Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

hatuwezi shindana ni mpaka ukutane na hio kadhia ndio utatia akili umezaliwa maisha bora sio kila shida utaifahamu kaa kwa kutulia kwa kua hujalazimishwa kuamini.

Kumbe ukizaliwa maisha bora uchawi haukupati? Kwahiyo uchawi nguvu zake zipo kwa maskini tu? Ndo maana tunasema story za ushirikia zinatamalaki kwenye jamaa za watu wajinga na maskini. Ileje hata mtu akiumwa Malaria anasema karogwa, Masaki hata mtu akipooza anaenda hospital anajua anaweza apate matibabu au lah. Vivyo hivyo bongo na Ulaya, huu utopolo mnaamini huko huko kwenye nchi maskini, mbele watu washaachana na huu ujinga wa kuamini kiboya si habari za mungu au ushirikina.
 
Ulaya kwenyewe wanatumia ushirikina, White magic.
 
haina maana hio ila kadhia kubwa mimi ilinikumba uswahilini na ni katika kutoka kwenda mbali kutafuta maisha pia kwetu yapo yalisikika ila sikuyashuhudia ila huku nlipokuja kutafuta ndio nlishuhudia live bila chenga acha mkuu.
 
KWA MUJIBU WA PROPHET DAVID RICHARD,YEYE ANATOA USHUHUDA KWAMBA ALIONESHWA NA MUNGU KUMUHUSU HUYU AZAZEL.ANASEMA AZAZEL NI MALAIKA ALIYEASI NA ANA NGUVU KULIKO HATA SHETANI HIVYO MUNGU AMEMFUNGA MINYORORO NA MALAIKA WENZAKE WATATU MAANA ANGEWAACHIA TU WANGEIHARIBU DUNIA.HAWA WAMEFUNGWA ENEO LA MBALI SANA SANA LIITWALO DUDAEL.Prophet alipelekwa hadi hili eneo la dudael
 
Hakuna cha mlokole wala nani.

Mnayajua madhara lkn ya kufanya Tahajudi(meditation) ama mnaiga tu tamaduni za watu.

Haya mambo hayakuwai kuwepo Africa kabla ya ujio wa ukolon.

Ulokole ni kitawi cha ukristo, pia uislam kama ulivyo tawi la ukatoric, kiujumla hizi dini zinamilikiwa na kiumbe kimoja ambacho viongoz wenu wa dini hawatak kuwaambien ukweli.

Chunguza vizuri hao viumbe mnaowaona mara nyingi huakisi mionekano ya watu weupe, wazungu, watu wa Asia lkn hutoona viumbe hao wakiakisi mionekano ya watu weusi kwanini?.

Kama walivyowaaminisha Yesu ni mzungu+mtu mweupe, pia manabii na mitume walikuwa weupe the same way hata huko mbinguni wanawaaminisha kuna malaika weupe, kwanini hakuna mweusi?

Majibu utayapata ni kuwa, mtu mweusi/muafrika kabla hajatawaliwa kimwili, alitawaliwa kiroho na viumbe mashetani ambao wako wa kila aina lkn wote RACE YAO NI hao hao watu weupe(aliens), ndipo utawala kimwili wa watu weupe ukafuata afrika na kutuaminisha kuhusu biblia&quran ikihusisha wahusika wa maeneo yao tuu(hii ni akisi ya viumbe vilivyotawala watu weusi kiroho)

Nisiwachoshe kiufupi yule mnaemuita Mungu ndie yule yule shetan anaetawala dunia kupitia mifumo ya kiimani(dini zote), kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kiimani anatawala kupitia washirika wake ama wafuasi wake wa cheo kidogo(mashetani wadogo) ambao ndio wawakilishi wa dini ama Miungu inayotumika kuabudiwa na dini zenu, ndiomaana dini zote zina majina tofaut tofaut ya Miungu wao na stori tofaut lkn nyuma ya pazia wanamtumikia Kiumbe mmoja, yaani nyuma ya huyo mnaemuita Yesu+Yehova, Allah, kuna master ambaye ndie shetan anawaongoza hao Miungu wenu jinsi ya kuwacontrol kiroho.

Majini, malaika hawa wote ni majeshi ya kiroho ambayo hufanya kazi kulingana na imani na dini fulani.

