Museveni anaeonekana kuifahamu sana Tanzania, hii sio hatari kwa usalama?

Museveni anaeonekana kuifahamu sana Tanzania, hii sio hatari kwa usalama?

Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
Mpaka kuwa na duka kuna mkubwa anaingiziwa kitu kidogo kwenye mwamala. Umeshaambiwa nchi ina wenyewe.
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
Africa ni moja, acheni akili za kikoloni na mipaka yao, i wish Africa tungeachana na upuuzi wa passport, visa baina yetu
 
Kabila kasoma Sangu - Mbeya sio sumbawanga. Nyumba wanazo kibao tu, kunduchi , Tegeta nk.

All in all, sio tatizo kwa foreigner kuijua TZ maana wengi wameishia hapa no sawa na mtanzania aliyeko nchi za watu nae anayajua ya huko hakuna sehemu wanasema asipite mtu asiye raia.

Ishu kubwa ni government top secret kufika kwao, na hizi zitafika sio kwa kusema wasije TZ Bali ni kuhakikisha haifanyiki espionage.

Bahati mbaya wengi wamepata nafasi serikalini hivyo hapo ndio kun shida, unakumbuka Kuna Kanali alikuwa jeshini kitengo Cha IT akatimka kwao Rwanda na Kagame akampa nafasi serikalini nadhani alikuwa Waziri au Naibu? Hii ndio hatari kubwa Ila ya museveni kuvijua vijiji hata mie navijua vijiji vya Uganda na maeneo take mengi.
Akishakuwa mkaazi bila kuzingatia uraia wake unamhitaji afuate utaratibu wa raia wa kigeni, ni rahisi kwa familia yake kutumika kujipenyeza kwenye vyombo vyetu vya usalama, na inawezekana usiwe mpango wa muda mfupi kufanikisha matakwa yao.
 
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.

Unakuta anaelezea maeneo ya ndani ya nchi yetu yaani vijiji na mpaka makabila ya maeneo husika tamaduni zao, lugha zao nk.
Sasa ikiwa mtu kama huyu tukaingia kwenye mivutano naye haiwezi kuwa hatari kwetu kutokana na kwamba anajua vingi sana vya kwetu!?
Yeye hapa ni sehemu yake ya ukombozi wa Maisha yake yote na anasema akija tz ni pamoja na kuhiji na akija lazima akutane na Mama Maria Nyerere
 
Akishakuwa mkaazi bila kuzingatia uraia wake unamhitaji afuate utaratibu wa raia wa kigeni, ni rahisi kwa familia yake kutumika kujipenyeza kwenye vyombo vyetu vya usalama, na inawezekana usiwe mpango wa muda mfupi kufanikisha matakwa yao.
Most of them walikuwa chini ya uangalizi wa usalama wa Taifa. Hawa waliingia kwa utaratibu maalum chini ya chama Cha ukombozi wa Afrika so walipewa makazi maalum kuanzia Samora Machel, Robert Mugabe, Nelson Mandela, Kamuzu Banda, nk.

Sasa siamini kama uangalizi wa hizo familia zilizobaki huku utakuwa imeisha maana kuna special tasks ndani ya Usalama na ni vitengo ambavyo naamini vitaendelea kuwepo kuhakikisha haya yote .
 
Most of them walikuwa chini ya uangalizi wa usalama wa Taifa. Hawa waliingia kwa utaratibu maalum chini ya chama Cha ukombozi wa Afrika so walipewa makazi maalum kuanzia Samora Machel, Robert Mugabe, Nelson Mandela, Kamuzu Banda, nk.

Sasa siamini kama uangalizi wa hizo familia zilizobaki huku utakuwa imeisha maana kuna special tasks ndani ya Usalama na ni vitengo ambavyo naamini vitaendelea kuwepo kuhakikisha haya yote .
Inter marriage inawaficha sana.
 
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.

