Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Hivi Mungu kuumba Universe maelfu Kwa maelfu ya universe,

Ni dakika sifuli tu alitaka kuumba hivyo vitu ,au ni miaka mingi mno ,

Na je , anaweza kutuumbia Universe nyingi mno???,
Au universe zilizopo ndio mwisho ,hawezi kuumba Tena,kuongeza ma universe
 
Upo sahii kabisa ndugu..MPENDE MUNGU WAKO KULIKO CHOCHOTE KILE NA UMUWAZE MASAA 24...NAE ATAKULINDA KWA LUNDO LA WALINZI NA BARAKA ZA KIMWILI NA KIROHO
Wanaume hua wanajialalisha kuwa hawariziki na mwanamke mmoja kua wao ni watu wa kutamani mke mmoja hamtoshi wameumbiwa kutamani so sad unakuta mpaka watumishi wa Mungu wanahalilisha kuwa mwanaume haridhiki na mmoja....mimi huaga sikubaligi sababu ukirejea maandiko Mungu alimwumba mwanamke mmoja ambaye ni Hawa akasema na hao wawili watakua mwili mmoja it means Mungu aliona mwanamke mmoja anamtosheleza mwanaume lasivyo angemuumbia Adam mke zaidi ya mmoja kama kweli wanaume hawatosheki na mwanamke mmoja.....sasa hii zana ya kusema mwanaume atosheki na mmoja inatoka wapi? Sometimes hua nawaza labda roho ya suleimani imewakumba.....naomba nisaidie hapo Mkuu
 
Natamani Hio Universe mpya iwe kubwa kiasi kwamba tushindwe sie huko mbinguni ,kuimaliza Kwa kuzitembelea ,

Nataka, Mungu atengeneze maeneo ambayo ,hatatufanyaje hatuyamalizi kiutalihi Milele yote,

Najua ,ananisikia, nataka tukafurahi mno ,

Yaani

Nataka hata Tukifanya Utarihi wa kimbingu I ,tushindwe kuya maliza maeneo yote,na nataka Kila Milele na Milele zinapo ongezeka maeneo mapya yanaongezeka tusiyoweza kuyamaliza Kila milele
 

Sure..
 
Nisaidie hicho kitabu mkuu kama hutojari
 
Niunganishe hata na mzee matata basi...!
 
Maskani ya mungu wa walolole haina mwisho ni pana mno
 
Ndoa za mitala ni haramu kwa walokole
 
Big noo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…