Uchaguzi 2020 Musoma: Tundu Lissu alala Butiama nyumbani kwa Mwalimu Nyerere

Jiwe kafura kanuna kanyong'onyea,kalegea tepetepe baada ya kusikia watoto wa mwalimu wamemuomba Lissu akalale kwao,wakati Jiwe alimforce bi mkubwa wa taifa aende pale mkendo akaongeze idadi ya vichwa.
Amechoka
 
Sasa kwanini anamkaribisha mtu anayetusumbua hivi! Tunakosa usingizi, presha zinapanda bila utaratibu & halafu unakula na kunywa na kubwa la maadui.
Hivi kwann hii familia inamkaribisha mtu anayetumika na mabeberu?...alisikika jiwe akimuuliza Bashiru.
 
Wazungu wanasema never say never yaani usiseme sita kuja kufanya kitu fulani maishani mwangu.

Gwajima kakaa meza moja na Kardinali Pengo, Lissu kalala Mwitongo kwa Mwalimu.

Kesho hakika ni “fumbo”.
 
Iy Iyo ndo demokrasia
 
[SUP]Basi kwa kuwa jiwe amelikoroga ngoja alinywe[/SUP]
 
Hivi hilo neno sumptuous Magufuli anaelewa maana yake?

sasa kama Rais haelewi, tena mwenye PhD haelewi hilo neno, nani atalielewa? Mwandishi anamwandikia Kiingereza Mtanzania gani atakaelewa ???

Hivi Donald Trump anaweza kujifunza Kiarabu halafu akaanza kuwandikia Wamarekani Twitter za Kiarabu ????
 
Nikikutajia itakusaidia nini wewe? hatufanyi kazi kwa manufaa ya ccm bali tunafanya kazi kwa maendeleo ya watanzania kwa ujumla.

Magufuli ni chaguo la wengi na tutamchagua kwa kura nyingi sana.
Nyoko zako wewe, unahangaika na nini kwenye bandiko langu kenge wewe, watanzania wanajadili Namna Ya kumuondoa huyu katiri, muuwaji, alieajiri kikundi cha kigaidi nakukuita wasiojulikana, Halafu unaleta usenge wako hapa, wewe umefurahia wale aliowauwa? Umefurahia wale aliopora Mali zao? Unafurahia kuona mtu katiri muuwaji Kama Magufuli akiwa kwenye madaraka? Nyoko Ya mama yako wewe
 
Tundu Lissu ahaminiki alikuwa anamtukana Nyerere leo anajifanya kulala kwake hiyo laana itawagusa hadi waliomkaribisha.
Alimsema Lowassa fisadi lakini alikuwa mstari wa mbele kumsafisha alipohamia chadema na kumgeuka dr. Slaa
 
Tafadhali Sana wakuu huu uzi haruhusiwi kuchangia mwanachama wa watu wasiojulikana
 
Matusi na mapovu hayakusaidii kitu comrade. Watanzania wanaimani kubwa sana na CCM na watatupa kura nyingi ili tushinde kwa kishindo.

Eti unafanya nini kwenye bandiko langu nakupa za uso ukajiharishie vizuri.
 
Matusi na mapovu hayakusaidii kitu comrade. Watanzania wanaimani kubwa sana na CCM na watatupa kura nyingi ili tushinde kwa kishindo.

Eti unafanya nini kwenye bandiko langu nakupa za uso ukajiharishie vizuri.
Hao watanzania ni wapi? maana naona woote kwenye bandiko langu wanakushushua, wote wanamkataa huyo unaemtetea sasa watanzania wapi? Angalia kwenye fb kura za kiutafiti kila anaeweka bandiko lisu ni asilimia tisini, ingia pia tweeter ya MO uone kaweka Halafu anahoji watanzania inamaana hamtaki magufuli mbona hamlike mnatweeter tu kwa lisu, nenda uona, njooo huku tarime uone wameanza kujifisha wenyewe wale ambao walikuwa na uthubutu wa kumtetea huyo jambaz wenu
 
Awamu ya kikatili imetutenganisha na kutujengea uadui mkubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…