Unakuta anaelezea maeneo ya ndani ya nchi yetu yaani vijiji na mpaka makabila ya maeneo husika tamaduni zao, lugha zao nk.
Sasa ikiwa mtu kama huyu tukaingia kwenye mivutano naye haiwezi kuwa hatari kwetu kutokana na kwamba anajua vingi sana vya kwetu!?
Usalama magomeni
 
Laurent kabila,kagame na Museveni ni vijana wa nyerere tena watanzania hao na waliandaliwa kutawala nchi hizo!!!Ni watoto wetu hawawezi kufanya chochote na ikumbukwe pia karibu asilimia kubwa ya watawala kwenye nchi zetu za maziwa makuu tunaingiliana kiutawala kama ndugu!!Ndio maana utakuta hata hapa Bongo kuna watusi kibao kwenye tabaka la watawala na wahutu pia!!!Pia hata sisi watz tupo tabaka la utawala kwenye hizo nchi !!Hadi Africa kusini tumo!!!
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
Baada ya kubaini hayo ulisaidiaje au na wewe umekuja kulalamika hapa?
 
Kabila kasoma Sangu - Mbeya sio sumbawanga. Nyumba wanazo kibao tu, kunduchi , Tegeta nk.

All in all, sio tatizo kwa foreigner kuijua TZ maana wengi wameishia hapa no sawa na mtanzania aliyeko nchi za watu nae anayajua ya huko hakuna sehemu wanasema asipite mtu asiye raia.

Ishu kubwa ni government top secret kufika kwao, na hizi zitafika sio kwa kusema wasije TZ Bali ni kuhakikisha haifanyiki espionage.

Bahati mbaya wengi wamepata nafasi serikalini hivyo hapo ndio kun shida, unakumbuka Kuna Kanali alikuwa jeshini kitengo Cha IT akatimka kwao Rwanda na Kagame akampa nafasi serikalini nadhani alikuwa Waziri au Naibu? Hii ndio hatari kubwa Ila ya museveni kuvijua vijiji hata mie navijua vijiji vya Uganda na maeneo take mengi.
Thanks kwa ufafanuzi mkuu, na mimi niongeze kidogo; kama jeshi letu likiachana kabisa na siasa hasa siasa za ccm then sioni shida kwa viongozi wa nchi nyingine hasa majirani zetu; issue jeshi lipo IMARA? Hapa pia sina wasiwasi napo sana, Kagame aliwahi kujidanganya kwamba anaijua Tanzania nje ndani, we all knows what happened to him mwishoni mwishoni mwa Kikwete na ile vita ya M23, tuliwapiga vizuri tu hadi jamaa akaomba poo, so ile kwangu mimi inanipa tafsiri kwamba kitengo chetu cha UJASUSI cha jeshini kwa mzee Mabeho kipo vizuri kabisa
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
Wala usihofu nchi hii kuna watu wanaijua Uganda/ Rwanda kuliko waganda/ wanyarwanda wenyewe.
 
Laurent kabila,kagame na Museveni ni vijana wa nyerere tena watanzania hao na waliandaliwa kutawala nchi hizo!!!Ni watoto wetu hawawezi kufanya chochote na ikumbukwe pia karibu asilimia kubwa ya watawala kwenye nchi zetu za maziwa makuu tunaingiliana kiutawala kama ndugu!!Ndio maana utakuta hata hapa Bongo kuna watusi kibao kwenye tabaka la watawala na wahutu pia!!!Pia hata sisi watz tupo tabaka la utawala kwenye hizo nchi !!Hadi Africa kusini tumo!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tumo!! Mmo wewe na nani mkuu?

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Yoweri Museveni ameishi Tanzania,amesoma hapa, amefundisha Tanzania.
Museveni Tanzania ni kama nyumbani.

Kuhusu raia wa mataifa jirani kuzagaa wakijitafutia rizki ni kawaida.
Hata watanzania wamejaa tele kwenye miji ya nchi jirani.
Watanzania wametapakaa kwenye miji ya mipakani ya nchi za Msumbiji, Malawi, Zambia, Congo na Burundi.
Watanzania wanamiliki biashara mbalimbali kwenye miji na vijiji vya nchi jirani zetu
Mkuu utaona kijana kazaliwa Manzese, kakulia Manzese kasoma na maisha yake yote anaendesha Manzese atayajulia wapi ya Mipakani
 
Back
Top Bottom