Kabila kasoma Sangu - Mbeya sio sumbawanga. Nyumba wanazo kibao tu, kunduchi , Tegeta nk.
All in all, sio tatizo kwa foreigner kuijua TZ maana wengi wameishia hapa no sawa na mtanzania aliyeko nchi za watu nae anayajua ya huko hakuna sehemu wanasema asipite mtu asiye raia.
Ishu kubwa ni government top secret kufika kwao, na hizi zitafika sio kwa kusema wasije TZ Bali ni kuhakikisha haifanyiki espionage.
Bahati mbaya wengi wamepata nafasi serikalini hivyo hapo ndio kun shida, unakumbuka Kuna Kanali alikuwa jeshini kitengo Cha IT akatimka kwao Rwanda na Kagame akampa nafasi serikalini nadhani alikuwa Waziri au Naibu? Hii ndio hatari kubwa Ila ya museveni kuvijua vijiji hata mie navijua vijiji vya Uganda na maeneo take mengi.