Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Uko sahihi sana kuna nguvu sana binadam unakuwa nayo ukiwa ndanicya kristo.
Wachache walio experience hili watanielewa.
 
hakuna Mungu mkuu zaidi ya huyo.

Cc. boss la DPW
Kwa utafiti wangu katika miungu ya nje ya mwili.Mungu wa walokole au mkuu wao anaongoza kwa nguvu.Wale watu warefu wanaweza kukutazama tu ukarushwa kutokea sayari moja mpaka nyingine ukitaka kuwasogelea walokole wao wakiwa wanalia.Wenyewe walokole wanasema kunena kwa lugha..Na ile sio kunena bali wanakua wanazungumza na mkuu wao kama kilatini hivi,ila nyie mnaona wanaropoka ropoka hivi
 
H
Uko sahihi sana kuna nguvu sana binadam unakuwa nayo ukiwa ndanicya kristo.
Wachache walio experience hili watanielewa.
Hivi yule ni mkuu wa walokole au????? Anaitwa mwana wa mmiliki na mmiliki mwenyewe ndio mungu wa walokole.Ambae haonekani ila moto tu unaoweza kuunguza sayari zote akiamua.
 
wanaropoka ropoka[emoji28]
 
Siyo wote! Ukiwa na Yesu na umejaa Roho Mtakatifu ni amani tele hata katikati ya misukosuko ya maisha na dhiki zake.
Mkuu nilixhoshuudia ni kwamba wale watu warefu wanawalinda walokole masikini kiuchumi,wengine wapo vijijini,wengine maofisini au dukani ila wote sio matajiri sana kiuchumi na wengine ombaomba cha ajabu wale watu warefu wapo pamoja nao wote.Na watu wengine yaani binadamu wa kawaida wanapokua karibu na wale walokole wanalindwa pia na wale watu warefu wanaoakisi mwanga wa jua.
 
Naam!
 
Nipo kiti cha mbele hapa! Mungu akubariki kwa uzi!
 
Nipo kiti cha mbele hapa! Mungu akubariki kwa uzi!
Mungu yupi sasa mkuu???? Maana kwa utafiti wangu,ni mungu wa walokole ndio ana nguvu kuliko mungu mwingine wa jamii ya watu wa ulimwengu wa nje..Nafikiria na mimi niwe mlokole tu ili nitembee na wale watu warefu ila wakarimu sana..Mlokole akianza kulia tu wanakuja kundi zima kumzunguka na hawaondoki tena usiku na mchana.
 
endelea tu kuhadithia, tutajua malengo yako ya hii hadithi. kiufupi ni hadithi ya uongo
 
Ni walokole gani hao mkuu, maana wanaonena kwa lugha kwa sasa ni wengi na walokole wamegawanyika sana?
Haya pale wanaponena kwa lugha, ni wote hujiwa na hao watu warefu au baadhi??

Kwanini ni maskini? Watu warefu wanafaidika nini kupitia hao walokole? Kwanini wanawafanya maskini?

Mwisho kwa imani yako mtu akifa anaenda wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…