Whiteman confusing
JF-Expert Member
- Sep 12, 2020
- 328
- 279
Yasemekana yuko vizuri. Rais siyo wa kuzurura mitaani, yuko busy na mafaili ofisini - amesisitiza waziri huyo:Kuna tetesi Uganda kwamba mseveni anaumwa na haonekani hatharani kwa wiki sasa
Hizi habari ni kweli au uongo kuna watu wapo Uganda humu watuambie ukweli...
Inaitwa Gusa GusaAiseh mzungu mzungukeni
Sawa mkuuChukua konyagi kwa manka nitalipia
Oxygen Pipe Muda Huu Imekanyagwa π ππChukua konyagi kwa manka nitalipia
Ule unafiki wa kiwango cha lamiIle ilikuwa kali sana nadhani hatakaa aisahau maisha yake yote
Na kitimoto kilo ila usimpe mshana JrSawa mkuu
Kaua sana waganda kenge huyuOxygen Pipe Muda Huu Imekanyagwa [emoji28][emoji1][emoji2]
Bob Wine Anacheka ππ πππππUle unafiki wa kiwango cha lami
Ila haya maisha haya tenda mema nenda zakeBob Wine Anacheka [emoji38][emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji6]
Saa Hizi Hakuna Namna Fourth WaveKaua sana waganda kenge huyu
KabisaIla haya maisha haya tenda mema nenda zake
Kama kweli akamsalimu jiwe huko alipoSaa Hizi Hakuna Namna Fourth Wave
Inataka Akinywee Kikombe Kilichofurika [emoji26][emoji21][emoji57][emoji849][emoji55]
Hawataonana Hawa WanatenganishwaKama kweli akamsalimu jiwe huko alipo