Muonekano wa kichwa cha Treni ya SGR

Muonekano wa kichwa cha Treni ya SGR

Huu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
Wewe unataka inayofanana na ya beberu?? unadhani watakubali uwe level moja na wao? ukitaka iwe hivyo hawakupi mkopo, Barabara ya rami, mwendo kasi hazitofanana na za kwao hata siku moja.Na barabara za mtumba zingekuwepo nazo zingeletwa hivyohivyo.
 
Huu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
Hivi umesoma ukaelewa?
Hicho kichwa sio chenu,ni cha mkandarasi kakileta ili kufanya majaribio.
 
Mbona hivi ni used? Vilitengenezwa miaka ya 1994 ni vikaja kuuzwa kama used kwa Euro 15,000. Nyie TRC mmevinunua kwa bei gani?
Maana hata sasa havitengenezwi tena na spare zake hamna!

Tunategemea mtuletee Train bora na za kisasa ili kukuza Utalii, msije kumwangusha Mama, hii dhambi haita waacha salama.

Screenshot_2022-02-22-05-22-29-851_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-02-22-05-23-17-677_com.android.chrome.jpg


Screenshot_2022-02-22-05-22-55-153_com.android.chrome.jpg
 
Kichwa hichi kitapelekea hitirafu kwenye mataluma na kuiacha reli ikiwa na expansion joints. Naomba warrant aongezewe mkandarasi
 
Masanja Kadogosa Na Waturuki Wanatuchezea Sana Watanzania
 
Wewe unataka inayofanana na ya beberu?? unadhani watakubali uwe level moja na wao? ukitaka iwe hivyo hawakupi mkopo, Barabara ya rami, mwendo kasi hazitofanana na za kwao hata siku moja.Na barabara za mtumba zingekuwepo nazo zingeletwa hivyohivyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
 
Mbona hivi ni used? Vilitengenezwa miaka ya 1994 ni vikaja kuuzwa kama used kwa Euro 15,000. Nyie TRC mmevinunua kwa bei gani?
Maana hata sasa havitengenezwi tena na spare zake hamna!

Tunategemea mtuletee Train bora na za kisasa ili kukuza Utalii, msije kumwangusha Mama, hii dhambi haita waacha salama.

View attachment 2126787

View attachment 2126783

View attachment 2126786
Aisee ! Ngoja tusubiri maelezo ya kina. Kama kweli basi hii ni hujuma, kuchukua kitu hakina spare!
 
Naongeza ukubwa wa maandishi ili muelewe, ujuaji unapelekea kukufanya mjinga...


Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ...
 
Guys hiki ni kichwa kwa ajili ya majaribio tu....sio kwa ajili ya Operations.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hivi ni mimi ndie sielewi, au?

Mbona majority mnalalamika kwamba kichwa ni mtumba wakati taarifa inasema wazi kwamba ni Kichwa CHA MKANDARASI kwa ajili ya MAJARIBIO...

Sasa mlitarajia Mkandarasi anunue kichwa kipya kwa ajili ya kuja kufanyia majaribio ya TZ pekee, ama?

Nadhani hicho kichwa kitakuwa kinaenda kila mahali ambako kunakuwa na projects za aina hiyo!

Na unaweza kukuta ni kicwa kinachomilikiwa na mwingine lakini Contractors huwa wanakikodi kwenda kufanyia majaribio kwenye projects zao!!

Tunakwama wapi?!

Wabongo wengi huwa hawasomi maneno yote...
 
Sasa hili linatofauti gani na haya yaliyopo? Halitumii makaa ya mawe hili kweli?
 
ivi hamuoni aibuuu vichwa vya ivi !!dunia nzima havipo!! sasa tunaenda mbele au nyuma!! yaan vichwa kama vya treni ya mkoloni[emoji3]
Mkuu hicho ni cha mkandarasi kwaajili ya majaribio, chetu wenyewe bado
 
Mbona hivi ni used? Vilitengenezwa miaka ya 1994 ni vikaja kuuzwa kama used kwa Euro 15,000. Nyie TRC mmevinunua kwa bei gani?
Maana hata sasa havitengenezwi tena na spare zake hamna!

Tunategemea mtuletee Train bora na za kisasa ili kukuza Utalii, msije kumwangusha Mama, hii dhambi haita waacha salama.

View attachment 2126787

View attachment 2126783

View attachment 2126786

Tutakula wapi tukileta vipya tulieni ná tumenunua kwa bei ya trein mpya. Mdau kutoka PM
 
Hivi ni mimi ndie sielewi, au?

Mbona majority mnalalamika kwamba kichwa ni mtumba wakati taarifa inasema wazi kwamba ni Kichwa CHA MKANDARASI kwa ajili ya MAJARIBIO...

Sasa mlitarajia Mkandarasi anunue kichwa kipya kwa ajili ya kuja kufanyia majaribio ya TZ pekee, ama?

Nadhani hicho kichwa kitakuwa kinaenda kila mahali ambako kunakuwa na projects za aina hiyo!

Na unaweza kukuta ni kicwa kinachomilikiwa na mwingine lakini Contractors huwa wanakikodi kwenda kufanyia majaribio kwenye projects zao!!

Tunakwama wapi?!

Mbona kimekuwa branded na tanzania
 
Eeeeehhh sura mbaya hivyo kweli? Hii ndio treni ya kisasa? God help us. Hii nini sasa? 😳😳😳
 
Back
Top Bottom