Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali mazuri,nitakujibu yote mkuu ucjaliNi walokole gani hao mkuu, maana wanaonena kwa lugha kwa sasa ni wengi na walokole wamegawanyika sana?
Haya pale wanaponena kwa lugha, ni wote hujiwa na hao watu warefu au baadhi??
Kwanini ni maskini? Watu warefu wanafaidika nini kupitia hao walokole? Kwanini wanawafanya maskini?
Mwisho kwa imani yako mtu akifa anaenda wapi??
Nikaanza udadisi mkuu ulionifikisha mbali sana...So it was a 'fairy tale' and you believed it?
Wale watu wa afrika ya kati hawarogi bali wanafundisha uchawi,,,,wanaoroga ni watu wengine kabisa na hiyo ni story nyingine kabisa ila ulimwengu wa nuru ya jua hawalogi kabisa.Fanya hivyo right now. Nishaomba mara nyingi sana nirogwe ila hadi leo nadunda tu
Sijakuelewa mkuuMungu wa walokole ana nguvu Ila ana matatizo ya kusikia,waumini wake mpaka wapige mayowe ndiyo asikie
Kakangu huyo yupo USA...Anaamini kama wanasayansiAcha ujuaji basi we dogo!
Mungu wa walokole au mkuu wa walokole haonekani mpaka uwe kwenye njia yake kiroho,wanajimu wenyewe hawawezi kufika alipo huko nje ya kani za ulimwengu wa mfumo wa jua,ila kwa utafiti wao wanajimu wanasema yeye ni moto ndani ya roho ya moto na hakuna binadamu aliyemuona akabaki hai au kurudi duniani.Bali ule moto wa viduara unaowazunguka walokole ndio wanajimu wanaita ni pumzi za Mungu wa walokole.Na kuna nyota ya mashariki wanajimu wanamuita ""Mwana wa mmliki"""inaangaza usiku angani,wanajimu wanasema ndie kiungo kati ya walokole na mungu wao,na huyo mwana wa mmliki ndie anaodhi anga lote la mfumo wa jua na nje ya mfumo wa jua.Ndio maana wanamwita Nyota ya mashariki.Ni kiumbe wa kiroho na kiongozi wa wale watu warefu wanaoakisi mwanga wa jua.Napata shaka kama ulimuona huyo MUNGU wa walokole...
Mbona umetumia Mnajimu? Maana Mnajimu huyo ni Mkuu wa giza...
Kumuona Mungu sio kwa kutumia mtu na nguvu za kibinadamu.
Bali ni kwa kumpokea Bwana kuwa mwokozi wa maisha yako, kuomba, kufunga, kusali...
Uliposema hawawezi kumsogelea ni kweli kwakuwa yeye ni moto na huwa unawaunguza...Mungu wa walokole au mkuu wa walokole haonekani mpaka uwe kwenye njia yake kiroho,wanajimu wenyewe hawawezi kufika alipo huko nje ya kani za ulimwengu wa mfumo wa jua,ila kwa utafiti wao wanajimu wanasema yeye ni moto ndani ya roho ya moto na hakuna binadamu aliyemuona akabaki hai au kurudi duniani.Bali ule moto wa viduara unaowazunguka walokole ndio wanajimu wanaita ni pumzi za Mungu wa walokole.Na kuna nyota ya mashariki wanajimu wanamuita ""Mwana wa mmliki"""inaangaza usiku angani,wanajimu wanasema ndie kiungo kati ya walokole na mungu wao,na huyo mwana wa mmliki ndie anaodhi anga lote la mfumo wa jua na nje ya mfumo wa jua.Ndio maana wanamwita Nyota ya mashariki.Ni kiumbe wa kiroho na kiongozi wa wale watu warefu wanaoakisi mwanga wa jua.
Kusema kweli kwa utafiti wangu nje ya mwili kuhusu hawa watu warefu nilikua nawaona wanaenda sana kwa hawa walokole wanaosalia majumbani vikundi vikundi na wengine wanakwenda kwa walokole wanaotembea barabarani,wanauza dukani,waliopo ofisini,mashambani.Walokole wana alama miilini mwao wenyewe wanaita matunda ya roho.Kuhusu makanisa wale watu warefu hawabagui popote alipo mlokole akiwaita kwa kulia wanaenda kumzunguka.
Msikitini sikuenda sababu mkufunzi wangu aliniambia nikitaka kuwadadisi wale watu warefu wapoje basi niwadadisi walokole wanaolialia,nyinyi mnaita kunena kwa lugha.Kwahiyo sikwenda misikitini au mahekalu ya wahindi au masinagogi ya wayahudi sababu nisingewakuta walengwa wangu kwenye utafiti ambao ni walokole.Lakini sehemu zinazoongoza kwa walokole ni kwenye hayo makanisa mnayaita ya kilokole na kilutheri...afu makanisa mengine yanafuatia kwa kua na mlokole mmoja mmoja
NB:Kuna makanisa mengi tu kwa nje yanaonekana ya kilokole ila wale watu warefu walikua hawaingii maana hakuna walokole ndani ila ni makanisa ya kilokole kwa muonekano wa nje.
basi sawaHaupo ni story za kusadikika tu kama zilivyo story za nguva, aliens nk.
