Mungu Yuko wapi?

Mungu Yuko wapi?

Kama huamini yasemwayo na Maandiko Matakatifu kuhusu kifo na maisha baada ya kifo, mtafute Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ, Benjamin Msuya, anaweza akakusaidia katika hilo.

Ukikutana naye, mwulize alichokiona baada ya kufa kwa siku nne alipokuwa amepelekwa na Serikali ya Tanzania kutibiwa nchini Uingereza.
Hizo story za watu kuona vitu baada ya kufa hazinitishi coz in the end of the day kila mtu anakuja na story zake na tests zimefanyika kwamba out of body experience ni za uwongo na watu hawawezi ona after death hence ni mental activity tu. Hakuwezi kuwa na mbingu na Moto tofauti kutokana na Imani ya mtu hence it proves it's not real. Sawa kaona vitu hata watu husema kuona bikra maria kuona majini Ila doesn't make it true. Soma mambo ya ubongo utaelewa zaidi sio kila kitu unachoona ni real
 
Mpaka sasa hakuna anayeweza kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu gani?

Kwa sababu hayupo.

Ukibisha, thibitisha Mungu yupo umalize utata kuhusu kuwepo kwa Mungu.
Huwezi kumuona Mungu kwakuwa hujamtafuta na usitake kila mtu aamini unavyoamini, Mungu ni Roho hivyo wewe ulivyo kimwili huwezi kumuona ni lazima umtafute kwa njia ya Roho ndio utamuona
 
Hizo story za watu kuona vitu baada ya kufa hazinitishi coz in the end of the day kila mtu anakuja na story zake na tests zimefanyika kwamba out of body experience ni za uwongo na watu hawawezi ona after death hence ni mental activity tu. Hakuwezi kuwa na mbingu na Moto tofauti kutokana na Imani ya mtu hence it proves it's not real. Sawa kaona vitu hata watu husema kuona bikra maria kuona majini Ila doesn't make it true. Soma mambo ya ubongo utaelewa zaidi sio kila kitu unachoona ni real
Kwani wewe ulishawahi kufa ukafufuka?

Kama ulishawahi, tujulishe ulichoexperience.

Kwa mujibu wa Meja Jenerali Benjamin Msuya, yeye alipokufa, alifika Mbinguni na Jehanamu. Kipindi chote hicho, mwili wake ulikuwa umehifadhiwa hospitalini nchini Uingereza huku JWTZ wakijiandaa kwa mazishi yake.

Kama ulishawahi kufa, tuambie ulichoexperience!
 
Huwezi kumuona Mungu kwakuwa hujamtafuta na usitake kila mtu aamini unavyoamini, Mungu ni Roho hivyo wewe ulivyo kimwili huwezi kumuona ni lazima umtafute kwa njia ya Roho ndio utamuona
Kama ni mmoja mbona kila mtu anamuona tofauti...kila mtu anaamini mawazo yake ndo Mungu anamuambia at the same time yanapingana na kila mtu...how does this make sense to u... Roho ni Nini...huwezi elezea roho ni Nini.
 
Kwani wewe ulishawahi kufa ukafufuka?

Kama ulishawahi, tujulishe ulichoexperience.

Kwa mujibu wa Meja Jenerali Benjamin Msuya, yeye alipokufa, alifika Mbinguni na Jehanamu. Kipindi chote hicho, mwili wake ulikuwa umehifadhiwa hospitalini nchini Uingereza huku JWTZ wakijiandaa kwa mazishi yake.

Kama ulishawahi kufa, tuambie ulichoexperience!
😂Hivi umesoma medicine...out of body experience ni phenomenon ambayo haina full answers according to research. Lakini kusema hivyo wamekufa wengi na kuona vitu tofauti Kama mbingu au Motoni ni moja kwa Nini kunatofautiana according to story za watu...Kuna watu mpaka wanasema sijui Motoni zinapigwa nyimbo za Rihanna... Ehe unasemaje why kuwe na tofauti it shows ni kitu Cha akili sio reality...Kama we umeamini ni juu yako lakini hizi story za kumtisha mtoto wa kike mwenye miaka minne sio mimi
 
Kijana kijana kijana
1686674533477.jpg
 
😂Hivi umesoma medicine...out of body experience ni phenomenon ambayo haina full answers according to research. Lakini kusema hivyo wamekufa wengi na kuona vitu tofauti Kama mbingu au Motoni ni moja kwa Nini kunatofautiana according to story za watu...Kuna watu mpaka wanasema sijui Motoni zinapigwa nyimbo za Rihanna... Ehe unasemaje why kuwe na tofauti it shows ni kitu Cha akili sio reality...Kama we umeamini ni juu yako lakini hizi story za kumtisha mtoto wa kike mwenye miaka minne sio mimi
Unakubali kuwa Kuna watu walishawahi kufa na kufufuka?
 
