Museveni anaeonekana kuifahamu sana Tanzania, hii sio hatari kwa usalama?

Museveni anaeonekana kuifahamu sana Tanzania, hii sio hatari kwa usalama?

Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.

Unakuta anaelezea maeneo ya ndani ya nchi yetu yaani vijiji na mpaka makabila ya maeneo husika tamaduni zao, lugha zao nk.
Sasa ikiwa mtu kama huyu tukaingia kwenye mivutano naye haiwezi kuwa hatari kwetu kutokana na kwamba anajua vingi sana vya kwetu!?
Hatari ipi? Hiyo?
Kama sasa hv kwa google map tu,unaweza ukazoom Ikulu na ukajua Kuna magari mangapi yamepaki,hiyo hatari ipi unayoizungumzia kwa mtu kuifahamu nchi nyingine kwa undani.
Kwenye kada ya intelijensia hata nchi marafiki hufanyiana ujasusi,unaweza kukuta Uganda,Kenya,Rwanda,SA Zina maspy kibao kwenye vyombo vyetu vya usalama.
Hata sie huwa tunao maspy,ni kitu Cha kawaida kwenye ujasusi.
 
  • Kasoma UDSM
  • Kafundisha MUCCOBS
  • Kajifunza Jeshi hapa TZ
  • Kijana wake kwanza Muhoozi (Next president wa UG 😂😂😂) Kazaliwa hapa Dar
  • Kapigana Mozambique upande wa Frelimo na JWTZ,
  • Kapigana na Iddi Amin upande wa JWTZ
  • Kawekwa madarakani na TZ baada ya Obote kuzingua....
 
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.

Unakuta anaelezea maeneo ya ndani ya nchi yetu yaani vijiji na mpaka makabila ya maeneo husika tamaduni zao, lugha zao nk.
Sasa ikiwa mtu kama huyu tukaingia kwenye mivutano naye haiwezi kuwa hatari kwetu kutokana na kwamba anajua vingi sana vya kwetu!?


Unaelimu gani Sheikhe?

Mtu anaweza kujua jiografia ya eneo Fulani Kwa kufika, kusoma, au kuangalia tamthilia.

Kuna rafiki yangu kaishia Kidato cha nne anaijua Nigeria Kama Buza na hajawahi kufika. Hii ni kutokana na kuangalia Fulani za kinaijeria.
 
Kasoma chuo kikuu Mlimani miaka ya 1960 kama walivyosoma wanaharakati wengi wa mataifa ya kusini mwa afrika miaka ya sabini kuelekea themanini mwanzoni.
Yoweri baada ya kuhitimu UDSM kafanya kazi ya kufundisha uchumu chuo cha Ushirika Moshi.

Kajana wake Lt. Gen. Kainerugaba lazaliwa Dar wakati Yoweri na Mkewe Jannet wanaishi Dar.

Katika sehemu ya hotuba zake enzi ya JPM amekuwa akieleza namna alivyofanya kazi (akiwa trainee) kwa ukaribu na Mzee Butiku akiwa Katibu wa Rais Mwl. NYERERE, kafanya kazi na Bhoke Munanka aliekuwa waziri wa Nchi ofisi ya Rais - Usalama.

Yeye mwenyewe amejinasibu mwl. JKN alimtuma kuwa sehemu ya wapiganaji wa Tanzania waliokuwa kusini wakikomaa kumwondoa Mreno.

Kimsingi, Mseveni ni kijana wetu na kapata all necessary support akiwa vijiji vya Kagera wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe Uganda kati ya 1980-86.
 
Yoweri baada ya kuhitimu UDSM kafanya kazi ya kufundisha uchumu chuo cha Ushirika Moshi.

Kajana wake Lt. Gen. Kainerugaba lazaliwa Dar wakati Yoweri na Mkewe Jannet wanaishi Dar.

Katika sehemu ya hotuba zake enzi ya JPM amekuwa akieleza namna alivyofanya kazi (akiwa trainee) kwa ukaribu na Mzee Butiku akiwa Katibu wa Rais Mwl. NYERERE, kafanya kazi na Bhoke Munanka aliekuwa waziri wa Nchi ofisi ya Rais - Usalama.

Yeye mwenyewe amejinasibu mwl. JKN alimtuma kuwa sehemu ya wapiganaji wa Tanzania waliokuwa kusini wakikomaa kumwondoa Mreno.

Kimsingi, Mseveni ni kijana wetu na kapata all necessary support akiwa vijiji vya Kagera wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe Uganda kati ya 1980-86.
Hopefully unajua Lt. Gen. Kainerugaba sio mtoto wa kumzaa wa Mama Janet M7.
 