Hivi mlokole ni mtu gani?Kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 2019 nilikua kwenye research binafsi ya mambo yasiyoonekana kwa macho ya kawaida. Nimefanya mahojiano na watu wa fani hii,kuanzia watu wa kawaida mpaka viongozi wa fani hii katika nyanja mbalimbali.
Mambo yasiyoonekana kwa macho,watu wanaita""UCHAWI""na ni fani yenye kuchanganya kidogo sababu inajumuisha imani za dini za wanadamu na imani za dini zisizo za wanadamu. Pia inajumuisha watu ambao wanaitwa bin-adamu na inajumuisha watu wale wengine ambao hawana undugu na hawa watu wanaoitwa bin-adam.Nielezee kidogo hao watu wengine,nimewaita watu sababu wana maumbo kama binadamu ila vimo vyao vipo tofauti na wapo katika jamii mbili tofauti.
Kuna ile jamii ya wanaokaa angani ambapo bila ruhusa yao huwezi kuwafikia,na kuna ile jamii ambayo hata bila ruhusa yao unaweza kuwafikia na wanakaa chini ya bahari au mito au maziwa makubwa(Lakes).Ngoja nifafanue kidogo jamii za hawa watu.
Jamii ya watu wa angani inashuka sana duniani na sijui waga wanakuja kufanya nini ila mara nyingi wanajishugulisha na wale binadamu mnaowaita walokole,na ili uzungumze nao inategemea umekutana nao katika hali gani kwenye ulimwengu usio wazi kwa macho ya kawaida,kiasili sio waongeaji sana ila sura zao zinaakisi mwanga kwa namna ya tofauti na unaweza kujiuliza wanavaa mavazi gani, kwa mavazi wanavaa hizi nguo mnaita kanzu ila ni bwanga afu ndefu mpaka miguuni na ni nyeupe.
Jamii ile nyingine ya watu wasio na asili na binadamu ila wamefanana na binadamu kimuonekano lakini wana vimo vikubwa ni ile inayokaa chini ya bahari,maziwa(Lakes) na mito.Hii jamii wao ni wazungumzaji sana afu miili yao haiakisi mwanga na wanakuja sana duniani na unaweza kuwaona bila ridhaa yao kwa kufuata utaratibu wanaokupa wafuasi wao au wanajimu wa nyota mbao ni binadamu wa kawaida,na mavazi yao ni kanzu pia ila za rangi mbalimbali zaidi ya nyeupe.Na watu wanaojishugulisha nao sana ni wale watu ambao nyinyi binadamu mnawaita wanajimu na washirikina au wachawi ila inategemea ushirikina na uchawi wa wapi maana dunia ni kubwa kutoka bara moja mpaka lingine na ushirikina au uchawi unatofautiana.
Binadamu kuna vitu huwezi kuviona mpaka either uwe mshirika wa jamii mojawapo kati ya jamii hizo mbili nilizokutajia hapo juu.Lengo langu leo ni kuzungumzia mkuu wa jamii ile ya wale watu wa angani ambao wanapenda kushirikiana na walokole au watu wa kulia lia,maana huyo mkuu ana vitu vya tofauti kidogo ndio maana nikasema pale juu kua "Mungu wa walokole ana nguvu sana".
Katika utafiti wangu ndani ya ulimwengu usio,onekana inaonyesha kua walokole wanapendelewa sana na huyo mkuu wao,maana kuna vitu anawapa vya ziada wao hawavitumii sijui kwanini niligundua hilo huko mbele katika utafiti wangu.Nimemuita Mkuu au Mungu wa walokole sababu kila walokole wanapoanza kulialia""Kusali""wale watu wa jamii ya kuakisi mwanga wengine wana mabawa na wengine hawana wakitokea kwa mkuu wa walokole ama nilivyokuja kujua baadae huko huko angani wanawajia na wanawazunguka hawaondoki na lile eneo husika linakua na mwanga unaweza kupofusha macho (Ni kama mwanga wa jua au radi au shoti za umeme zile cheche) ila walokole waga hawawaoni nadhani waga wanalia(Kusali) kwa imani zaidi namaanisha meditation.
