Museveni anaeonekana kuifahamu sana Tanzania, hii sio hatari kwa usalama?

Museveni anaeonekana kuifahamu sana Tanzania, hii sio hatari kwa usalama?

Kwanini sasa muingie kwenye mivutano na Museveni? Maccm bana huwa mnakuwa na akili za kijinga kijinga tu

Ndo mjifunze sasa kuwa na Marais wenye exposure siyo kuwa na lirais linapajua kijijini kwao tu hadi linatamani kijiji kiwe nchi inayojitegemea (Chato zii)
Nyinyi masikini ni watu wa ajabu sana.
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
Wanaolinda usalama wetu wamepriotize possible enemy namba uno ni raia yaani mwananchi wa kawaida.

Ukitaka kujua hilo, kosoa serikali kwa whatsapp au facebook yako ndo utajua hujui.

Tuna ujinga mwingi uliotukuka
 
Anaweza asiwe mtz lakini hao viongozi wameishi ishi tz sana, sasa kagame si ndo anaijua tz vizuri kuliko ata mzawa! [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.

Unakuta anaelezea maeneo ya ndani ya nchi yetu yaani vijiji na mpaka makabila ya maeneo husika tamaduni zao, lugha zao nk.
Sasa ikiwa mtu kama huyu tukaingia kwenye mivutano naye haiwezi kuwa hatari kwetu kutokana na kwamba anajua vingi sana vya kwetu!?

ni Mtanzania
 
Usiogope kuhusu Mseveni kiifahu Tz ,huyo jamaa ni mtoto wa Mwalimu Nyerere kiutawala hivo basi Baba wa Uganda ni Tanzania.Ngoja nikutajie nchi ambazo zipo hapa Africa zimezaliwa na Tanzania ni Msumbiji, Africa kisini,Rwanda,Zanzibar na hata Burundi hizo n watoto wa Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
Swala la mchanganyiko wa raia wa mataifa yanayounganisha mipaka alikwepeki ni jambo la kawaida tu Maan sheria za mipaka huruhusu muingiliano wa kilomita moja,.. Ndo Maana unakuta hapo nakonde mpaka wa Zambia na Tanzania Kuna wa Tanzania kibao hufanya biashara na wazambia... Hata mpakani mwa Marekani na Mexico ilikua hivohivo mpka alipoingia trump kuweka uzio kwa kuwatuhumu wa Mexico kuwauzia mihadarati Sana wa Marekani... Ila hali ipo hivo kwene mpka wa USA na Canada.... Iyo ni kawaida ulimwenguni kote
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
Yaani ndugu yako kazaliws Kenya karudi kwao kufanya biashara umfukuze? yaani unamjua kabisa yule Baba mdogo na Babu yako akiri ni mwanae sasa wewe komaa na mipaka ya wazungu wenzako wanaishi
 
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.

Unakuta anaelezea maeneo ya ndani ya nchi yetu yaani vijiji na mpaka makabila ya maeneo husika tamaduni zao, lugha zao nk.
Sasa ikiwa mtu kama huyu tukaingia kwenye mivutano naye haiwezi kuwa hatari kwetu kutokana na kwamba anajua vingi sana vya kwetu!?
Mwanajeshi yoyote lazima aifahamu Tanzania. So na wageni waliojifunzia jeshi hapa vivyohivyo
 
Alisoma master's UDSM, alifundisha chuo cha muccobs, ataachaje kuijua TZ

Pia kwa za chini chini, mwalimu nyerere ndo alimuweka kwenye kiti cha urais UGANDA.
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
ila wabongo ndo wamezidi... kuna kipindi mpka Mozambique ilibidi watumie nguvu ya vyombo vya usalama kuwaondoa.. u can not control everything hasa kwenye muingiliano wa watu.. but it is important to be alert
 
ila wabongo ndo wamezidi... kuna kipindi mpka Mozambique ilibidi watumie nguvu ya vyombo vya usalama kuwaondoa.. u can not control everything hasa kwenye muingiliano wa watu.. but it is important to be alert
nakuunga mkono mkuu nchi kama ya zambia na malawi wamejaa sana wabongo.
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
Africa hakuna ujasusi wowote,hizi nchi zinajilinda zenyewe tu by nature.
 
Karibia marais wa nchi jirani wamekulia Tanzania,

Dar es salaam ndo ilikuwa kituo cha mipango yote, iliitwa mji wa umbea.

Marais kama kabila, mseveni, obote, kagame na wengine kibao wamekulia Tanzania na wanaijua tz kuliko hata wewe raia wa kawaida.
 
Back
Top Bottom