Mungu wetu ni Mungu wa rehema

Mungu wetu ni Mungu wa rehema

Tuombe,
Eeeh Mungu Mwenyezi Muumba Mbingu na ardhi pamoja vyote tunavyoviona na tusivyoviona, Tunakushukuru kwa zawadi ya uzima na afya njema, Tunakusifu na kukuabudu wewe kwa kuwa hakuna mungu kama wewe,

Baba tunakuomba ubariki kazi za mikono yetu, tusipungukiwe na chochote,
-Utusamehe makosa yetu
-Utuepushe na kila aina za hatari na bahati mbaya
-Uwasaidie wale wote wanaopitia changamoto mbalimbali za kimaisha, wagonjwa, waliofungwa kwa kesi za kusingiziwa , wasio na ajira na wote wanaopita changamoto za kiuchumi.
-Uwaepushe na ajali wale wote waliopo safarini.
-Ulilinde taifa letu, Uwape viongozi wetu hekima ya kuongoza nchi vema na kuwa na hofu juu yako.

Ninaomba kwa ajili ya wote wanaokumbuka na wasiokumbuka kuomba, tazama sisi sote ni watoto wako,
Katika Jina la YESU KRISTO, jina lipitalo majina yote ninaomba nikiamini AMEN.
Ukishaona una haja ya kumuomba Mungu tu, huo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hayupo.

Angekuwapo, angekupa unachohitaji kabla hujamuomba.

Kitendo cha wewe kumuomba ni uthibitisho kwamba hayupo.
 
Ukishaona una haja ya kumuomba Mungu tu, huo ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hayupo.

Angekuwapo, angekupa unachohitaji kabla hujamuomba.

Kitendo cha wewe kumuomba ni uthibitisho kwamba hayupo.
Kwani baba yako unamwomba kwa sababu hayupo?

Hata kama unaomba ada,
 
Kwani baba yako unamwomba kwa sababu hayupo?

Hata kama unaomba ada,

This logical fallacy is called non sequitur.

Baba yangu si muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote.

Kwani Mungu wako uwezo wake, ujuzi wake na upendo wake ni sawa na wa baba yangu?

Mungu wako naye hajui mahitaji yangu mpaka aombwe?
 
Tuombe,
Eeeh Mungu Mwenyezi Muumba Mbingu na ardhi pamoja vyote tunavyoviona na tusivyoviona, Tunakushukuru kwa zawadi ya uzima na afya njema, Tunakusifu na kukuabudu wewe kwa kuwa hakuna mungu kama wewe,

Baba tunakuomba ubariki kazi za mikono yetu, tusipungukiwe na chochote,
-Utusamehe makosa yetu
-Utuepushe na kila aina za hatari na bahati mbaya
-Uwasaidie wale wote wanaopitia changamoto mbalimbali za kimaisha, wagonjwa, waliofungwa kwa kesi za kusingiziwa , wasio na ajira na wote wanaopita changamoto za kiuchumi.
-Uwaepushe na ajali wale wote waliopo safarini.
-Ulilinde taifa letu, Uwape viongozi wetu hekima ya kuongoza nchi vema na kuwa na hofu juu yako.

Ninaomba kwa ajili ya wote wanaokumbuka na wasiokumbuka kuomba, tazama sisi sote ni watoto wako,
Katika Jina la YESU KRISTO, jina lipitalo majina yote ninaomba nikiamini AMEN.
Amina 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Lakini Mungu, ambaye ana huruma nyingi, kutokana na upendo wake mkuu ambao alitupenda nao, Japokuwa tulikuwa bado tumekufa kiroho kwa sababu ya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu. Mmeokolewa kwa neema. Wafeso 2:4-5
 
Amen.


Hakika na atubariki katika kila tufanyalo lenye kutuletea mafanikio kwa njia chanya.
 
Mwenyezi Mungu ni mwenye rehema na huruma; ni mvumilivu na mwingi wa fadhili. Hatukemeikemei daima, wala hasira yake haidumu milele. Zab. 103.8
 
Tuombe,
Eeeh Mungu Mwenyezi Muumba Mbingu na ardhi pamoja vyote tunavyoviona na tusivyoviona, Tunakushukuru kwa zawadi ya uzima na afya njema, Tunakusifu na kukuabudu wewe kwa kuwa hakuna mungu kama wewe,

Baba tunakuomba ubariki kazi za mikono yetu, tusipungukiwe na chochote,
-Utusamehe makosa yetu
-Utuepushe na kila aina za hatari na bahati mbaya
-Uwasaidie wale wote wanaopitia changamoto mbalimbali za kimaisha, wagonjwa, waliofungwa kwa kesi za kusingiziwa , wasio na ajira na wote wanaopita changamoto za kiuchumi.
-Uwaepushe na ajali wale wote waliopo safarini.
-Ulilinde taifa letu, Uwape viongozi wetu hekima ya kuongoza nchi vema na kuwa na hofu juu yako.

Ninaomba kwa ajili ya wote wanaokumbuka na wasiokumbuka kuomba, tazama sisi sote ni watoto wako,
Katika Jina la YESU KRISTO, jina lipitalo majina yote ninaomba nikiamini AMEN.
Amen
 
Sawa mkuu. Sasa Kuna haja Gani uandike humu kwenye mitandao ya kijamii?
Kumbukumbu la Torati 6:7-9

[7]nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyanena uketipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.

[8]Yafunge yawe dalili juu ya mkono wako, nayo yatakuwa kama utepe katikati ya macho yako.

[9]Tena yaandike juu ya miimo ya nyumba yako, na juu ya malango yako.

Zingatia mstari wa 9
 
Back
Top Bottom