Mungu Yuko wapi?

Ndio...coz ukisema una Imani ya Mungu wa Biblia unakuwa hujajibu swali la kwa Nini umechagua Imani hio na sio vitu kibao vingine ambavyo umeacha kuamini, why Mungu umempa special treatment
Kwani inawezekana kuamini vitu vyote?
 
Sio mada nayojadili hapa.
Huu nao ni ujinga.

Huwezi kuona mstari unaounganisha umasikini na kukosa elimu, ambao unakwenda moja kwa moja pia kutoka kukosa elimu mpaka imani ya Mungu.

Imani ya Mungu => Kukosa elimu => Umasikini.

Huoni uhusiano huu?
 
Ndio...coz ukisema una Imani ya Mungu wa Biblia unakuwa hujajibu swali la kwa Nini umechagua Imani hio na sio vitu kibao vingine ambavyo umeacha kuamini, why Mungu umempa special treatment
Umekuta kuna mgawo wa vitu mbali mbali, tena vinatolewa bure! Halafu unapewa uhuru wa kuchagua, ungechagua kipi?

Umeruhusiwa kuchagua kimojawapo kati ya hivi:

1. Chumvi kilo mia mbili

2. Pamba kilo mia

3. Sukari kilo themanini

4. Dhahabu safi kilo hamsini

5. Baiskeli mpya

Wewe ungechagua kipi?

Mimi nitachukua kilo hamsini za dhahabu. Kwa kilo hizo hamsini, naweza kuvipata na hivyo vyote vilivyoorodheshwa, na vingine vingi, ikiwa nitahitaji.

Ikiwa mtu amejiridhisha kuwa Mungu anayemwamini ni kila kitu, na ni zaidi ya Miungu mingine yote,ya nini kuhangaika tena na tumiungu tudogo?

Aliye na MUNGU MKUBWA hahitaji tumiungu. Mwenyezi Mungu ni kila kitu!
 
Population ya watu wasio na dini Tanzania ni less than 1% wakati marekani wapo Kama 12% ya population na kumbuka population Yao ni kubwa Mara nne ya kwetu
 
Shetani Ashawahi kusema Mungu hayupo?, freemason Ashawahi kusema Mungu hayupo ? Shetani mwenyewe anataka watu wamjue Mungu ili wampinge. Shetani na Mungu ni story tu Kama movie zilivyokuwa na sterling na jambazi acha uwoga wa maisha Kama Mungu anapenda watu kwa Nini awachome, we unaweza mchoma mtoto wako moto, mmetishwa na makanisa ili muendelee kufata sheria zao na mtoe sadaka mwatajirishe
 
Nielezee mtu kuzaliwa na cancer anakosa gani mpaka kaumwa🤣au mama ake hakuelewa biblia
 
Unaweza ukawa sahihi kutokana watu tofauti wana amini miungu tofauti, lakini Mungu ambaye ni Uwezo mkuu usiyowezwa huwezi kumjadili kwa kuwa yupo kinyume kabisa na sisi wanadamu tunavyomfikiria.
Hivyo ni visingizio ili usikosoe dini, Mara hoo Mungu hachunguzwi, 🤣ujinga mtupu...kiumbe chenye nguvu kuliko kingetengeneza dunia isiyo na dhambi na shida, na Kama anatujali na anajua yote hamna haja ya kuumba watu afu awachome baadae, Mungu wa hivi ni wa kutungwa ili watu waogope watoe sadaka na kufata sheria za waliotunga, Mungu anajali unamwaga wapi kweli
 
Nilogeni hamna uchawi hamna majini hao wanasema mapepo sijui ni ukichaa tu waende milembe watibiwe🤣🤣🤣
 
utakuwa mwanga na mchawi tu usinikufurishe na mungu wangu hujui nimepitia mangapi, we mwenye elimu ya kukalilishwa ubaon imekusaidia nini mpaka hapo ulipo,wenzako kupitia uchawi wamevumbua ndege lakin we usiku unapaa na ungo wa buku jelo
🤣 Nitajie Sayansi aliyogundua mchawi.. wazungu wamegundua ndege marocket ya mwezini Ila Biblia zinatuambia Mungu yupo mawinguni, haya mbona tukipanda air tanzania tunavuka mawinguni hatumwoni au kajificha nje ya ulimwengu tusimpate
 
1. Pagan means mtu ambaye ana dini tofauti na zinazojulikana, sio mtu asiye na dini
2. True Scotsman fallacy, unasema kitu ambacho mtu hawezi fanya afu mtu akianza kufanya unasema hakuwa mtu fulani. Hata kanisa lenyewe halijui mkristo wa ukweli ndo maana Kuna madhehebu elfu kumi kila mtu anakuja na ukristo wake so mkristo wa ukweli hajulikani. Ni sawa na kusema wachaga wote wanapenda hela afu akitokea mchaga asiyependa hela unasema ye sio mchaga ili kusupport theory yako. Atheists wengi walikuwa wanadini wakaamua kuifatilia kusoma Biblia zaidi kuuliza maswali kuhusu historia na logic kuhusu dini Yao wakagundua ni uwongo, ndo maana hoja za atheists Zina make sense Ila watu wanaogopa kukufuru coz wametishiwa moto ambao haupo, kusingekuwa na moto na mbingu hamna mtu angeamini story za Mungu wa Biblia
 
Population ya watu wasio na dini Tanzania ni less than 1% wakati marekani wapo Kama 12% ya population na kumbuka population Yao ni kubwa Mara nne ya kwetu
Hiyo umeitoa wapi kiongozi? Nimejaribu kucheki mtandaoni, ikasomankuwa kwa Marekani, atheist ni asilimia 4, kwa Tanzania, by 2020, takwimu zinazoonesha kuwa Christian ni asilimia 63.2, Islam asilimia 34.1, No Religion asilimia 1.5 na Traditional Religion ni asilimia 1.2.

Hata hivyo sijajua hoja yako hapo hasa ni ipi mkuu!

Kwamba Marekani imeendelea sana kwa sababu ya kuwa na idadi kubwa ya watu wanaomwamini Mungu?

Kunatofatianaje na Tanzania kwenye suala zima la Imani za kidini?
 
Nani kalinganisha elimu? Unaanza kunichosha mkuu,we kuwa na amani wala mimi sitaki kuwashusha utukufu unaouona kwa wazungu.
Mzungu katengeneza chanjo ya corona huku mnauombea uondoke mnadanganyana Mungu kaikoa nchi kwa corona kisa Ina dini kumbe watu kibao wanakufa na kuzikwa afu unasema we na mzungu mpo sawa kimaarifa, kamtawale basi
 
Asilimia kumi na mbili ya marekani hawana dini yoyote sijasema atheists elewa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…