Mwandishi,
Hivi
Kirohoni Kuna anae tuombea ,au hakuna,au mtu akibadilika na kuanza kunena Kwa lugha anabadilika kuwa moto,
Je,maria aliye mzaa yesu duniani,huko Rohoni uliwai kumuona akiwaombea ,watu, au ni mwombezi wa watu ?,
Na
Je, kunyoa,kusuka,kuvaa mawigi,Rasta, lipustiki,viatu mchuchumio ,kinywa pombe,sigara , nguo mlekezo na WAVAA VIMINI SKETI WAKINENA KWA LUGHA AU KUOMBA JE WANASIKIWA NA MALAIKA HUJA KWAO,
JE, WENYE MAWIGI ,ILE NDIMU YA MOTO KWENYE VICHWA VYAO IPO, NA INAKAA JUU YA MAWIGI YAO NA KUSUKA KWAO AU RASTA ZAO JUU NDIO NDIMI INAKUBALI KUKAA JUU YAO,
NA WALE WAVAA VIMINI ,VIPI MOTO HUWAFULIKA NA WANALINDWA NA KUVAA KWAO VIMINI NA MILEGEZO,