Nilisema hapo juu kua mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao ana nguvu sana maana wale walokole baada ya kulia kwa mkuu wao huwezi kuwasogelea katika hali ya nje ya ubinadamu au katika hali ya ushirika na jamii nyingine za kiroho zaidi ya mkuu wao na wale watu wa kuakisi mwanga.Kila mlokole anakua na yule mtu wa kuakisi mwanga na yule mtu haongei ila macho yake ni ishara tosha kua usimsogelee mlokole aliyenae.Cha ajabu wengi ya walokole hao katika hali ya ubinadamu wa kawaida hawana habari yoyote ile unawakuta sokoni au kwenye daladala au barabarani au ofisini au kwenye nyumba zao za ibada.
Sasa ikabidi nifanye uchunguzi juu ya huyo mkuu (Mungu) wa walokole,yupoje na ni nani, wale watu wa jamii ya kuakisi mwanga wanaishi nae vipi maana wana ushirika nae.Sababu ukitoka nje ya mwili kupitia(meditation) huwezi kuwasogelea hawa watu wa jamii ya kuakisi mwanga au hao walokole.Nikajikuta napata hamu ya kuchunguza mambo ya ulimwengu usionekana na hasa jamii za wale watu warefu wa angani na walokole hasa wale wa kulialia sisi binadamu tunaita kusali ila wao walokole wanaita kunena kwa lugha,na ni lugha ambayo inawafanya wawasiliane na wale watu warefu wa kuakisi mwanga.
Udadisi wangu ulijikita katika mambo makuu matano(5)
Mosi: Kwanini walokole wana uhusiano na wale watu wa kuakisi mwanga wanaotokea kule juu kusikofikika hata ukitoka nje ya mwili na kusafiri nje ya mzunguko wa sayari za kawaida kwa maelekezo ya wanajimu wa nyota?
Pili: Kwanini mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao ana uhusiano wa moja kwa moja na wale watu wa kuakisi mwanga na sio ile jamii ya chini ya bahari?
Tatu: Kwanini katika jamii za nje ya mwanadamu au mtu, hasa ile jamii ya watu wa kuakisi mwanga ina nguvu sana kuliko jamii za wale watu wanaokaa chini ya bahari na wasioakisi mwanga wa jua na mwezi?
Nne: Mkuu wa walokole kwanini yeye na wale watu wa kuakisi mwanga,hawana ukaribu na Mkuu wa wale watu wa jamii inayokaa baharini na chini ya maziwa na mito(Maana nayo ina mkuu wake) na hataki wafuasi wake wa dini yake wawe na ukaribu na walokole kwa namna yoyote ile?
Tano: Kwanini mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao pamoja na nguvu zoote ila hawapi utajiri wa kibinadamu hao walokole ila ukitoka nje ya mwili hawa walokole wana nguvu sana mpaka uñashindwa kuwaelezea labda uone kwa macho.Tofauti na mkuu wa ile jamii nyingine ambayo karibia robo ya wafuasi wake wana access ya kupata mali za dunia hii tunayoishi binadamu wote.
Basi nikajikuta naanza utafiti kufuatilia nguvu za mkuu wa walokole namaanisha Mungu wao.Ni nani na yupoje na anaishi wapi..Utafiti wangu ukanipelekea kuja na kichwa cha habari hapo juu kua Mungu wa walokole ana nguvu sana maana nilishuhudia mengi kumuhusu huyu Mungu wa hawa watu wa kulialia mnawaitaga walokole.
Safari yangu ya utafiti ilinikutanisha na wazee wa kibantu,wanajimu,viongozi wa dini za wanadamu zinazoonekana na zisizoonekana na watu wa jamii zile za nje ya ulimwengu wa mwanadamu.
ITAENDELEA
Wanajimu wanajua uwezo wa miungu wote nje ya ubinadamu lakini mungu wa walokole""Haelezeki"ni roho yenye nguvu na kumsogelea lazima uwe katika njia yake kiroho kama wafuasi wake walokole.Wao walokole wanaita""Utakatifu""Uliposema hawawezi kumsogelea ni kweli kwakuwa yeye ni moto na huwa unawaunguza...
Pia hao wakuu wa giza wanamjua YESU/MUNGU kuwa anauwezo mkubwa kuliko wao...
Kivipi katika ubinadamu wa nje au wa ndani???? Maana walokole wengine kwa ubinadamu wa nje ni masikini wa kutupwa au wanaishi kawaida ila kwa ubinadamu wa ndani wana tunu za moto kama mataji ya kunga'aa hv vichwani mwao na hawasogeleki ukiwa na nia mbaya.Hivi mlokole ni mtu gani?
Ok au ulokole ni nini?Kivipi katika ubinadamu wa nje au wa ndani???? Maana walokole wengine kwa ubinadamu wa nje ni masikini wa kutupwa au wanaishi kawaida ila kwa ubinadamu wa ndani wana tunu za moto kama mataji ya kunga'aa hv vichwani mwao na hawasogeleki ukiwa na nia mbaya.
Mlokole ni mtu aliyempokea YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake ..Hivi mlokole ni mtu gani?