Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Kumbukumbu la Torati 6:7-9
[7]nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyanena uketipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.
[8]Yafunge yawe dalili juu ya mkono wako, nayo yatakuwa kama utepe katikati ya macho yako.
[9]Tena yaandike juu ya miimo ya nyumba yako, na juu ya malango yako.
Zingatia mstari wa 9
kwa mamlaka gani unatuombea mkuuTuombe,
Eeeh Mungu Mwenyezi Muumba Mbingu na ardhi pamoja vyote tunavyoviona na tusivyoviona, Tunakushukuru kwa zawadi ya uzima na afya njema, Tunakusifu na kukuabudu wewe kwa kuwa hakuna mungu kama wewe,
Baba tunakuomba ubariki kazi za mikono yetu, tusipungukiwe na chochote,
-Utusamehe makosa yetu
-Utuepushe na kila aina za hatari na bahati mbaya
-Uwasaidie wale wote wanaopitia changamoto mbalimbali za kimaisha, wagonjwa, waliofungwa kwa kesi za kusingiziwa , wasio na ajira na wote wanaopita changamoto za kiuchumi.
-Uwaepushe na ajali wale wote waliopo safarini.
-Ulilinde taifa letu, Uwape viongozi wetu hekima ya kuongoza nchi vema na kuwa na hofu juu yako.
Ninaomba kwa ajili ya wote wanaokumbuka na wasiokumbuka kuomba, tazama sisi sote ni watoto wako,
Katika Jina la YESU KRISTO, jina lipitalo majina yote ninaomba nikiamini AMEN.
imeandikwa wapi kuwa unaweza kuombea watuKwa jina la Yesu Kristo aliye hai
kwani miimo ya milango unaijua? JF ni sehemu ya mlango wa kupitisha mabaya na mazuri, unayoyasoma huyu yapo yanayojenga na yapo yanayobomoaUnajua ama kuelewa kilichokuwa kinasemwa hapa?
Kwahiyo Mimi ya milango ndo jf ya Sasa?
Wagalatia6:1 Ndugu zangu, mkimwona mtu amenaswa katika dhambi fulani, basi ninyi mnaoongozwa na Roho, mrejesheni mtu huyo kwa upole. Lakini mjihadhari, ili na ninyi msije mkajaribiwa. 2 Chukulianeni mizigo yenu; na kwa njia hiyo mtaweza kutimiza sheria ya Kristo. 3 Mtu akijiona kuwa yeye ni bora na kumbe siyo, basi mtu huyo anajidanganya mwenyewe. 4 Lakini, kila mtu apime mwenendo wake, ndipo anaweza kuwa na sababu ya kujisifu bila kuwa na sababu ya kujilinganisha na mtu mwingine. 5 Kwa maana, kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe. 6 Basi, mwanafunzi na amshirikishe mwalimu wake vitu vyote vilivyo vyema.Wagalatia 6:1-5
Hapa jf nionyeshe Mimi ipo wapikwani miimo ya milango unaijua? JF ni sehemu ya mlango wa kupitisha mabaya na mazuri, unayoyasoma huyu yapo yanayojenga na yapo yanayobomoa
Yakobo 5:13-14Wagalatia6:1 Ndugu zangu, mkimwona mtu amenaswa katika dhambi fulani, basi ninyi mnaoongozwa na Roho, mrejesheni mtu huyo kwa upole. Lakini mjihadhari, ili na ninyi msije mkajaribiwa. 2 Chukulianeni mizigo yenu; na kwa njia hiyo mtaweza kutimiza sheria ya Kristo. 3 Mtu akijiona kuwa yeye ni bora na kumbe siyo, basi mtu huyo anajidanganya mwenyewe. 4 Lakini, kila mtu apime mwenendo wake, ndipo anaweza kuwa na sababu ya kujisifu bila kuwa na sababu ya kujilinganisha na mtu mwingine. 5 Kwa maana, kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe. 6 Basi, mwanafunzi na amshirikishe mwalimu wake vitu vyote vilivyo vyema.
hiyo hapo au nyingine.
mimi nimeuliza tu nielewe mkuu. haya maombi unayotufanyia kwa aya yoyote kwenye biblia ambayo inatoa mamlaka kwa mtu mmoja kumuombea mwingine? mimi ni mwanafunzi wa biblia
Aya ninayoijua ni ile inayotuagiza tuombe kwa jina la Yesu naye atatusikia
sasa hili la kumuombea mtu mwingine ,naomba aya
kama anakaa ndani yetu sasa, why mtu mtu atuombeeeMungu anakaa ndani ya Mtu nimekuambia
aliye tuombea ni mzee wa kanisa letu?Yakobo 5:13-14
[13]Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi.
Is any among you afflicted? let him pray. Is any merry? let him sing psalms.
[14]Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
aliyetuombea, huyo mleta mada ni mzee wa kanisa lipi, sisi ni waumini wa hilo kanisa la mleta mada
Is any sick among you? let him call for the elders of the church; and let them pray over him, anointing him with oil in the name of the Lord:
Wakukanyaga mafuta!Mkesha wa nini mkuu?
Una uhakika wewe ni mwana wa Mungu?kama anakaa ndani yetu sasa, why mtu mtu atuombeee
Waefeso 6:18aliye tuombea ni mzee wa kanisa letu?
unaelewa maana ya Rehema au umekalili kwakuwa umewazoea akina RehemaUshasema ni Mungu wa Rehema, sasa anakuwaje wetu?
Au we ndio Rehema mwenyewe umeamua kujimilikisha?