Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Kuna kitu nimegundua katika tafakari.
Sii rahisi kumkuta mchawi, mnajimu au mganga akimkufuru mwana wa mmiliki. Wao kazi yao kubwa ni kuwashawishi wanadamu wa kawaida au wakidini wamkufuru ili iwe fursa(mlango) kwao kuwaadabisha kwa dhiki, adha na magonjwa na hatinae kifo cha mauti.
Watu wote wanakufa ila kuna tofauti kati yake. Kuna wanaolala mauti na kuna wanaokufa kifo cha mauti.
Kama ilivyo katika mwili mtu akifa anazikwa katika kaburi lile shimo la udongo tunalochimba physically lakini aliyekufa kifo cha mauti huyu ni ile mauti ya pili. Hii ni lile kaburi la kiroho ambalo linaitwa lisilo na ukomo au ziwa la moto.
Wakuu wa kidini waliwahi mtukana mwana wa mmiliki kuwa yeye ni "belzebuli" alipokuwa katika ule mwili wa udongo. Kauli ile ya kukufuru ilipelekea yule mwana wa mmiliki kuwaambia kuwa kufuru yao kwake katika mwili ule wa udongo ina msamaha wakitubu lakini atakapokuwa ameondoka katika ile flesh na kurudi kwa walikole(kanisa) kwa ule wa roho, kumkufuru hautasamehewa kamwe katika ulimwengu huu wala ule ujao.
Kwa hiyo wachawi, wanajimu na waganga wao ni pepo wanaoweza kuunganishwa katika ulimwengu wa roho ya uchawi na wana uelewa kwa matukio(experience) ya kuzifahamu nguvu zisizomilikika za mwana wa mmiliki zilivyo kuu mara matrilion kuwashinda. Hivyo wanachofanya wao ni kugeuka pepo kwa kuwapagaa wapagani na watu wa kidini wakufuru kwa kuzikana nguvu za roho wa mungu au kuzidhihaki ili wapotee mazina katika ulimwengu huu na ule ujao.
Kuna kikundi cha wanajimu kutokea huku africa walikua wanaenda Mecca kuhiji sababu walikua waiskamu ila ni wanajimu kitaaluma.Sasa katika ile ndege waliyopanda huko angani akawatokea huyo mwana wa mmliki akazungumza nao.Lakini walifanya siri kuu na hakuna aliyelizungumzia hilo tukio,waliamua kukaa kimya na kulifanya lile tukio siri ila kwenye ulimwengu wa kinajimu lilikuwa linajadiliwa sana wakati wa masomo.
 
Walokole mmekuja na mbinu mpya kuwateka akili wajinga wajinga.

Mwisho wa simulizi utaweka namba watu wakufate kanisani kwako. Unasema uongo mchana kweupe na wajinga wenzio wanakusupport.

Hakuna watu wenye akili ndogo duniani kama walokole.
Ndio kwa hapa duniani ni wajinga mno lakini ni werevu Katika roho hawana mfanowe
 