Majeshi wa dini ya ukristo ni tofaut na majeshi wa dini ya uislam the same way kwa wabudha, waabudu mizimu, marastafali, na washirikina.

Majeshi yote hayo hutofautiana viwango vya nguvu na uwezo wa kumtumikia mwanadamu.

Majeshi hao wote wanatoka ktk uzao mmoja wa Aliens akiwepo shetan, ambapo pia majeshi hawa hawa kimwili ndio waliosababisha mchafuko wa Jamii za kibinadamu kwa kuleta Utofauti wa Rangi.

Hapo mwanzo Rangi ya watu ilikuwa ni moja tu, lkn baada ya ujio wa Aliens(mashetan) kuzaa na hawa watu wa Asili(watu weusi) ndipo ukaibuka uzao chotara wa hao watu weupe, pia uzao wa wanyawama machotara, pia hapa ndipo likaibuka zao jipya la mashetan chotara yaan mapepo ambao ndio hao majini na vibwengo,

Haya matukuio yalitokea hapa hapa dunian na kuna shahidi nyingi kihistoria na kibaolojia, pia shahid za nakala za matukio haya zipo.

Kwakumalizia, wale mnaoita malaika ktk ulokole ni Uzao wa mashetan ambao kinuru hujiita malaika, the same way kwa wale majin wanaojihusisha na ukatoric pia uislam,

Mungu wa dunia hii si mmoja bali wako wengii sana kila dini ina Mungu, na Miungu wote hawa wako chini ya Shetan mmoja wa Alien waliofukuzwa ktk Ulimwengu wa Viumbe vya rohon ambako ndiko hata mtu mweusi asili yake yatoka huko.

Maajabu Hizi habari hautofundishwa ktk makanisa wala misikiti maana hawa wote wanadini ndio walioiba story hizi wakaziEdit na kuunda mifumo ya dini zao za kipuuzi zinazomuabudu shetan kwa kificho.

Amkeni jamani dini zote ni Ujinga na uongo mtupu
 
Huo utafiti naona bado unakusanya data maana bado hujakamilika, kuna mapungufu mengi sana kwenye tafiti yako
 
Mnayajua madhara lkn ya kufanya Tahajudi(meditation) ama mnaiga tu tamaduni za watu
Waonekana wajua madhara ya tahajudi sasa kwa wale wasio na uwelewa wa madhara hayo embu wajulishe,

Lakini pia kila jambo lina pande mbili positive na negative pia! je nini faida zake

Rakims embu tumsikilize huyu majibu yake kwenye hasara na faida
 
Dah hongera
 
Huo utafiti naona bado unakusanya data maana bado hujakamilika, kuna mapungufu mengi sana kwenye tafiti yako
ilipendeza kama ungejibu kisomi yaani kihoja. Ungeelezea mapungufu yake yapo wapi na wewe unavyojua. Thread hii siyo kubishana wala kugombana bali kuelemishana.
Mtoa thread kadadavua vizuri sana, ilinibidi nisome thread yake mpaka comment zake. Kuna kitu nimejifunza kutokwa kwake
 
Azazeli ni nani mkuu?
Na ni kwa nini Haruni kuhani wa Mungu amtolee mbuzi Azazel huko jangwani? Sijapata muunganiko wa hili tukio na ni kwa nini Haruni ahusike na mbuzi huyu wa Azazeli.

AZAZEL ni mmoja wa malaika walioasi,....
 
Hata kama tunatakiwa kuheshimu mawazo ya mtu, ndo iwe pumba kiasi hiki lol,!!!!
 
Tupo historia yake vizuri. Nimejawa na wivu jinsi walokole wanavyolindwa na Mungu wao. Nami naingia kwenye utafiti rasmi
Kuna member hapo juu kaelezea vizuri.. kuna nabii wa Bwana alipewa historia kamili na mmilik wa aliye juu toka anga za mbali kuhusu malaika hawa walioasi..

Search YouTube anaitwa Prophet David Richard angalia shuhuda zake..
 
Wewe mlokole?
 
Kwahiyo haya mambo na aina za hawa watu, vina umuhimu gani, au shughuli gani katika haya maisha?
 
Huyo anayerushwa mpaka sayari nyingine, katika maisha ya kawaida inakuwa ndio amefariki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…