Kama ni mmoja mbona kila mtu anamuona tofauti...kila mtu anaamini mawazo yake ndo Mungu anamuambia at the same time yanapingana na kila mtu...how does this make sense to u... Roho ni Nini...huwezi elezea roho ni Nini.
Kama huna Imani ni ngumu kukueleza Roho ni nini, hata mimi nilikuwa sielewi watu wakisema habari za Mungu, nilikuwa naenda kanisani tu, ila sasa ninamjua..
 
😂Hivi umesoma medicine...out of body experience ni phenomenon ambayo haina full answers according to research. Lakini kusema hivyo wamekufa wengi na kuona vitu tofauti Kama mbingu au Motoni ni moja kwa Nini kunatofautiana according to story za watu...Kuna watu mpaka wanasema sijui Motoni zinapigwa nyimbo za Rihanna... Ehe unasemaje why kuwe na tofauti it shows ni kitu Cha akili sio reality...Kama we umeamini ni juu yako lakini hizi story za kumtisha mtoto wa kike mwenye miaka minne sio mimi
Unaamini kuna uchawi?
 
Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.

Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi, na hio miungu ilikuwepo pangoni ambapo wazee tu wanaingia, baadae vijana wakajitoa akili kwenda wakaona wazee ni waongo na hamna kitu mule. Wagiriki wakaja na miungu yao wakasema ipo ya milima ya Olympus, Leo hii watu wamepanda milima yote ugiriki hawajaona miungu hio.

Wakaja wayahudi, wakasema Mungu yupo mawinguni. Ukifuatilia hata Yesu alipaa mawinguni, Mungu alifungua madirisha ya mbinguni kuleta mafuriko, alichungulia kutoka mawinguni kwenye mnara wa babel, etc. Waislamu nao wakaja na mbingu Saba sijui. Anyways wazungu wametengeneza ndege na rocket zimeenda mawinguni, nje ya dunia, mpaka mwezini. Sasa hivi watu wa dini wanasema yupo nje ya ulimwengu.

So nikagundua trend, wanamficha, wanamweka mbali ili watu wasiweze kumfikia, why? Kwa sababu hayupo? Kwa sababu hajasema hizo sheria? Why wanamficha. Afu wanakuambia anataka uamini yupo ndo utapona usipoamini unaunguzwa. Ukiuliza nikimwona afu nikamwamini, anasema no, lazma usimwone ndo uamini. Na wanaweka kifo mwisho wa kumuani ili waweze kuendelea kutunga sheria kwa jina lake na kuweza kuendelea kutawala watu kwa sababu hamna mtu Ashawahi kurudi akasema baada ya kifo kipo hivi.

Mwanasayansi mi nauliza Mbinguni Kuna Nini. Hamna njaa hamna maumivu hamna ndoa hamna chochote zaidi ya kumuabudu Mungu. Watu kanisani na msikitini hawapendi kwenda unategemea watapenda milele ya Ibada. So wakaamua kuanzisha motoni kutishia watu kwamba wataunguzwa milele. Sasa, ukifa unaacha mwili wako hapa, wanasema una roho, roho ni Nini, hoo mawazo sijui pumzi, ukiuliza unajua kazi ya ubongo ni Nini mtu hajui, haya tufanye roho ni ka upepo kanaenda motoni ehe kanaunguaje, hakana nyama, hakana nervous system hakana ngozi, hakana pain receptors, hakana ubongo au spinal cord, maumivu unayasikiaje, na bado hatujauliza huu Moto upo wapi, walisemaga chini kisa mavolcano lakini now hawasemi Tena coz of elimu.

Tukienda kwenye sheria zenyewe sijui usivae nguo tofauti, usile shellfish, usichanganye mazao, usimwage nje, usiabudu sanamu lakini abudu kitu Cha kufikiriwa na myahudi, hivi kwa Nini mtu atengeneze nyota billion 60 na sayari trillion afu aje kujali binadamu wewe ambae ni Kama vumbi kwa huu ulimwengu unamwaga wapi. Na kwa Nini sheria hizi zinaonekana Kama sheria za kabila ya la zamani huko kwenye majangwa na haziendani na sheria za binadamu kuishi na watu vizuri. Na Wanavyosema tumuabudu siku ya Saba.

Siku zimekuja kutengenezewa baadae Sana na zimebadilika badilika Mara kwa Mara katika historia ya Mayans na Romans. Na wamechagua sun day coz ni siku ya pagans kuabudu jua. Ila yote haya tuyaache, why Mungu muweza yote anataka hela, mwisho wa siku wote mnabidi mgundue kuwa binadamu walitengeneza miungu ili kujibu maswali magumu yasiyojibika kipindi kile na ku
Kama ulipata habari zake kuwa yupo basi fanya bidii za kumtafuta mpaka upate kujua kuwa yupo Ibrahimu alitaka kumchinja mwanae wa pekee Isaka kwa imani tu na akafanywa kuwa Baba wa mataifa sasa kama neno lake limeletwa kwetu tulichopewa ni kuamini na kumpenda kinyume cha hapo ni hatari kubwa sana.
 