NINAENDELEA..............!!!!!!!
Mzee matata pmoja na unajimu wake wote na utaalamu wake wa uganga hakatizi wanapokuwepo walokole na anawaogopa.Wanajimu ni wachawi waliojificha na wana usharika na viumbe wa baharini.Jiulize vitu vichache tu kuhusu wanajimu
MOSI: Mbona wana usiri sana katika mambo yao na ufundishaji wa hii fani kuna sehemu maalummaalumuu katika hii pande ya dunia wanaenda.
PILI: Ukitazama vitabu vyao vya kujifunzia kama Al Azif na vyenginevyo vimejaa mafunzo ya kufuru na waandishi wake wa hivi vitabu ni jamii ya watu warefu wa baharini wanaitwa""WANEFILI""hawa nao jamii ya wale watu warefu wa angani ambao wakifukuzwa kutoka anga za mbali na mkuu wa wakuu.Vitabu vyote vya unajimu vinamtukuza AZAZELI"""na ndio muasisi wa taaluma hiyo kwa wanadamu na lengo likiwa ni wamsaidie katika kazi zake za makufuru.Kwahiyo hiyo ni ishara tosha kua wanajimu wamefundishwa na BABA WA UCHAWI ""AZAZELI""
Mzee Matata anasema mtu yoyote yule anaejihusisha na wanajimu ni mshirikina pia.
Basi mzee matata akaniambia unajua watu wengi wana uelewa mdogo kuhusu mungu wa walokole,lakini ukiwafuatilia walokole basi utamjua mungu wao.Akasema kua ukiwafuatilia wale watu warefu wanaoakisi mwanga kwenye makazi yao kuna anga zaidi ya saba na kila anga kuivuka ni miaka ya kuakisi mwanga trioni na trioni.Hakuna aliyewahi kufika huko mpaka wao wenyewe watu warefu wampeleke huko.Huko wana mji mkubwa na wana utawala mkuu ambao unaongozwa na yule mwana wa mmliki mlinzi wa walokole.
Akasema wao wanajimu wameyajua hayo sababu wana uwezo wa kuelewa ulimwengu wa siri.
Nikamuuliza kwanini sasa na yeye asijiunge na walokole afaidi hayo mambo.Akasema pale tu binadamu anapokua mlokole haya mambo hayaoni bali anaishi kwa imani na imani ndio kipimo cha ulokole wao,labda mungu hawaruhusu waone mambo yanayowazunguka kiroho.Lakini mtu anapokua mchawi haitaji vipimo vya imani ili kuona ulimwengu wa kiroho,hivyo yeye inamuwia ngumu kua mlokole sababu ya hayo na pili ameshakula viapo vya kua mnajimu.
Ukishakula viapo vya kua mnajimu inakua vigumu kutoka nje,ila akasema anauhusudu sana uwezo wa walokole nje ya mwili yaani kiroho.Akasema waganga na wanajimu wanaishi kwa masharti na utaratibu ambao wakiugeuka wanapata adhabu ila walokole wanaishi kwa imani tu na sio lazima waone,bali imani tu na wakigeuka wanapata nafsi ya pili (TOBA) maana mungu wao ni muanzilishi wa tendo hilo la toba katika ulimwengu wa roho.Akasena watu wengi wanashindwa kua walokole sababu ya imani haba na wanataka kila kitu mpaka waone ndio wasadiki.
Akasema mpaka leo hii kuna walokole ukiwaambia kua wanalindwa na watu warefu hawatokuamini ila mpaka waone kwa macho yao ndio wataamini,wakati ulokole haupo hivyo.Imani hata katika mambo yasiyoonekana na yanayoonekana ndio msingi wa ujenzi wa imani ya kilokole kiroho.
NITAENDELEA............!!!!!!!!
 
Kuna kikundi cha wanajimu kutokea huku africa walikua wanaenda Mecca kuhiji sasa katika ile ndege waliyopanda huko angani akawatokea huyo mwana wa mmliki akazungumza nao.Lakini walifanya siri kuu na hakuna aliyelizungumzia hilo tukio,waliamua kukaa kimya.
Ndio zao hizo ili kutimiza neno la nabii kwao kwamba kwa masikio watasikia ila hawataelewa na kwa macho wataona ila hawatatambua.
Wanahofia wakinkiri atawaongoa na kusababisha watengwe na sinagogi.
Yohana 12:40-42
[40]Amewapofusha macho,
Ameifanya mizito mioyo yao;
Wasije wakaona kwa macho yao,
Wakafahamu kwa mioyo yao,
Wakaongoka, nikawaponya.
He hath blinded their eyes, and hardened their heart; that they should not see with their eyes, nor understand with their heart, and be converted, and I should heal them.
[41]Maneno hayo aliyasema Isaya, kwa kuwa aliuona utukufu wake, akataja habari zake.
These things said Esaias, when he saw his glory, and spake of him.
[42]Walakini hata katika wakuu walikuwamo wengi waliomwamini; lakini kwa sababu ya Mafarisayo hawakumkiri, wasije wakatengwa na sinagogi.
Nevertheless among the chief rulers also many believed on him; but because of the Pharisees they did not confess him, lest they should be put out of the synagogue:
 
nadhani MUNGU wetu wawalokole amekuleta hapa iliniamini nilichokiona ni kweli, kunasiku tulikuwa tunasifu kanisani saa nikaona raha ya ajabu sijui ile raha nitaipata tena naomba MUNGU ile raha niipate tena milele na milele kipindi napata ile raha basi ikaja mwanga kama flashi nyeupe ukamuulika mbele ya waimbaji kama radi ila mwanga wake ninuru kiasi kwamba ikikumulika utajiona uko kwenye raha sijui za sayari gani kamoyo kanakuwa kabaridi yaani aisee.kumbuka raha ile na flash ile wanaona waliokusudiwa.tusali jamani kule mbinguni kuna raha sana ,sikwaraha nilizo pata jumapili ile. jumapili nyingine baada ya kuomba nguvu za ajabu zilikuja ni kashitukia naongea lugha nisioifahamu....wanasema ngono et ni raha kwa raha niliyopata siku ile ngono ikasome.n.b mwanga ule unauona kabisa na raha ile sio ya mwilini niroho tu ndouna ona inaburudika natamani sikuile ije tena
 
