika saa Moja asubuhi tuseme " Eh Mungu tunakupenda sana"!!
Tuna uhuru wa kumchagua, na huo ndo UPENDO wa kweli, kumchagua mtu kwa utashi wako!
Mungu hajaribu mtu!
Yak 1:13 SUV
Mtu ajaribiwapo, asiseme, Ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu.
Aliyetilia shaka utawala wa Mungu na utii wetu na anayejaribu watu:
Mwanzo 3:1
......Basi, nyoka akamwambia huyo mwanamke, “Ati Mungu alisema msile matunda ya mti wowote bustanini?”
Ayubu 1:12
Bwana akamwambia Shetani, “Vema sana, kwa hiyo, kila kitu alicho nacho kiko mikononi mwako, lakini juu ya huyo mtu mwenyewe usimguse hata kwa kidole.”
Ndipo Shetani akatoka mbele za Bwana
Ayubu 2:5-6
BWANA akamwambia Shetani, Tazama, yeye yumo mkononi mwako; lakini tunza tu uhai wake.
Basi Shetani akatoka mbele za uso wa BWANA, akampiga Ayubu na majipu mabaya tangu wayo wa mguu hadi utosi wa kichwa.
Luka 4:13 NEN
Ibilisi alipomaliza kila jaribu, akamwacha Yesu mpaka wakati mwingine ufaao.
Anachofanya Mungu:
Isaya 48:17-18
.....“Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, ninayekufundisha kwa faida yako, ninayekuongoza katika njia unayotakiwa kwenda.
Laiti ungalizitii amri zangu!......
1 Wakorintho 10:13 BHN
Majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. Mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
Methali 27:11 BHN
Uwe na hekima mwanangu upate kunifurahisha moyo,nami sitakosa la kumjibu yeyote anayenilaumu.
Kukataa uwepo wa Mungu ni kujitoa. ufahamu. Tena unatumia sheria za asili za Mungu, sheria zisizobadilika, sheria zinazosimama milele, sheria zipitazo ulimwengu wa mwili, yaani sheria za Mantiki!
Nafananisha na katoto kabishi kasumbufu hakataki kufuata muongozo halafu mwisho wa siku akimaliza ku poo anakuita ukasafishe!
Kwamba kama anajua kitakachotokea maana yake ndo kasababisha?
Knowledge = causation? Sio kweli.
Wazazi wengi pamoja na kuwa hatujakamilika we can guess with a high degree of accuracy what our children would do in a given scenario, sembuse the ule Ufahamu Mkuu?
Uelewa wangu wa Mungu kuwa anajua yote maana yake anajua all the possible combinations of all the possible scenarios involving all the existing entities. Sijui kama unaweza kuwazia uwezo wa hicho nilichokisema!
Uhuru wako kuchagua uko pale pale.
Unaweza kuchagua kendelea kuwa na moyo mgumu na kendelea kulalamika na kutuhumu na kuteseka au unaweza ku surrender kwa Muumba wako and watch wonders unfold!!!!
The word lives!
Kwamba kama anajua kitakachotokea maana yake ndo kasababisha?
Knowledge = causation? Sio kweli.
Wazazi wengi pamoja na kuwa hatujakamilika we can guess with a high degree of accuracy what our children would do in a given scenario, sembuse the ule Ufahamu Mkuu?
Uelewa wangu wa Mungu kuwa anajua yote maana yake anajua all the possible combinations of all the possible scenarios involving all the existing entities. Sijui kama unaweza kuwazia uwezo wa hicho nilichokisema!
Uhuru wako kuchagua uko pale pale.
Unaweza kuchagua kendelea kuwa na moyo mgumu na kendelea kulalamika na kutuhumu na kuteseka au unaweza ku surrender kwa Muumba wako and watch wonders unfold!!!!
The word lives!
Kwamba kama anajua kitakachotokea maana yake ndo kasababisha?
Knowledge = causation? Sio kweli.
Wazazi wengi pamoja na kuwa hatujakamilika we can guess with a high degree of accuracy what our children would do in a given scenario, sembuse the ule Ufahamu Mkuu?
Uelewa wangu wa Mungu kuwa anajua yote maana yake anajua all the possible combinations of all the possible scenarios involving all the existing entities. Sijui kama unaweza kuwazia uwezo wa hicho nilichokisema!
Uhuru wako kuchagua uko pale pale.
Unaweza kuchagua kendelea kuwa na moyo mgumu na kendelea kulalamika na kutuhumu na kuteseka au unaweza ku surrender kwa Muumba wako and watch wonders unfold!!!!
The word lives!