Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Ni kweli kabisa walilala kwa watoto wa Baba wa Taifa, na Lissu aliwaomba apumzike pale ahani kwenye kaburi la baba wa taifa na aombe msamaha kwa kumtusi. Alifanya ibada hapo na maombi akisaidiwa na pasta wa kijijini.
 
Mkuu umezidisha chumvi- punguza mahaba
 
Hii habari Chungu Sana kwa bwana yule
 
Una fikra finyu sana comrade.
Mkuu ndo maana nikakuuliza wewe mwenye fikra pana kwamba ni kazi ipi mnataka kuendelea nayo,je ni ile ya kuteka na kuua watu? Je ni ile ya kuharibu masoko ya mazao yetu kama korosho,mbaazi,tumbaku,kahawa etc au ni ile ya kukandamiza haki za watanzania?na kuongeza unemployment rate?
 
Watoto wamekusamehe uliposema baba yao alikuwa na siasa ya uongo na kudanganya
 
Comrade wewe tulia sindano iwaingie vizuri baada ya tar 28 October akili zitawarudi tu.
 
Comrade wewe tulia sindano iwaingie vizuri baada ya tar 28 October akili zitawarudi tu.
Mkuu nitajie mwanaccm mmoja ambaye akili haijamwingie vizuri 2015 to 2020.chagua magu at your own risk
 
Mkuu nitajie mwanaccm mmoja ambaye akili haijamwingie vizuri 2015 to 2020.chagua magu at your own risk
Nikikutajia itakusaidia nini wewe? hatufanyi kazi kwa manufaa ya ccm bali tunafanya kazi kwa maendeleo ya watanzania kwa ujumla.

Magufuli ni chaguo la wengi na tutamchagua kwa kura nyingi sana.
 
Jiwe ndiye muasisi wa roho ya kutengana kwa watanzania kwa misingi ya kiitikadi.
 
Ni kweli kabisa walilala kwa watoto wa Baba wa Taifa, na Lissu aliwaomba apumzike pale ahani kwenye kaburi la baba wa taifa na aombe msamaha kwa kumtusi. Alifanya ibada hapo na maombi akisaidiwa na pasta wa kijijini.
RRwanda si mbali mfungasheeeeh
 
Nikikutajia itakusaidia nini wewe? hatufanyi kazi kwa manufaa ya ccm bali tunafanya kazi kwa maendeleo ya watanzania kwa ujumla.

Magufuli ni chaguo la wengi na tutamchagua kwa kura nyingi sana.
Wewe ndo mwakilishi au msemaji wa hao wengi au ni utopolo wako tu?
 

Tusikubali mtu mmoja atuharibie nchi yetu.

Hivi nikichagua chama pinzani ni uhaini!?..........Mitano inamtosha akapumzike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…