NINAENDELEA..............!!!!!!!
Mzee matata pmoja na unajimu wake wote na utaalamu wake wa uganga hakatizi wanapokuwepo walokole na anawaogopa.Wanajimu ni wachawi waliojificha na wana usharika na viumbe wa baharini.Jiulize vitu vichache tu kuhusu wanajimu
MOSI: Mbona wana usiri sana katika mambo yao na ufundishaji wa hii fani kuna sehemu maalummaalumuu katika hii pande ya dunia wanaenda.
PILI: Ukitazama vitabu vyao vya kujifunzia kama Al Azif na vyenginevyo vimejaa mafunzo ya kufuru na waandishi wake wa hivi vitabu ni jamii ya watu warefu wa baharini wanaitwa""WANEFILI""hawa nao jamii ya wale watu warefu wa angani ambao wakifukuzwa kutoka anga za mbali na mkuu wa wakuu.Vitabu vyote vya unajimu vinamtukuza AZAZELI"""na ndio muasisi wa taaluma hiyo kwa wanadamu na lengo likiwa ni wamsaidie katika kazi zake za makufuru.Kwahiyo hiyo ni ishara tosha kua wanajimu wamefundishwa na BABA WA UCHAWI ""AZAZELI""
Mzee Matata anasema mtu yoyote yule anaejihusisha na wanajimu ni mshirikina pia.
Basi mzee matata akaniambia unajua watu wengi wana uelewa mdogo kuhusu mungu wa walokole,lakini ukiwafuatilia walokole basi utamjua mungu wao.Akasema kua ukiwafuatilia wale watu warefu wanaoakisi mwanga kwenye makazi yao kuna anga zaidi ya saba na kila anga kuivuka ni miaka ya kuakisi mwanga trioni na trioni.Hakuna aliyewahi kufika huko mpaka wao wenyewe watu warefu wampeleke huko.Huko wana mji mkubwa na wana utawala mkuu ambao unaongozwa na yule mwana wa mmliki mlinzi wa walokole.
Akasema wao wanajimu wameyajua hayo sababu wana uwezo wa kuelewa ulimwengu wa siri.
Nikamuuliza kwanini sasa na yeye asijiunge na walokole afaidi hayo mambo.Akasema pale tu binadamu anapokua mlokole haya mambo hayaoni bali anaishi kwa imani na imani ndio kipimo cha ulokole wao,labda mungu hawaruhusu waone mambo yanayowazunguka kiroho.Lakini mtu anapokua mchawi haitaji vipimo vya imani ili kuona ulimwengu wa kiroho,hivyo yeye inamuwia ngumu kua mlokole sababu ya hayo na pili ameshakula viapo vya kua mnajimu.
Ukishakula viapo vya kua mnajimu inakua vigumu kutoka nje,ila akasema anauhusudu sana uwezo wa walokole nje ya mwili yaani kiroho.Akasema waganga na wanajimu wanaishi kwa masharti na utaratibu ambao wakiugeuka wanapata adhabu ila walokole wanaishi kwa imani tu na sio lazima waone,bali imani tu na wakigeuka wanapata nafsi ya pili (TOBA) maana mungu wao ni muanzilishi wa tendo hilo la toba katika ulimwengu wa roho.Akasena watu wengi wanashindwa kua walokole sababu ya imani haba na wanataka kila kitu mpaka waone ndio wasadiki.
Akasema mpaka leo hii kuna walokole ukiwaambia kua wanalindwa na watu warefu hawatokuamini ila mpaka waone kwa macho yao ndio wataamini,wakati ulokole haupo hivyo.Imani hata katika mambo yasiyoonekana na yanayoonekana ndio msingi wa ujenzi wa imani ya kilokole kiroho.
NITAENDELEA............!!!!!!!!
Azazeli ni nani mkuu?
Na ni kwa nini Haruni kuhani wa Mungu amtolee mbuzi Azazel huko jangwani? Sijapata muunganiko wa hili tukio na ni kwa nini Haruni ahusike na mbuzi huyu wa Azazeli.
 
