Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu naomba picha za kichwa na behewa ambavyo serikali imekwisha lipia? Kwa ufupi tu ni mtumba na hauna tofouti na hili behewa la mkandarasiHuyo jamaa ni hasara kwa taifa hatumii akili hata kidogo ukisoma comments zake unagundua tu kama pimbi ameshika simu.
Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR jipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504
Hii ni rolling stock ya Tram, inatembea kwenye reli za mjini "Tramways" mahususi kwa safari za mjini.Speed ya kawaida tu 30-60 km/hr
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata Kama La Mkandarasi Haiwezekani Anatuchezea Sana
Ama nchi ndugu, kamwe mtanzania hawezi ridhikaHuu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
wamwsema cha mkandarasi kujaribia.Huu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
Hivi ni mimi ndie sielewi, au?
Mbona majority mnalalamika kwamba kichwa ni mtumba wakati taarifa inasema wazi kwamba ni Kichwa CHA MKANDARASI kwa ajili ya MAJARIBIO...
Sasa mlitarajia Mkandarasi anunue kichwa kipya kwa ajili ya kuja kufanyia majaribio ya TZ pekee, ama?
Nadhani hicho kichwa kitakuwa kinaenda kila mahali ambako kunakuwa na projects za aina hiyo!
Na unaweza kukuta ni kicwa kinachomilikiwa na mwingine lakini Contractors huwa wanakikodi kwenda kufanyia majaribio kwenye projects zao!!
Tunakwama wapi?!
Hata mimi nimeelewa hivyo hivyo mkuu naona hao jamaa wamekurupuka bila kuelewa....Du mmembiwa hicho ni cha mkandarasi kwa ajili ya testing na sio mali ya TRC
Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR jipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504
Hata mimi nimeelewa hivyo hivyo mkuu naona hao jamaa wamekurupuka bila kuelewa....
Mkuu hizi ni biashara na kama ni biashara mtu anajikuna pale anapofikia...ni kama hizi biashara za magari mkuu wapo ambao bado wananunua magari ya mwaka 1998&1999 lkn wakati huo huo wapo wale wakina mimi tunanunua magari ya 2021😆najua utabishasasa vya testing viko hivi ivo vya kutembelea unadhan vitakuaje??![emoji3][emoji23]View attachment 2126646
unadhan vitakua hivi au??
bongo nyoso wameshindwa hata kucheki sa au moroko mbona treni zao kisasa😆😆 mchina anakupa kitu kutokana na hela yako wahuni washakata zao %Upuuzi tu ...Hivyo vichwa vinatofauti gani na gari la Jeepers CreepersView attachment 2126536