M7 na Kagame plus Kabila wa Kongo, both baba na mtoto wote hao ni vijana wetu, Kabila Jr kasomeshwa kwa kodi zetu kuanzia msingi, secondary hadi Jeshi, baba yake alikua anaishi Sinza na Kabila kakulia Sinza, secondary kasoma Sumbawanga huko, same same na hao wengine including M7 anae zungumziwa hapa. Kwa taarifa yako, M7 ndio mwanzilishi wa wazo la kumpa Nyerere UTAKATIFu ule wa Roman Catholic, anamuonaga Nyerere kama baba yake kabisa. So sio ajabu
hahahaha
 
Kabila mkubwa miaka ile tuko wadogo Kijitonyama jirani na yard ya mzee wa Ubwabwa alikuwa anakuja sana nyumba ya jirani tulikuwa tunamwita Uncle Kabila. Baada ya muda tunasikia kawa rais wa Congo dunia INA siri nyingi
hahahaha alikua akiitwa hivo?uncle kabila miaka hy? Safi sana
 
Hatari ipi? Hiyo?
Kama sasa hv kwa google map tu,unaweza ukazoom Ikulu na ukajua Kuna magari mangapi yamepaki,hiyo hatari ipi unayoizungumzia kwa mtu kuifahamu nchi nyingine kwa undani.
Kwenye kada ya intelijensia hata nchi marafiki hufanyiana ujasusi,unaweza kukuta Uganda,Kenya,Rwanda,SA Zina maspy kibao kwenye vyombo vyetu vya usalama.
Hata sie huwa tunao maspy,ni kitu Cha kawaida kwenye ujasusi.
watoto wadogo hawajua haya
 
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.

Unakuta anaelezea maeneo ya ndani ya nchi yetu yaani vijiji na mpaka makabila ya maeneo husika tamaduni zao, lugha zao nk.
Sasa ikiwa mtu kama huyu tukaingia kwenye mivutano naye haiwezi kuwa hatari kwetu kutokana na kwamba anajua vingi sana vya kwetu!?
President museveni, Phillipe Nyusi na Joseph kabila wamesoma na kuishi Tanzania
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
Kwa hyo wakishaijua nchi ndo tayari tumeshavamiwa?
 
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.

Unakuta anaelezea maeneo ya ndani ya nchi yetu yaani vijiji na mpaka makabila ya maeneo husika tamaduni zao, lugha zao nk.
Sasa ikiwa mtu kama huyu tukaingia kwenye mivutano naye haiwezi kuwa hatari kwetu kutokana na kwamba anajua vingi sana vya kwetu!?
Kwani umeambiwa sisi hatuijui Uganda?
 
Kwa taarifa yako, hata kuanzisha vita vya kumwondoa Obotte madarakani Museveni alipata 'go ahead' ya Mwalimu. Museven ni kijana (sasa hivi mzee) wetu, siyo ajabu kuijua vizuri Tanzania.
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
DSM wadada wa kazi za ndani ni Wamalawi siku hizi.
 
Binafsi mi nimekuwa na mashaka haya kuhusu mifumo yetu ya ulinzi! Mikoa iliyopo mipakan kuna watu weng mno toka nchi jiran wanafanya kazi hasa vibarua,biashara as if ni watz! Unaweza ukafika holili , jipe ,tarakea au toloha ukakuta duka la raia wa kenya na mamlaka zipo kimya tu! Ukija huku kwimba wapo waganda,wakenya na wanyarandwa kibao wananunua na kuuza mpunga as if ni wasukuma! Sasa huwez jua majasusi wapo wangap humo kwenye hayo makundi! Sio ajabu ukakuta kagame ana taarifa zote za gesi ya mtwara, chuma cha liganga nk! Si alituma kikosi kupambana na ugaid msumbiji!?
Sio duka tuu, wengine unaweza kuta wako hata kwenye nafasi za uongozi (mtaa/kijiji/kata.....) katika maeneo husika.
 
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.

Unakuta anaelezea maeneo ya ndani ya nchi yetu yaani vijiji na mpaka makabila ya maeneo husika tamaduni zao, lugha zao nk.
Sasa ikiwa mtu kama huyu tukaingia kwenye mivutano naye haiwezi kuwa hatari kwetu kutokana na kwamba anajua vingi sana vya kwetu!?
Sasa huyu alisoma huku,alikaa miji mbalimbali na alikuwa kama kijana wa mwl nyerere

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Nimekuwa namsikiliza rais wa Uganda mara kwa mara akitoa hotuba zake hasa akiwa hapa nchini, kwa kweli huyu mheshimiwa kijiografia anaijua vizuri sana Tanzania.

Unakuta anaelezea maeneo ya ndani ya nchi yetu yaani vijiji na mpaka makabila ya maeneo husika tamaduni zao, lugha zao nk.
Sasa ikiwa mtu kama huyu tukaingia kwenye mivutano naye haiwezi kuwa hatari kwetu kutokana na kwamba anajua vingi sana vya kwetu!?
Siku ukuambiwa M7 ni Mtz si ndio utadata kabisa!
 
Back
Top Bottom