Kama huna Imani ni ngumu kukueleza Roho ni nini, hata mimi nilikuwa sielewi watu wakisema habari za Mungu, nilikuwa naenda kanisani tu, ila sasa ninamjua..
Imani ni sawa na uchizi...kuamini kitu bila udhibitisho...so it's blind belief. So sio kitu Cha kujisifia Kama mtu mzima. Especially when umeamua kuamini Yesu na sio Babu Christmas wakati wote hawana ushahidi Ila umeamua kuchagua mmoja na kusema mwingine feki. Kama unajua roho ni nini eleza
 
Kulitokea nini kwa Meja Jenerali Benjamin Msuya?
Hakufa... Kama alikufa angetangazwa kafa afu akatangazwa kafufuka... Hii story unaijua wewe na wafuasi wenzako wa habari za uwongo. Hamna sehemu yoyote katangazwa hivyo kafa na kuona moto sijui mbingu...if so leta official government au hospital statement ikisema hivi na kukubali if not. Ni story zake tu kichwani hata me naweza kuwa clinically dead na nikasema nakumbuka kuona vitu fulani doesn't make hell n heaven exist. Coz if it did, hizo story zote zingekuwa zinaelezea sehemu moja
 
Hell ipo ni jalala lipo huko Jerusalem.
Hio ni Sheol...the bible itself imeiba concept kutoka kwa fiction na dini zingine . Zamani ilikuwa either eternal lyf au death wakaona watu hawaogopi kufaa waka introduce hell as a place of eternal fire ambayo ipo kwenye new testament tu...this shows waliotunga hizi story walikuwa wanasaka a way kutishia watu ndo wakatumia hell ..so mi ka mtu mzima hawanitishi
 
Kama ulipata habari zake kuwa yupo basi fanya bidii za kumtafuta mpaka upate kujua kuwa yupo Ibrahimu alitaka kumchinja mwanae wa pekee Isaka kwa imani tu na akafanywa kuwa Baba wa mataifa sasa kama neno lake limeletwa kwetu tulichopewa ni kuamini na kumpenda kinyume cha hapo ni hatari kubwa sana.
Usiniletee hadithi za mababu wa jangwani Kama reference ya kihistoria...nipe point or else tembea...
 
Huwezi kumuona Mungu kwakuwa hujamtafuta na usitake kila mtu aamini unavyoamini, Mungu ni Roho hivyo wewe ulivyo kimwili huwezi kumuona ni lazima umtafute kwa njia ya Roho ndio utamuona

Kwanza sijataka kumuona Mungu, nimetaka uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Piki, sitaki mtu aamini ninavyoamini, kwa kweli kuamini si kitu muhimu, kwa sababu kila mtu ana haki ya kuamini anavyotaka, iwe imani iliyo katika kweli au uongo. Ndiyo maana najikita kwenye uthibitisho.

Tatu, hiyo roho nayo ni kamba tupu. Nakutaka uthibitishe Mungu yupo, jambo ambalo nasema si kweli, ni uongo, unaniletea habari za roho, kitu ambacho mimi nasema ni uongo nwingine, roho ni ukajanja tu, haipo.

Ukibisha, thibitisha roho ipo.
 
Unataka niguse links zenye kuelezea waarabu jinsi wanavyozidi kusoma na kuondoka kwenye imani wakati bado kuna hoja ni elimu ya aina gani? Maana hata huku afrika wapo wengi tu waliyosoma ila umeingiza masuala ya aina ya elimu, mitazamo ya jamii husika,masuala ya siasa, mara tena unasema wangekuwa wanaamini Mungu wasingekuwa wanafanya sana ufisadi.
Yani hata uki simplify ukasema elimu ni literacy, numeracy, degrees na diplomas (as overall metrics and indicators for more complex versions of "elimu" ambazo kuzipima si rahisi), jamii zenye elimu hiyo kubwa (e.g Northern Europe) ndizo zenye kukataa uwepo wa Mungu zaidi ya jamii zisizo na elimu hiyo kwa sana kama Afrika na Middle East

Na jinsi jamii zisizo na elimu hiyo kwa sana kama Africa na Middle East zinavyozidi kupanua mawazo kutokana na kupata elimu hizo kwa sana, adjusting for cultural factors, ndivyo jamii hizo zinavyozidi kutoka kwenye imani ya Mungu.

Nimetoa links tatu za Middle East and North Africa hapo juu. Huku Africa kusini ya Sahara nimeeleza kwa nini hata wasomi bado wanajinadi kuamini Mungu kwa unafiki lakini ukiangalia wanavyoiba unaona wazi hawaamini Mungu.

Action speaks louder than words.
 
Back
Top Bottom