Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Sasa sie wenye akili kidogo wacha tueleze yale tunayoona kwenye hili.
Heading inasema muonekano wa KICHWA CHA TRENI YA SGR nasio muonekano wa KICHWA CHA mkandarasi TRENI YA SGR.
Kuna Uzi ulipostiwa Jana na huyuhuyu aliepost hili kuwa hiki ndio kichwa Cha SGR kimefika
Sasa turudi kwenye taarifa za kichwa chenyewe👇👇👇
Kimetengenezwa mwaka 1994 yaan miaka 28 iliyopita, kwa ufupi hii kampuni ilishakufa na hakuna kampuni duniani unaweza toa vifaa muhimu kwa ajili ya matengenezo ya hicho kichwa.
Uwezo wake wa kukimbia n 175km/h yaan n sawa uwe na brevis ukaamua umalize sahani hivyo utakuwa umeizid tren mbali Sana maana hii tren ishakuwa chuma chakavu hvyo haiwezi kufika hata 140km/h kwa jinsi ninavyoona
Ukistaajabu ya MUSA Basi utayaona ya FIRAUNI katika taarifa mbili zinazojichanganya kutoka kwa mleta mada Ila ukiwa umetulia utagundua anamaanisha nini sema ndo hvyo tena maji yashamwagika Kama ulikuwa hujui hvyo vichwa ni Mali ya TRC na vilinunuliwa tangu Sept 2021
Withdrawal from the ÖBB Edit
In 2009 the locomotives were withdrawn and stored, with the ÖBB selling the locomotives at scrap value between 2008 and 2010, with each locomotive sold for 15,000 euros each, compared to the approximately 4 million euros per locomotive originally paid.[3] This drop in value, combined with the short service life of the locomotives, led to criticism of the Federal Railways.
Post ÖBB usage Edit
Following the withdrawal of the locomotives by the ÖBB in 2009, the locomotives have spent long periods in storage. In 2016, 16 of the locomotives were moved to Romania, although they were not used. In August and September 2018 they returned to Austria, and are now used by Zeller Transport Technik on freight services.[4][5]
After the bankruptcy of Zeller Transport Technik, four locomotives were sold to Tanzania Railways Limited and shipped to Tanzania in september 2021.[6][7]
Naomba kwenye tume itayoundwa kuchunguza hili Jambo naomba niwe mjumba hata Mwenyekiti Hilo swala halihitaji ma engineer Wala maprofesa kujua uhalisia wa treni iliyonunuliwa au treni inayotakiwa kuokoa pesa za serikali na kupromote ajira kwa wasio na ajira naomba serikali ituchukue wale kamati ya roho mbaya ya JF Mana haijawahi kushindwa kitu
Heading inasema muonekano wa KICHWA CHA TRENI YA SGR nasio muonekano wa KICHWA CHA mkandarasi TRENI YA SGR.
Kuna Uzi ulipostiwa Jana na huyuhuyu aliepost hili kuwa hiki ndio kichwa Cha SGR kimefika
Sasa turudi kwenye taarifa za kichwa chenyewe👇👇👇
Kimetengenezwa mwaka 1994 yaan miaka 28 iliyopita, kwa ufupi hii kampuni ilishakufa na hakuna kampuni duniani unaweza toa vifaa muhimu kwa ajili ya matengenezo ya hicho kichwa.
Uwezo wake wa kukimbia n 175km/h yaan n sawa uwe na brevis ukaamua umalize sahani hivyo utakuwa umeizid tren mbali Sana maana hii tren ishakuwa chuma chakavu hvyo haiwezi kufika hata 140km/h kwa jinsi ninavyoona
Ukistaajabu ya MUSA Basi utayaona ya FIRAUNI katika taarifa mbili zinazojichanganya kutoka kwa mleta mada Ila ukiwa umetulia utagundua anamaanisha nini sema ndo hvyo tena maji yashamwagika Kama ulikuwa hujui hvyo vichwa ni Mali ya TRC na vilinunuliwa tangu Sept 2021
Withdrawal from the ÖBB Edit
In 2009 the locomotives were withdrawn and stored, with the ÖBB selling the locomotives at scrap value between 2008 and 2010, with each locomotive sold for 15,000 euros each, compared to the approximately 4 million euros per locomotive originally paid.[3] This drop in value, combined with the short service life of the locomotives, led to criticism of the Federal Railways.
Post ÖBB usage Edit
Following the withdrawal of the locomotives by the ÖBB in 2009, the locomotives have spent long periods in storage. In 2016, 16 of the locomotives were moved to Romania, although they were not used. In August and September 2018 they returned to Austria, and are now used by Zeller Transport Technik on freight services.[4][5]
After the bankruptcy of Zeller Transport Technik, four locomotives were sold to Tanzania Railways Limited and shipped to Tanzania in september 2021.[6][7]
Naomba kwenye tume itayoundwa kuchunguza hili Jambo naomba niwe mjumba hata Mwenyekiti Hilo swala halihitaji ma engineer Wala maprofesa kujua uhalisia wa treni iliyonunuliwa au treni inayotakiwa kuokoa pesa za serikali na kupromote ajira kwa wasio na ajira naomba serikali ituchukue wale kamati ya roho mbaya ya JF Mana haijawahi kushindwa kitu