Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR kipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504
Ebu elezea vizuri, hii ni nini? Kitakuwa ndio kichwa cha Treni cha TRC au ni kwa ajili tu ya majaribio na kitaondolewa? Hii sio kabisa, mbona old sana hii