Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?