Azazeli ni nani mkuu?
Na ni kwa nini Haruni kuhani wa Mungu amtolee mbuzi Azazel huko jangwani? Sijapata muunganiko wa hili tukio na ni kwa nini Haruni ahusike na mbuzi huyu wa Azazeli.
Azazel ni angel of desert au angel of death ambae aliwafundisha wanajimu wa mwanzo duniani uchawi wa kubashiri na kuua.Wanajimu wanamuona kama nabii wao na katika ukrsto ametajwa kama pepo wa jangwani alikofungiwa kama adhabu yake.Na katika theory za waroma anaitwa Mungu wa vifo Azazel.Na katika uislamu ametajwa kama malaika wa Mungu allah anayehusika na vifo,kwa kiarabu anaitwa""Azra il au Izra il"""Lakini kutokana na uhasama wa jadi kati ya wayahudi waebrania (Waisrael) na waarabu wenye itikadi kali,basi waarabu humuita huyo Azazel ""Israel""ili kuwakebehi wayahudi.....Huyo ndio Azazel muasisi wa uchawi na uganga wa wanajimu duniani.
 
Kuna kikundi cha wanajimu kutokea huku africa walikua wanaenda Mecca kuhiji sababu walikua waiskamu ila ni wanajimu kitaaluma.Sasa katika ile ndege waliyopanda huko angani akawatokea huyo mwana wa mmliki akazungumza nao.Lakini walifanya siri kuu na hakuna aliyelizungumzia hilo tukio,waliamua kukaa kimya na kulifanya lile tukio siri ila kwenye ulimwengu wa kinajimu lilikuwa linajadiliwa sana wakati wa masomo.
Kama na wewe ni mmoja wao usikae kimya tafadhali toa ushuhuda watu wapone utapata thawabu kwa Bwana! Kama unamfahamu mmoja wao mwambie atoe ushuhuda Mungu atambariki!
 
nadhani MUNGU wetu wawalokole amekuleta hapa iliniamini nilichokiona ni kweli, kunasiku tulikuwa tunasifu kanisani saa nikaona raha ya ajabu sijui ile raha nitaipata tena naomba MUNGU ile raha niipate tena milele na milele kipindi napata ile raha basi ikaja mwanga kama flashi nyeupe ukamuulika mbele ya waimbaji kama radi ila mwanga wake ninuru kiasi kwamba ikikumulika utajiona uko kwenye raha sijui za sayari gani kamoyo kanakuwa kabaridi yaani aisee.kumbuka raha ile na flash ile wanaona waliokusudiwa.tusali jamani kule mbinguni kuna raha sana ,sikwaraha nilizo pata jumapili ile. jumapili nyingine baada ya kuomba nguvu za ajabu zilikuja ni kashitukia naongea lugha nisioifahamu....wanasema ngono et ni raha kwa raha niliyopata siku ile ngono ikasome.n.b mwanga ule unauona kabisa na raha ile sio ya mwilini niroho tu ndouna ona inaburudika natamani sikuile ije tena
Wale watu warefu wenye kuakisi mwanga wakimsogelea binadamu anahisi amani na raha katika mwili na huwezi kuielezea hiyo hali. Lakini wale watu warefu wengine wasioakisi mwanga wanaotokea baharini wakikusogelea unasisimkwa na mwili na kujawa na uoga mkubwa sana...Mkuu wewe ulitokewa na wale watu warefu wa angani wa kuakisi mwanga marafiki na walinzi wa walokole.
 
Walokole asilimia 99 ni matapeli
Kama kuna mtu anajiita mlokole kakutapeli pole sana! Hakuna MLOKOLE ALIYE TAPELI! HAKUNA MLOKOLE MZINZI! HAKUNA MLOKOLE MWIZI! HAYUPO! MUNGU HACHANGAMANI NA WACHAFU MAANA YEYE NI MTAKATIFU!

YEYOTE ANAYETAPELI WATU SIYO MLOKOLE HATA KAMA ANAOMBA NA KULIA USIKU KUCHA NA KUTOA SADAKA! YESU ALISEMA SIYO WOTE WALIAO BWANA BWANA WATAUONA UFALME WA MUNGU!

