Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Unajua ama kuelewa kilichokuwa kinasemwa hapa?
Kwahiyo Mimi ya milango ndo jf ya Sasa?
Kwahiyo Mimi ya milango ndo jf ya Sasa?
Kumbukumbu la Torati 6:7-9
[7]nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyanena uketipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.
[8]Yafunge yawe dalili juu ya mkono wako, nayo yatakuwa kama utepe katikati ya macho yako.
[9]Tena yaandike juu ya miimo ya nyumba yako, na juu ya malango yako.
Zingatia mstari wa 9