Mungu wetu ni Mungu wa rehema

Mungu wetu ni Mungu wa rehema

Una uhakika wewe ni mwana wa Mungu?

Yapo mazingira ambayo yatakuhitaj uombewe, unaumwa huwezi basi utahitaji kuombewa, unapita kwenye changamoto ambayo akili yako imefika mwisho utahitaji kuombewa, huna nguvu ndani yako(mahusiano yako na Mungu ni hayapo au hafifu) utahitaji kuombewa
hivi kumbe tuna vitu tunaamua kuvifanya bila kuwa kwenye utaratibu
mimi nimeuliza why anatuombea, ukatoa aya ambayo inasema mzee wa kanisa anatakiwa kuombea, sasa nauliza aliyeleta ombi kwenye hii mada ni mzee wetu wa kanisa. kama siyo why atuombee (kama swali limekuzidi kaa mbali mwenye mada ajibu)
mimi ni mwanafunzi wa Yesu ambaye nimefundishwa kufanya tu yaliyo kwenye biblia au nakosea
 
Waefeso 6:18

[18]kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;

Praying always with all prayer and supplication in the Spirit, and watching thereunto with all perseverance and supplication for all saints;

Sio lazima awe mzee wa kanisa mkuu, soma na hapo
so sisi wote ni watakatifu? kwenye hii forum?
 
hivi kumbe tuna vitu tunaamua kuvifanya bila kuwa kwenye utaratibu
mimi nimeuliza why anatuombea, ukatoa aya ambayo inasema mzee wa kanisa anatakiwa kuombea, sasa nauliza aliyeleta ombi kwenye hii mada ni mzee wetu wa kanisa. kama siyo why atuombee (kama swali limekuzidi kaa mbali mwenye mada ajibu)
mimi ni mwanafunzi wa Yesu ambaye nimefundishwa kufanya tu yaliyo kwenye biblia au nakosea
ungekuwa mwanafunzi wa Yesu ungekuwa unaelewa hayo unayouliza, lakini napata shaka kidogo
 
hivi kumbe tuna vitu tunaamua kuvifanya bila kuwa kwenye utaratibu
mimi nimeuliza why anatuombea, ukatoa aya ambayo inasema mzee wa kanisa anatakiwa kuombea, sasa nauliza aliyeleta ombi kwenye hii mada ni mzee wetu wa kanisa. kama siyo why atuombee (kama swali limekuzidi kaa mbali mwenye mada ajibu)
mimi ni mwanafunzi wa Yesu ambaye nimefundishwa kufanya tu yaliyo kwenye biblia au nakosea
Ayubu 42:10

Kisha BWANA akaugeuza uteka wa Ayubu, hapo alipowaombea rafiki zake; BWANA naye akampa Ayubu mara mbili kuliko hayo aliyokuwa nayo kwanza.

Haya mwanafunzi wa Yesu, soma na hapo
 
Ni Mungu wa neema kweli? Wanaopata raha na wanaoteseka vipi? Basi tuseme "Mungu mwenye upendeleo ".
Ana wanyeshea mvua wema na waovu mkuu, Jambazi, kahaba, mchawi na mlokole wote wakilima watapata mazao, usije ukasahau hilo
 
Lakini Mungu anaudhihirisha upendo wake kwetu kwamba: tulipokuwa tungali wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu. Basi kwa kuwa tumekwisha kuhesabiwa haki kwa damu yake, bila shaka atatuokoa kutoka katika ghadhabu ya Mungu. Kwa kuwa kama tulipokuwa maadui wa Mungu tulipatanishwa kwa kifo cha mwanae, bila shaka sasa kwa kuwa tumepatanishwa, tutaokolewa kwa uzima wake. Warumi 5:8-10
 
 
 
Back
Top Bottom