last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Kwani ile pesa ya bomba kashaitoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fineHujielewi wewe pimbi
Wala sintashangaa kwa haoKumbuka hilo bomba la mafuta liliwauma sana Wakenya mimi nasema hivi makachero wa Kenya wanachochea kuni.
kama jambo hili limetoa east Africa basi ni jambo la kheri. Acha wabadilishe utawala mkuu!Nasikia kuna baadhi ya vituo vya polisi vimezingirwa na wafuasi wa Besigye.
Sisi tunaangalia maslahi yetu kama tumesaini bomba la mafuta lipitie hapa tuko radhi tumsaidie Museveni ili Wakenya wasituchukulie ajira zetukama jambo hili limetoa east Africa basi ni jambo la kheri. Acha wabadilishe utawala mkuu!
unauhakika utawala mpya ukiingia bomba halipiti huku?Sisi tunaangalia maslahi yetu kama tumesaini bomba la mafuta lipitie hapa tuko radhi tumsaidie Museveni ili Wakenya wasituchukulie ajira zetu
Popingcorn everywhere.
ahahahah mkuu mbina kama unataka kuiingiza tz na kenya kwenye migogoro isiyotuhusu?Kama Kenya wameilngilia mambo ya ndani ya Uganda na sisi vijana wetu wasogee karibu na Mtukula ili kulinda "maslahi"yetu na vizazi vijavyo.sogezeni mitambo vijana.