Unakerwa na nini?,Walokole mmekuja na mbinu mpya kuwateka akili wajinga wajinga.
Mwisho wa simulizi utaweka namba watu wakufate kanisani kwako. Unasema uongo mchana kweupe na wajinga wenzio wanakusupport.
Hakuna watu wenye akili ndogo duniani kama walokole.
Unataka kujua na kusaidika, au unaweka msimamo wako. Kama lengo lako ni kujua, unaweza kuelezwa hatua kwa hatua kimaandiko juu ya hoja zako zote. Kama ni kuweka msimamo, itakuwa vigumu hata kama malaika ashuke akueleze.Hayo unayosema yametokea Baada ya uasi wa SHETANI!
Kwahiyo KILA baya anapewa yeye kama mwanzilishi!
Hoja yangu ni kua SHETANI aliasi kwa kushawishiwa na nani wakati hakukua na SHETANI mwingine!!?
Ina maana kama hakukua na SHETANI mwingine Bas aliumbwa na hali ya uasi tayari ambayo ilikuja kujitokeza!!!
Sasa ninaposoma kuwa Mungu aliijua uasi utatokea kwake coz ALIKUA ndani yake aliweka uasi wa kutaka madaraka yake yeye Mungu!!
SASA Bas tusidanganywe ETI aliumbwa na free will wakati hiyo free will imewekwa na yeye Mungu kama mtego wa tamaa kwake SHETANI na WANADAMUE baadae!!
SIJUI kama unanielewa!!?
Hakuna surprise KWA Mungu juu ya uasi wa SHETANI YAANI kwamba ALIKUA hajui kwamba ataasi wakati yeye ndio aliemuumba!!
Kama Mungu aliijua yeremia atakuwepo kabla hajaumba ulimwengu je atashindwaje kujua uwepo wa SHETANI baadae Baada ya kumuumba Lucifer!!?
HUWA tunajidanganya sana!!
hukua mlokole,ila ulikuwa unasali kwa walokole...Hebu endelea mkuu!!
Nilikua mlokolet mzuri sana!nikaacha baadae!!
kazi ya Mungu lazima isonge mbele kwa gharama yoyote.Jina la YESU linajitosheleza, halihitaji msaada wa maji, ingawa sipingi kuwa maji yanaweza kutumika kuponya.
Nachopinga ni kuuza maji na mafuta Kila IBADA na kuliacha Jina la YESU lenye mamlaka.
Waganga wanavaa suit nowadays na kusimama madhabahuni.
Kwamba Mungu amemuagiza Mwamposa auze maji na mafuta Kwa ajili ya uponyaji Ili KAZI yake iendelee?kazi ya Mungu lazima isonge mbele kwa gharama yoyote.
Unakubaliana nami kuwa Hata kama hakuna wakuchangia, Mungu anaweza kuamuru uuze mawe ukapata pesa za kuendeleza huduma. Hivyo ndivyo ilivyo kwa Mwamposa.
Utajuaje hilo? Mungu akikupa majukumu ya kuenza Injili lazima akupe vyanzo vya pesa. Ukiona mtu anaeneza Injili ilio hai, mwache usije ukajitwisha hukumu. Labda iwe injili ya kupeleka wstu iwe shetaniKwamba Mungu amemuagiza Mwamposa auze maji na mafuta?
Kwahiyo vyanzo vya pesa ni kuuza uponyaji kupitia mafuta chumvi na maji?Utajuaje hilo? Mungu akikupa majukumu ya kuenza Injili lazima akupe vyanzo vya pesa. Ukiona mtu anaeneza Injili ilio hai, mwache usije ukajitwisha hukumu. Labda iwe injili ya kupeleka wstu iwe shetani
Mwamposa anakuambia hauwezi kununua uponyaji wa Mungu. Gharama yake hakuna mtu ataweza. sasa sijui hiyo kauli ya kuuza uponyaji umeitoa wapi?Kwahiyo vyanzo vya pesa ni kuuza uponyaji kupitia mafuta chumvi na maji?
Unalo andiko?
Hivi unajua kuwa hata wachawi Wana mungu wao anaitwa Ibilisi na shetano
Napata shaka kama ulimuona huyo MUNGU wa walokole...
Mbona umetumia Mnajimu? Maana Mnajimu huyo ni Mkuu wa giza...
Kumuona Mungu sio kwa kutumia mtu na nguvu za kibinadamu.
Bali ni kwa kumpokea Bwana kuwa mwokozi wa maisha yako, kuomba, kufunga, kusali...
Na hii ndio maana wapo ambao wanaenda kanisani kila siku ila hawaoni mambo ya Rohoni...
Wanajiita wakristo lakini YESU hawajui...
