Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumepigwa Asubuhi Kwa Hii Sura Ya KambaleTumepigwa na naona tutaendelea kupigwa tena🤣😂
Du mmembiwa hicho ni cha mkandarasi kwa ajili ya testing na sio mali ya TRC
Afrika ilishakuwa dampo la vyuma chakavu haiwezekani serikali inayojinasibu ni safi iingie mkataba wa hovyo kiasi hiki kwa kutuletea vyuma chakavu kama hilo dubwashwa hapo juu..Hicho kilitumika kipindi cha vita ya pili Dunia.
Leo nimeamini kweli hauna tofauti na mdude... Taarifa inasema kichwa ni vha mkndarasi na kimeletwa kwa majaribio wewe unasema mama aache utaniHuu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
Hata Kama La Mkandarasi Haiwezekani Anatuchezea SanaAfrika ilishakuwa dampo la vyuma chakavu haiwezekani serikali inayojinasibu ni safi iingie mkataba wa hovyo kiasi hiki kwa kutuletea vyuma chakavu kama hilo dubwashwa hapo juu..
Ukute limepigwa service ndio wakalisafirisha kuja huku kwetu, inasikitisha kwa kweli..
Ndiyo Ukweli WenyeweKimekaa kama betri la guta ili umeme ukikatika kiendelee kupiga kazi?
Hata kama cha majaribio ni kibaya 🥲