Ukiona mtu anajiita mlokole na hana upendo HUYO SIYO MLOKOLE!

MLOKOLE SIYO DHEHEBU LILILOUNDWA NA WANADAMU! ULOKOLE NI WA MUNGU MWENYEWE!

ALIYEKUTAPELI APEWE JINA LAKE NI TAPELI. ULITAPELIWA NA TAPELI. POLE SANA.

MLOKOLE HUFUATA NYAYO ZA YESU KRISTO. HUYAFANYA MAPENZI YA MUNGU TU! Si kwamba hawana au hawatendi dhambi la, Roho Mtakatifu huwadaidia sana katika udhaifu wao! Ni wepesi kujirudi na kutubu wanapokosea!
 
Wale watu warefu wenye kuakisi mwanga wakimsogelea binadamu anahisi amani na raha katika mwili na huwezi kuielezea hiyo hali. Lakini wale watu warefu wengine wasioakisi mwanga wanaotokea baharini wakikusogelea unasisimkwa na mwili na kujawa na uoga mkubwa sana...Mkuu wewe ulitokewa na wale watu warefu wa angani wa kuakisi mwanga marafiki na walinzi wa walokole.
asante sana ubarikiwe sana mkuu
 
Kama kuna mtu anajiita mlokole kakutapeli pole sana! Hakuna MLOKOLE ALIYE TAPELI! HAKUNA MLOKOLE MZINZI! HAKUNA MLOKOLE MWIZI! HAYUPO! MUNGU HACHANGAMANI NA WACHAFU MAANA YEYE NI MTAKATIFU!

YEYOTE ANAYETAPELI WATU SIYO MLOKOLE HATA KAMA ANAOMBA NA KULIA USIKU KUCHA NA KUTOA SADAKA! YESU ALISEMA SIYO WOTE WALIAO BWANA BWANA WATAUONA UFALME WA MUNGU!

Ukiona mtu anajiita mlokole na hana upendo HUYO SIYO MLOKOLE!

MLOKOLE SIYO DHEHEBU LILILOUNDWA NA WANADAMU! ULOKOLE NI WA MUNGU MWENYEWE!

ALIYEKUTAPELI APEWE JINA LAKE NI TAPELI. ULITAPELIWA NA TAPELI. POLE SANA.

MLOKOLE HUFUATA NYAYO ZA YESU KRISTO. HUYAFANYA MAPENZI YA MUNGU TU! Si kwamba hawana au hawatendi dhambi la, Roho Mtakatifu huwadaidia sana katika udhaifu wao! Ni wepesi kujirudi na kutubu wanapokosea!
kweli kabisa mkuu ulokole siodhehebu bali nikutenda mambo ya mpendezayo MUNGU
 
Azazel ni angel of desert au angel of death ambae aliwafundisha wanajimu wa mwanzo duniani uchawi wa kubashiri na kuua.Wanajimu wanamuona kama nabii wao na katika ukrsto ametajwa kama pepo wa jangwani alikofungiwa kama adhabu yake.Na katika theory za waroma anaitwa Mungu wa vifo Azazel.Na katika uislamu ametajwa kama malaika wa Mungu allah anayehusika na vifo,kwa kiarabu anaitwa""Azra il au Izra il"""Lakini kutokana na uhasama wa jadi kati ya wayahudi waebrania (Waisrael) na waarabu wenye itikadi kali,basi waarabu humuita huyo Azazel ""Israel""ili kuwakebehi wayahudi.....Huyo ndio Azazel muasisi wa uchawi na uganga wa wanajimu duniani.
Sasa kwa nini Haruni kuhani wa Mungu atume mbuzi huko jangwani kwa ajili ya azazel?
 