HUNA HOJA SI HAPA Wewe Umetaja hiyo miungu sasa Uongo Upi TenaMKUU HAUPO SAWA MPOKEE YESU
MAANA MASUALA YA ROHONI WEWE NI MTUPU unamjua huyo zyeusi wako
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Twende taratibu bro, nini hasa logic yako au unataka uthibitisho wa namna gani kuhusu uwepo wa Mungu? Naomba uniambie, nitakujibu.
NoSheria zipitazo ulimwengu wa mwili -laws beyond the material world.
1+1 =2.
Logic.
These are abstracts, eternal truths. Sina Ari kuelezea zaidi. And watch out the way you be throwing those fallacies, make sure you know what you're talking about, usikuwe kituko.
Vitu vingine uhitaji hata kujua kusoma wala kuandika.
Kama kwanzia unaamka hadi unarudi kulala huthamini akili
iliyotumika kwenye vyote vya asili, huku inawezekana kabisa una appreciate na kusifia sana aina mpya za programu, vifaa na sanaa na kuona binadamu pekee ndo wenye akili kwenye huu ulimwengu, aisee kwani hata kuna cha ku discuss tena π
Niache kula mihogo yangu na kachumbari na pilipili kwenye kivuli nikipigwa upepo nishushie na juice ya embe + passion + nanasi + parachichi nikae kubishana na God hater. Hapana kwa kweli.
Warumi 1:30 NEN
wasingiziaji, wanaomchukia Mungu, wajeuri, wenye kiburi na majivuno, wenye hila.....
View attachment 2671800
Unajua kifo cha taji wewe? watakatifu wengi wameuwawa kwa njia hiyoHuyo mungu wa walokole hayupo, asingekubali watu wake wauliwe 31 kule kusini mwa nigeria tena kanisani, halafu mungu huyo huyo katulia na tukio lingine la mauaji zaidi ya watu 50 na BADO kaendelea kutulia
Mungu mwenye nguvu zote alishindwa vipi kuzuia mauaji yale ya kikatili na watoto wasio na hatua?
Utajua ni stori tu
Unajua kifo cha taji wewe? watakatifu wengi wameuwawa kwa njia hiyo
Wengine walikatwa na misumeno, wengine walikaangwa kwenye mafuta na wangine walipigwa mawe
[/QUOT
Asante sana Hili linathibitisha mungu muweza wa yote, mwenye ujuzi wote, upendo wote hayupo.
Angekuepo asingeruhusu watu wake wanyanyasike na yeye akae kimya sijui unanipata hapo?
Huyo mungu ajuaye yote anataka kuprove nini kwa binadamu ambaye yeye anajinadi anajua hatma yake?
Yaani unaumba kiumbe ambacho unafahamu hatma yake halafu kwa kudai unawapa akili ya mema na mabaya. Lakini katika akili hiyo hiyo anayodai yeye alishajua huyu ni motoni anajaribu kuprove nini au kujua nn cha ziada.
hayajakukuta mzee baba shukuru kwa hilo.Mzeebaba sijasoma yote ila uchawi au ushirikina haupo ni story za kusadikika zinazoshamiri sana kwenye jamii za watu wajinga na maskini ndo maana ni rahisi mtu wa Chitipa kuamini karogwa kuliko mtu wa Masaki achilia mbali Ulaya na bongo.
hayajakukuta mzee baba shukuru kwa hilo.
Yeah zipo mkuu na zinaonekana kabisanimefarijika sana nimewahi shuhudia hizi nguvu ndani yangu
Yaani nimeamka cha kwanza Hapa, nione kama umeendelea.... π π Mungu akulinde zaidi mwamba... Unazidi kuthibitisha uweza wa Yesu Kristo, aka Mwana wa Mmiliki... Na sisitiza kama una fuatilia uzi huu na hujaokoka, omba Mungu akupe Neema ya kuokoka, ujue uweza huu mkubwa Wa Mungu baba kwako... Maana siri hii imefuchwa kwa wenye hekima ya dunia hii, na kufunuliwa kwa watoto wadogo.. Yaani wanyeyekevu wa moyo wasiotukuza elimu au utajiri wao zaidi ya Mungu... Maana mambo ya Mungu haya make sense kisayansi... Ukitaka logic utakesha na usiambulie kitu... Mitihani wako ni Imani tu... πNINAENDELEA............
Mnajua kwanini baadhi ya watu mnabishana?????
Ni kwa sababu kuna upinzani wa kiroho kati yenu.Na sio rahisi kuelezea mambo ya kiroho bila kupata upinzani.LAKINI LAITI MNGEFUNGULIWA MACHO YENU YA KIROHO MNGEELEWA NACHOELEZEA KUHUSU MUNGU WA WALOKOLE....NINAOMBA TU MNIVUMILIE MAANA HATA KUANDIKA TU HUMU KUNA UPINZANI WA KIROHO NA KIMWILI NDIO MAANA NAENDA TARARIBU.Na tunaweza kuandika na kusoma haya sababu kuna mahali walokole wanatuombea ili tupate neema ya Mwana wa mmliki.
