T2020JPM
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 635
- 263
Basi sawa wewe unamfikia na kumzidi polepole kwa ujinga.Soma vizuri kumonti yangu huko juu! Inasema, “huwezi kumfiki Polepole kwa ujinga, hata robo!”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa wewe unamfikia na kumzidi polepole kwa ujinga.Soma vizuri kumonti yangu huko juu! Inasema, “huwezi kumfiki Polepole kwa ujinga, hata robo!”
Kwani Nyerere alikuwa malaika?Atubu,kwani alishawahi kusema kuwa "Nyerere alizoea kuishi kwa uongo" hii karma itatamtafuna bila kumbakiza
Wanaosema maneno kama haya yako ni wale walikuwa wezi na mafisadi wa nchi hii walitaka waachwe tu ili waendelee kutuibia. Lazima mshughulikiwe mpaka mwache wizi na ufisadi wa mali za watz."Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kua hayapo"- Mwl. Nyerere
Nyie endeleeni tu mkuu ila tunaiba na kupora future ya watoto wetu pale tutakapowarithisha nchi iliyojaa chuki, roho mbaya na visasi. Sumu hii ikikolea na kua utamaduni itachukua miaka miingi sana kuiondoa
Sasa kwa nini anaenda kujipendekeza kwenye kaburi lake?Kwani Nyerere alikuwa malaika?
Acha uongo wakati mpaka wabunge wanaoana bila kubaguana. Upo Tanzania kweli? Muulize Zitto amezaa na mbunge wa CCM pia mke wa Kafulila ni Chadema bila kusahau mke wa msemaji wa Chadema ni CCM! Acha kubwabwaja kama hujui. Mimi mwenyewe mke wangu ni Chadema. Pia angalia video clip hapa chini. Tena sasa hivi watz wa vyama tofauti wanashirikiana kuliko hapo awali. Ndiyo maana namsikitikia msaliti Lissu anapowaambia eti watz waingie barabarani labda alete maburuki toka nje ya nchi. Atashangaa baada ya tarehe 28/10/2020.
View attachment 1582506
Kwa hiyo wasanii wanini kwenye kampeni kama siyo kuvuta watu, nyomi?! Ndo maana nakuambia kiwango chako bado! Ujinga wa Polepole hufiki Hata robo!Hapo wafuasi wa Lissu ndio mnapokwama, kwa akili yako unafikiri nyomi ndo ushindi? Hukujifunza kwa Lowassa? Una fikra finyu sana comrade.
NimtiFuetiFue mamako!!malizia kabisa wa TFF
Labda wewe na familia yako. Hiyo video clip niliyoweka nayenyewe unaisemeaje?..Mzee Bulembo hamtaki mkwe wake Zitto kwasababu yuko upinzani.
..Kafulila na Kishoa walioana wakati wote walipokuwa ktk upinzani.
..sasa hivi ccm wanamfanyia fujo na kumdhalilisha Jesca Kishoa bila kujali kwamba mumewe ni mwana-ccm.
..Jiwe ameleta chuki kubwa na tabia za ukatili ktk siasa zetu.
Wasanii wamewakataa Chadema hilo lipo wazi, kanisani kuna kengele misikitini kuna adhana yote iyo kuwavuta watu ili wasikie ujumbe kusudiwa ndio itakua kwenye siasa.Kwa hiyo wasanii wanini kwenye kampeni kama siyo kuvuta watu, nyomi?! Ndo maana nakuambia kiwango chako bado! Ujinga wa Polepole hufiki Hata robo!
Dawa Ya huyu mtu ni kumuonda Kwa kuungana, Kwan kuunganisha watu pamoja na kumuondoa Kwa nguvu..Mzee Bulembo hamtaki mkwe wake Zitto kwasababu yuko upinzani.
..Kafulila na Kishoa walioana wakati wote walipokuwa ktk upinzani.
..sasa hivi ccm wanamfanyia fujo na kumdhalilisha Jesca Kishoa bila kujali kwamba mumewe ni mwana-ccm.
..Jiwe ameleta chuki kubwa na tabia za ukatili ktk siasa zetu.
Jipe moyo comradeHakuna atakaechagua mateso na manyanyaso
Labda wewe na familia yako. Hiyo video clip niliyoweka nayenyewe unaisemeaje?
View attachment 1582512
Hiyo ni kawaida sana hilo ni eneo la utalii usidhani Lisu amelala bure!Hapa tunajadili familia ya mwalimu kuanza kujitenga rasmi na ccm na kujiunga na chadema.sijui unalizungumziaje hili ndugu mjumbe.
Nakumbuka wakati muhula wa kwanza wa serikali ya awamu ya pili ya JK, KUB alikua Hamad Rashid Mohamed wa CUF. Siku ya Alhamisi ambayo ni siku ya maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, KUB alikua akipata kifungua kinywa nyumbani kwa PM na wakiondoka wote kwenda Bungeni.
Utamaduni huu umekomeshwa kikatili sana. Sasa hivi sio tu dhambi kumtembelea mtu mnae tofautiana itikadi za chama bali pia ni dhambi kumjulia hali mgonjwa hospitakini kama si wa chama chako! Na tunapoelekea hata kuzikana watu wa vyama tofauti itakua ni kosa la kimaadili la kuadhibiwa na chama. Nani katufikisha huku? Tusikubali.