Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,093
- 2,046
Au Gari la wale Jamaa wa Wrong turn[emoji1783][emoji1783][emoji1783]Upuuzi tu ...Hivyo vichwa vinatofauti gani na gari la Jeepers CreepersView attachment 2126536
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au Gari la wale Jamaa wa Wrong turn[emoji1783][emoji1783][emoji1783]Upuuzi tu ...Hivyo vichwa vinatofauti gani na gari la Jeepers CreepersView attachment 2126536
Kwann kimechorwa logo za trc[emoji848]Hivi ni mimi ndie sielewi, au?
Mbona majority mnalalamika kwamba kichwa ni mtumba wakati taarifa inasema wazi kwamba ni Kichwa CHA MKANDARASI kwa ajili ya MAJARIBIO...
Sasa mlitarajia Mkandarasi anunue kichwa kipya kwa ajili ya kuja kufanyia majaribio ya TZ pekee, ama?
Nadhani hicho kichwa kitakuwa kinaenda kila mahali ambako kunakuwa na projects za aina hiyo!
Na unaweza kukuta ni kicwa kinachomilikiwa na mwingine lakini Contractors huwa wanakikodi kwenda kufanyia majaribio kwenye projects zao!!
Tunakwama wapi?!
Hakuna logo ya TRC hapo kwenye kichwa,Bali picha ina logo ya TRC..sijui umenielewa? Yaani km vile Millard Ayo akipost picha anaweka logo yake ili mtazamaji ajue hii picha ina hati miliki ya Millard,the same applies Kwa nipashe au tbc au.....TRCKwann kimechorwa logo za trc[emoji848]
Tushapigwa na kitu kizito kichwani[emoji2296]Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR jipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504
Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR jipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504
Kumradhi chief, niliangalia kwa haraka sana.hahaha ukisoma hizi comments ndio utajua watanzania sisi tunafahamu vipi mambo, habari inasema kichwa cha mkandarasi cha majaribio lakini watu wamemwaga povu balaa mwingine anasema kimechorwa logo ya TRC dah..
mkuu DeepPond kwa hali hii lazima upokonywe yule mtu..
Ila Imechoka Kwa Kweli Tuambizane Ukweli Tu.
Nahisi Ni Model Ya Miaka Ya 80's
kweli wakuu tumepigwa limefanya kazi tangu miaka 90 hukosina utaalamu na treni lkn hiki kinaonekana cha kizamani sana.
Tanzania Railways Corp, kama hiki ni kichwa cha Mkadarasi, kwanini kina nembo yenu na si nembo ya Mkandarasi?Kichwa hiki cha Mkandarasi kinachotumia nishati ya umeme kimewasili bandarini jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuanza majaribio ya miundombinu ya umeme katika reli ya kisasa - SGR jipande cha Dar es Salaam - Morogoro.View attachment 2126501View attachment 2126502View attachment 2126503View attachment 2126504
hakina nembo mkuu hiyo unayoiona ni water mark tu katika pichaTanzania Railways Corp, kama hiki ni kichwa cha Mkadarasi, kwanini kina nembo yenu na si nembo ya Mkandarasi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu mtumba una sura mbaya kama kichwa cha panzi ndio mama kaamua kuuleta, aache utani na watanzania? Ama kuna asilimia yake hapo maana vichwa hivi si vya kisasa kabisa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upuuzi tu ...Hivyo vichwa vinatofauti gani na gari la Jeepers CreepersView attachment 2126536
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Au Gari la wale Jamaa wa Wrong turn[emoji1783][emoji1783][emoji1783]
Wataelewaje wakati chuki imezidi kipimo kiongozi?!!!!!Hata mimi nimeelewa hivyo hivyo mkuu naona hao jamaa wamekurupuka bila kuelewa....