NINAENDELEA..............!!!!!!!
Mzee matata pmoja na unajimu wake wote na utaalamu wake wa uganga hakatizi wanapokuwepo walokole na anawaogopa.Wanajimu ni wachawi waliojificha na wana usharika na viumbe wa baharini.Jiulize vitu vichache tu kuhusu wanajimu
MOSI: Mbona wana usiri sana katika mambo yao na ufundishaji wa hii fani kuna sehemu maalummaalumuu katika hii pande ya dunia wanaenda.
PILI: Ukitazama vitabu vyao vya kujifunzia kama Al Azif na vyenginevyo vimejaa mafunzo ya kufuru na waandishi wake wa hivi vitabu ni jamii ya watu warefu wa baharini wanaitwa""WANEFILI""hawa nao jamii ya wale watu warefu wa angani ambao wakifukuzwa kutoka anga za mbali na mkuu wa wakuu.Vitabu vyote vya unajimu vinamtukuza AZAZELI"""na ndio muasisi wa taaluma hiyo kwa wanadamu na lengo likiwa ni wamsaidie katika kazi zake za makufuru.Kwahiyo hiyo ni ishara tosha kua wanajimu wamefundishwa na BABA WA UCHAWI ""AZAZELI""
Mzee Matata anasema mtu yoyote yule anaejihusisha na wanajimu ni mshirikina pia.
Basi mzee matata akaniambia unajua watu wengi wana uelewa mdogo kuhusu mungu wa walokole,lakini ukiwafuatilia walokole basi utamjua mungu wao.Akasema kua ukiwafuatilia wale watu warefu wanaoakisi mwanga kwenye makazi yao kuna anga zaidi ya saba na kila anga kuivuka ni miaka ya kuakisi mwanga trioni na trioni.Hakuna aliyewahi kufika huko mpaka wao wenyewe watu warefu wampeleke huko.Huko wana mji mkubwa na wana utawala mkuu ambao unaongozwa na yule mwana wa mmliki mlinzi wa walokole.
Akasema wao wanajimu wameyajua hayo sababu wana uwezo wa kuelewa ulimwengu wa siri.
Nikamuuliza kwanini sasa na yeye asijiunge na walokole afaidi hayo mambo.Akasema pale tu binadamu anapokua mlokole haya mambo hayaoni bali anaishi kwa imani na imani ndio kipimo cha ulokole wao,labda mungu hawaruhusu waone mambo yanayowazunguka kiroho.Lakini mtu anapokua mchawi haitaji vipimo vya imani ili kuona ulimwengu wa kiroho,hivyo yeye inamuwia ngumu kua mlokole sababu ya hayo na pili ameshakula viapo vya kua mnajimu.
Ukishakula viapo vya kua mnajimu inakua vigumu kutoka nje,ila akasema anauhusudu sana uwezo wa walokole nje ya mwili yaani kiroho.Akasema waganga na wanajimu wanaishi kwa masharti na utaratibu ambao wakiugeuka wanapata adhabu ila walokole wanaishi kwa imani tu na sio lazima waone,bali imani tu na wakigeuka wanapata nafsi ya pili (TOBA) maana mungu wao ni muanzilishi wa tendo hilo la toba katika ulimwengu wa roho.Akasena watu wengi wanashindwa kua walokole sababu ya imani haba na wanataka kila kitu mpaka waone ndio wasadiki.
Akasema mpaka leo hii kuna walokole ukiwaambia kua wanalindwa na watu warefu hawatokuamini ila mpaka waone kwa macho yao ndio wataamini,wakati ulokole haupo hivyo.Imani hata katika mambo yasiyoonekana na yanayoonekana ndio msingi wa ujenzi wa imani ya kilokole kiroho.
NITAENDELEA............!!!!!!!!
Utafiti mzuri sana ila Kuna maeno unayachangany na yapo tofauti sana 1 Mungu au MUNGU ( bible inasema jina lake linatakiwa liamze na elufi KUBWA ayo zote ziwe kubwa)-na mungu au miungu mingine
 
MFALME DAUDI AMWONA MALAIKA MREFU SANA AMESHIKA UPANGA AMEUELEKEZA YERUSALEMU. (1 Mambo ya Nyakati 21:16.)

Daudi akainua macho yake, akamwona huyo Malaika wa BWANA amesimama kati ya nchi na Mbingu, naye alikuwa na upanga wazi mkononi, umenyoshwa juu ya Yerusalemu.



Andiko Hilo hapo juu, linashabiiana na wale watu warefu wanaoakisi mwanga wanaopambana na watu warefu wasioakisi mwanga Kutoka Baharini.

Mungu akujalie, ufunuo huu uandikwe katika kitabu kuinua Imani ya wengi Hasa walokole wasiojua thamani Yao kiroho Ili wasirudi nyuma kiimani kutokana na shida na taabu za Dunia wanazopitia.
 
Nataka kufanya uchunguzi na mimi niwaone tu inatoshaaa hebu niambie njia za kufanya hivyo
Pia nasubiri muendelezo
 
Back
Top Bottom