Sawa mkuuNwendelezo wa story pia uguse maisha Yako mapya ya Wokovu maana Kutoka huko kuja huku lazima una ushuhuda.
Makundi yote yanalindwa na kinga za moto na wote wana kibali mbele za Mungu waoHivi wataoenda mbinguni kiunyakuo,
Ni wale walokole kundi la wanao Nena Kwa
Lugha ya kiroho,na wataachwa wale wanao Nena Kwa lugha ya kibinadam
Hi I ,kuwa na Moto kichwani ,ni Kwa jamii tu ya wanao Nena Kwa lugha au makungi yote mawili wanao Nena Kwa lughA na wasio Nena
Maana kumekuwa na shaka,
Kati ya Makundi mawili ya walokole ,wale wanaonena Kwa lugha na wasio Nena Kwa lugha ,na pia ,ongelea hayo Makundi mawili wenye karama na wasio na karama
Na kukosa karama hio ya kunena kiroho manake Nini wewe sio mtoto wa Mungu au sababu ni nini
Na Makundi yote wanao Nena na wasio Nena wanaenda mbinguni,Makundi yote yanalindwa na kinga za moto na wote wana kibali mbele za Mungu wao
Kiroho kuna viwango na walokole wanapanda taratibuUkikosa karama ya kunena manake Nini kiroho, na Sababu ni nini
Makundi yote yana kibali mbele ya mwana wa mmlikiNa Makundi yote wanao Nena na wasio Nena wanaenda mbinguni,
KaribuNitarudi hapa now nimelewa .
Michoro ya wagiriki wa kale iliyonasibishwa na adithi za mapokeo za wayahudi na waarabuNimerudi hapa
Angalia kwa umakiniView attachment 2776093
View attachment 2776094
View attachment 2776096
View attachment 2776097
Umeelewa nini wewe?
Kwenye ulimwengu wa kiroho 3 ni namba ya uungu wa uumbaji..na inatumiwa sana na wanajimuHivi 3 ,ni namba yenye Siri gani
Haujamuona Yesu wa walokole hapo hapo?Michoro ya wagiriki wa kale iliyonasibishwa na adithi za mapokeo za wayahudi na waarabu
Haina ubishiYESU ni MUNGU
Hapo Ili maanisha vingine,Haujamuona Yesu wa walokole hapo hapo?
Shukrani Sana,Kwenye ulimwengu wa kiroho 3 ni namba ya uungu wa uumbaji..na inatumiwa sana na wanajimu
Nenda Hadi picha ya MWISHOHapo Ili maanisha vingine,
Yaani , yesu alikuja kuusulubu mwili ,ambao mwili huo umebeba dhambi za watu ,adhabu ya Dhambi za watu alizibeba Mwenyewe Katika mwili wake,
Na mwili ndio huyo nyoka, maana mwili hivi Leo ndio mjaribu wetu,