Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
[emoji23][emoji23][emoji23] wataalamu wa Forensic watupe msaada..uwenda ni kichwa Cha 1945 A.DTAA ZISHAANZA KUWA ZA NJANO MANAKE HICHO KICHWA KIMEKWENDA AGE KINOMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] wataalamu wa Forensic watupe msaada..uwenda ni kichwa Cha 1945 A.DTAA ZISHAANZA KUWA ZA NJANO MANAKE HICHO KICHWA KIMEKWENDA AGE KINOMA
[emoji23][emoji23][emoji23] huu Uzi Ni mwendo wa kucheka tu
Hicho kichwa ni "simulator" Kwa ajili ya majaribio na mafunzo kwa wafanyakazi wa SGR na ku-test quality of the njia za reli, kama zilivyo "simulators" kwa ndege/roketi za anga ya juu.Mbona kama chuma chakavu
will it serve the purpose?Huu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
Kichwa cha treni cha reli ya kisasa - SGR chàwasili
Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504
Kiongozi una uhakika vya kwetu vitakuwa vizuri..?? Weka akiba ya maneno..Mkuu hicho ni cha mkandarasi kwaajili ya majaribio, chetu wenyewe bado
Mna hela ya kuagiza mizigo brand nyuuu ?Mbona kama chuma chakavu
Wanatutega kuona tutakichukuliaje..Yawezekana hicho ni kichwa cha majaribio tu!
Bongo bahati mbaya
asante kwa ufafanuziNaongeza ukubwa wa maandishi ili muelewe, ujuaji unapelekea kukufanya mjinga...
Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ...
[emoji16][emoji16][emoji16]Mbona kama chuma chakavu
Ukweli usemwe [emoji16][emoji16][emoji16]Ila Imechoka Kwa Kweli Tuambizane Ukweli Tu.
Nahisi Ni Model Ya Miaka Ya 80's
[emoji16][emoji16]Upuuzi tu ...Hivyo vichwa vinatofauti gani na gari la Jeepers CreepersView attachment 2126536
Suresina utaalamu na treni lkn hiki kinaonekana cha kizamani sana.
Hiki sio Cha bongo hiki
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]Hicho kilitumika kipindi cha vita ya pili ya Dunia.
Anhaaa kumbe , Sasa palikuwa na sababu gani ya kuipa milage hii taarifa Kama hicho kichwa ni Cha mkandarasi ,, mxiiiiieeeeew blood fucking zaoHivi ni mimi ndie sielewi, au?
Mbona majority mnalalamika kwamba kichwa ni mtumba wakati taarifa inasema wazi kwamba ni Kichwa CHA MKANDARASI kwa ajili ya MAJARIBIO...
Sasa mlitarajia Mkandarasi anunue kichwa kipya kwa ajili ya kuja kufanyia majaribio ya TZ pekee, ama?
Nadhani hicho kichwa kitakuwa kinaenda kila mahali ambako kunakuwa na projects za aina hiyo!
Na unaweza kukuta ni kicwa kinachomilikiwa na mwingine lakini Contractors huwa wanakikodi kwenda kufanyia majaribio kwenye projects zao!!
Tunakwama wapi?!
Kweli [emoji16][emoji16][emoji16]Sawa tunakukubalia kwa iyo tusubiri vichwa vingine vitakuja. Wala hakuna shida muda ni mwamuzi sahihi.
[emoji16][emoji16][emoji16]sasa vya testing viko hivi ivo vya kutembelea unadhan vitakuaje??![emoji3][emoji23]View attachment 2126646
unadhan vitakua hivi au??