Sio lazima kwa watu kuamini na kama hawaamini basi wawaulize wanajimu au waganga kuhusu Mungu wa walokole.
Kubalini au mkatae ila mungu wa walokole hana upinzani.Hakuna miungu inayoweza kutembea na farasi wa moto,magari ya deraya ya moto na kuwalinda wafuasi wake kwa pumzi za moto.
Unaweza ukabisha ila kama unabisha basi jaribu kuwadhuru walokole kiroho afu utaona nguvu za mungu wao.
Kila kitu cha mlokole kinalindwa na wale watu warefu wenye haki,kuanzia familia na mali na roho zao pia.
Unaweza kuona nyumba ya kawaida tu ya mlokole inalindwa na wale watu warefu wenye haki zaidi ya mia.Wanajimu wanajua chimbuko la kila dini ila hawaelewi kwanini chimbuko la dini ya walokole ni fumbo wasiloweza kulifumbua sababu kwenye chimbuko la dini ya walokole kuna alama mnaita""Msalaba""kiroho hiyo ni nembo ya chimbuko la imani ya walokole.
Unaweza kumuona mlokole anahubiri barabarani ukachukulia kawaida ila kiroho kuna watu wamemzunguka wanamsikiliza hata kama binadamu hawataki kumsikiliza au wanampuuzia au wanamsikiliza kwa uchache.Namaanisha walokole wakiwa wanahubiri mitaani wanasikilizwa na binadamu wachache ila watu warefu wenye haki pia wanawasikiliza mahubiri yao.
Kitabu cha kusalia cha walokole,kiroho ni kitabu chenye siri zoote,kina mafumbo ambayo kinajimu hayafumbuliki.Mfano mmoja ni asili ya Alfa na Omega na mfano mwingine ni ile wa mtu mmoja mwebrania wa kale anaitwa""Musa""alienda wapi baada ya kupanda mlimani na kuongea na """Nguvu ya ukuu""" je alifariki au alipotea maana hakurudi chini mlimani kuungana tena na watu wake na mwili wake haukuonekana kwa wanajimu waliokua wanaifuatilia ile safari ya waebrania katika ulimwengu wa nyota.Na pia yule mwebrania mjuzi wa elimu kuu wanamwita ""Eliya""kama alikua binadamu au roho ya kiungu.Hayo ni baadhi ya mafumbo yanawasumbua wanajimu kutoka katika kitabu wanachotumia walokole.
Mimi sio mtafiti wa kwanza kuchunguza mambo ya kiroho,wapo watu wengi tu wanaamua kuchunguza mambo ya kiroho.Wengine wanaamua kuchunguza uchawi na wengine wanaamua kuchunguza unajimu au uganga na wengine kama mimi tukaamua kuchunguza ulokole baada ya kuvutiwa nao.
Miungu wapo wengi kwenye huu ulimwengu wa kimwili kimapokeo kama alivyo mungu wa walokole.Lakini tofauti ya mungu wa walokole na miungu mingine ni uwezo wake na makazi yake katika mwanga wa nje ya mfumo huu wa sayari za ulimwengu na ni ishara tosha kua anatamalaki mfumo woote wa anga nje ya anga la mfumo wa sayari.Pia mfumo wake wa kujibu maombi au sala za walokole kwa njia ya radi na moto ni sayansi tata ya kiroho inayoonyesha ukuu wake kuliko miungu mingine.
WANAJIMU NA WAGANGA WANAWAOGOPA WALOKOLE SABABU HIYO TU MUNGU WAO ANAJIBU MAOMBI YAO KWA MFUMO WA MOTO NA RADI.Dunia hii lazima binadamu uchague upande kiroho na kila imani ya mwanadamu ina upande wake.Sijui kuhusu imani zingine sikuzifanyia utafiti ila kwa upande wa walokole,imani yao ipo upande wa yule anaeitwa Mwana wa mmliki ambae ni mlinzi wa walokole.
NITAENDELEA..........!!!!!
Amen. Mungu anatutumia sisi wanadamu kuudhihirisha ukuu wake kwa namna mbalimbali.Yaani nimeamka cha kwanza Hapa, nione kama umeendelea.... [emoji16] [emoji16] Mungu akulinde zaidi mwamba... Unazidi kuthibitisha uweza wa Yesu Kristo, aka Mwana wa Mmiliki... Na sisitiza kama una fuatilia uzi huu na hujaokoka, omba Mungu akupe Neema ya kuokoka, ujue uweza huu mkubwa Wa Mungu baba kwako... Maana siri hii imefuchwa kwa wenye hekima ya dunia hii, na kufunuliwa kwa watoto wadogo.. Yaani wanyeyekevu wa moyo wasiotukuza elimu au utajiri wao zaidi ya Mungu... Maana mambo ya Mungu haya make sense kisayansi... Ukitaka logic utakesha na usiambulie kitu... Mitihani wako ni Imani tu... [emoji120]